Linda Joseph
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 462
- 863
- Thread starter
-
- #181
Kwenu halali eeeh? Aibu hii[emoji1745][emoji1745]Kuna tofauti kubwa kati ya mke na mwanamke.
Mke haendi bar, na ikibidi aende tunaenda wote.
Mwanamke anatangulia bar af tunamkuta na ikibidi tunamkula
NB: sihalalishi uzinzi
William is a hero!Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
NB: Linda aliyetajwa humo na huyo dada siyo mimi Linda R.Joseph.
Shida william alichelewa kupata mafile na kujua ukweli wa maisha halisi ya bidada kabla hajakutanaa naeee... Ila sasa ameshaujua ukweli hawezi kuendelea kujikaanga na mafuta yake mwenyeweee ...its better late than neverMkuu issue sio kumuoa au kutomuoa,
Ilikuaje huyo Wiliam akataka kumua huyo mwanamke na hakutaka kumuoa huyo aliyekua nae toka mwanzo kisha baada ya hiyo ndoa kutokuwepo akamrudia yule ambaye hakutaka kumuoa aliyekua nae mwanzo?
Usijaribu πππ me ni kama tu weweWaulize Mabantu... hehehe...
Basi niruhusu mimi nikupige tukio kidogo tu, alafu nakupooza kwa kukupa depression...
Jifarugueni tu[emoji849]William is a hero!
Ha ha haaWasikudanganye tunaangalia tako
Mmesikia upande wa pili au mnajudge tyShida william alichelewa kupata mafile na kujua ukweli wa maisha halisi ya bidada kabla hajakutanaa naeee... Ila sasa ameshaujua ukweli hawezi kuendelea kujikaanga na mafuta yake mwenyeweee ...its better late than never
Linda Joseph:Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
NB: Linda aliyetajwa humo na huyo dada siyo mimi Linda R.Joseph.
Thubutu, unifikii kwa usugu hata mara 1...Usijaribu πππ me ni kama tu wewe
Nimekuelewa hapa mzee wangu[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]Hizo mnazoita pisi kali hadi kufikia umri sehemu za siri zinakuwa zimeota sugu, mwanamke anayeshinda bar si wa kuoa maana ni viburi na jeuri.
Embu tazama hiyo clip hapo juu huyo mwanamke na kucha feki ataweza kuosha vyombo kweli?
Jacky amekanyaga moto mara mbili...πNini kimetokea wananzengo naombeni samare
Ndoa imeota mbawa mwaya[emoji24][emoji24]Linda Joseph:
Hii issue ikoje maana huko Twitter hata sielewi maana huko wanamlaumu huyu dada zama zake !!!
πππ nyani mkongwe??Thubutu, unifikii kwa usugu hata mara 1...
Ulijaribu nikakukazia ukajishusha... ππ alafu nilifanya kusudi ujue...
Mwanangu, hivi wewe unaichukuliaje ndoa kama mwanamke??Ndoa imeota mbawa mwaya[emoji24][emoji24]
Kuona ni kweli sikuona, hilo sitanii hata ulivyokuja kusema ulichofanya nikawa nashangaa tuu...πππ nyani mkongwe??
Kumbe ulijua? Ndio maana nimekwambia we mjeuri sana πππ eti sikuona hata, khaaa
πππππ sasa ni kipi ulikaza?Kuona ni kweli sikuona, hilo sitanii hata ulivyokuja kusema ulichofanya nikawa nashangaa tuu...