Naunga mkono hoja bila ya kusikiliza maelezo ya William.Kwanza mwanamke mpaka anafika kwenye media kusema mambo yake na William, hii inafikirisha sana.
Pili huyo mwanamke sio wakwanza kuachwa maana hatujui alicho mfanyia William hadi akaamua kumuacha wakati tayari amesha mtolea mahari kuelekea kwenye ndoa.
William amekimbia jambo kubwa sana ambalo lingekuja kumgarimu katika maisha yake yote.
Kama ndio huyu muolewaji, basi Nasimama na William.
WILLIAM siyo gaidi
View attachment 2225562
Noooo , William apewe ulinzi huko alipo.
View attachment 2225621
Wa hivyo wanafaa kwa matumizi ya rejareja pekee, siyo jumlaπYupo sawa tu,mbona dar wanawake asilimia kubwa huvaa ivo na mnawashangilia
Tuondolee usiku wako na wewe .. nyie ndio mnafanya baadhi ya wanaume wanataabikaThe biggest coward is a man who awakens a woman's love with no intention of loving her.
Kha jamanNaunga mkono hoja bila ya kusikiliza maelezo ya William.
William ujengewe mnara wa kumbukumbu huko ukweni.
Khe kama una original yak ipandishe mkuuHii story ni Fake
Kwa akili hiyo huwezi kuelewa nilichoandika,Tuondolee usiku wako na wewe .. nyie ndio mnafanya baadhi ya wanaume wanataabika
Hahahahaaha nikumbushe lile Jina lako tenaSahivi nimepona kabisaaβ¦ hanishtui hata nikisikia jina lake π€£π€£
Kina Jack wanakuwaga pisi sana..
Hahahahaaha nikumbushe lile Jina lako tena
I mean hii story huyu Jack aliitengeneza, nadhani Clouds waliombaga radhiKhe kama una original yak ipandishe mkuu
Habari za Arusha lakini? Kwema?weeee πππ
Hahahaha π€£Kumbe ni shabiki wa yanga
Arusha!!!?Habari za Arusha lakini? Kwema?
Mbona stori ya mwaka juzi hii kama skosei ni 2019 au 2020? Au ulipitwa mkuu?Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
Sijui, ila content inaishi, na yanatokea hadi sasa, mjifunze nyie wanaume kuchagua wanawake mnaowajua in out siyo kufany jambo litakalomletea mtu depressionMbona stori ya mwaka juzi hii kama skosei ni 2019 au 2020? Au ulipitwa mkuu?
Oooh kumbe? Ila haya yanatokea mara nying mnooI mean hii story huyu Jack aliitengeneza, nadhani Clouds waliombaga radhi
ππyaani nichumbie nifike hatua ya kuoa halafu wanakuja wadau wananipa file kuuubwa kweli kweli na ushahidi tosha nabaki nasubiri nini mkuu? Kama si depression?Sijui, ila content inaishi, na yanatokea hadi sasa, mjifunze nyie wanaume kuchagua wanawake mnaowajua in out siyo kufany jambo litakalomletea mtu depression