Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990



tuelezee ww mkuu !
 
Nawaza alijua anaenda home kwake maskini alikuwa amempangia labda..
A nafika pale anakutana na njemba linauliza we ni nani duh panic..

Maskin kapigwa kapoteza maisha kisa mwanamke asiyemwaminifu

SURPRISE SIYO NZURI...
Lala kwa amani.... nakumbuka wazee wa zamani akikaribia home anapiga chafya .. au mluzi au anakohoa .. sasa naelewa
 
RIP. Tueleze wewe sababu sahihi ya kifo chake. mimi ninamjua huyu kijana kahitimi udsm 2014 degree ya geology. sasa nashangaa kifo chake cha gafla hivi.
 


Ndiyo maana wazee wa kisukuma wakiwa wanarudi nyumbani kutoka matemebezini hasa usiku, huwa wanaimba kwa sauti kubwa il wasikike kutoka mbali....! Hii inaepusha mafumanizi kama yaliyomkuta kijana Francis! RIP Fransis s/o Ngolle
 
Daah...pole sana kwa ndugu na jamaa..kuna cha kujifunza hapa...
Kumbe wazee wetu walipokua wanapiga miluzi au wanaimba wanaporudi home usiku walikua na maana sana......kama kuna mgoni atoke asimkute...
Sasa sembuse kwenda kwa mchumba....?

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…