Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

Kuna tofauti kubwa kati ya mke na mwanamke.
Mke haendi bar, na ikibidi aende tunaenda wote.
Mwanamke anatangulia bar af tunamkuta na ikibidi tunamkula
NB: sihalalishi uzinzi
Kwenu halali eeeh? Aibu hii[emoji1745][emoji1745]
 
Mkuu issue sio kumuoa au kutomuoa,
Ilikuaje huyo Wiliam akataka kumua huyo mwanamke na hakutaka kumuoa huyo aliyekua nae toka mwanzo kisha baada ya hiyo ndoa kutokuwepo akamrudia yule ambaye hakutaka kumuoa aliyekua nae mwanzo?
Shida william alichelewa kupata mafile na kujua ukweli wa maisha halisi ya bidada kabla hajakutanaa naeee... Ila sasa ameshaujua ukweli hawezi kuendelea kujikaanga na mafuta yake mwenyeweee ...its better late than never
 
Shida william alichelewa kupata mafile na kujua ukweli wa maisha halisi ya bidada kabla hajakutanaa naeee... Ila sasa ameshaujua ukweli hawezi kuendelea kujikaanga na mafuta yake mwenyeweee ...its better late than never
Mmesikia upande wa pili au mnajudge ty
 
Linda Joseph:

Hii issue ikoje maana huko Twitter hata sielewi maana huko wanamlaumu huyu dada zama zake !!!
 
Hizo mnazoita pisi kali hadi kufikia umri sehemu za siri zinakuwa zimeota sugu, mwanamke anayeshinda bar si wa kuoa maana ni viburi na jeuri.

Embu tazama hiyo clip hapo juu huyo mwanamke na kucha feki ataweza kuosha vyombo kweli?
Nimekuelewa hapa mzee wangu[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Thubutu, unifikii kwa usugu hata mara 1...

Ulijaribu nikakukazia ukajishusha... πŸ˜€πŸ˜€ alafu nilifanya kusudi ujue...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nyani mkongwe??


Kumbe ulijua? Ndio maana nimekwambia we mjeuri sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ eti sikuona hata, khaaa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nyani mkongwe??


Kumbe ulijua? Ndio maana nimekwambia we mjeuri sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ eti sikuona hata, khaaa
Kuona ni kweli sikuona, hilo sitanii hata ulivyokuja kusema ulichofanya nikawa nashangaa tuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…