Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

rip roommate wangu ,niliacha shughuli zangu zote tangu siku ya kwanza ulipofariki nikafunga safari hadi mbagala kisimani kwa daud, juzi usiku nilikwenda airport kuupokea mwili wako toka mwanza jana nimekudress mwili wako pale temeke hospitali ,nashindwa hata kuendelea...... ila jaman kwanini sababu ya kifochake inapotoshwa potoshwa sana jamani roho inaniuma sana


tuelezee ww mkuu !
 
Nawaza alijua anaenda home kwake maskini alikuwa amempangia labda..
A nafika pale anakutana na njemba linauliza we ni nani duh panic..

Maskin kapigwa kapoteza maisha kisa mwanamke asiyemwaminifu

SURPRISE SIYO NZURI...
Lala kwa amani.... nakumbuka wazee wa zamani akikaribia home anapiga chafya .. au mluzi au anakohoa .. sasa naelewa
 
rip roommate wangu ,niliacha shughuli zangu zote tangu siku ya kwanza ulipofariki nikafunga safari hadi mbagala kisimani kwa daud, juzi usiku nilikwenda airport kuupokea mwili wako toka mwanza jana nimekudress mwili wako pale temeke hospitali ,nashindwa hata kuendelea...... ila jaman kwanini sababu ya kifochake inapotoshwa potoshwa sana jamani roho inaniuma sana
RIP. Tueleze wewe sababu sahihi ya kifo chake. mimi ninamjua huyu kijana kahitimi udsm 2014 degree ya geology. sasa nashangaa kifo chake cha gafla hivi.
 
Poleni sana wafiwa

Tuliobaki tunajifunza nini kwenye ili: Inabidi kama unaenda sehemu uwe unatoa taarifa kabla maana inaonyesha jamaa kama alienda kwa surprise bila kumtaarifu mchumba wake na mwisho wake amekutana na alichokikuta.

Wazee wetu zamani walikuwa wakirudi nyumbani toka safari (Enzi hizo simu hamna) walikuwa wanawapa vijana mizigo wapeleke nyumbani huku wao wakinyuti vijiwe vya kahawa kupoteza muda ili kuepusha mafumanizi kama haya.


Ndiyo maana wazee wa kisukuma wakiwa wanarudi nyumbani kutoka matemebezini hasa usiku, huwa wanaimba kwa sauti kubwa il wasikike kutoka mbali....! Hii inaepusha mafumanizi kama yaliyomkuta kijana Francis! RIP Fransis s/o Ngolle
 
Daah...pole sana kwa ndugu na jamaa..kuna cha kujifunza hapa...
Kumbe wazee wetu walipokua wanapiga miluzi au wanaimba wanaporudi home usiku walikua na maana sana......kama kuna mgoni atoke asimkute...
Sasa sembuse kwenda kwa mchumba....?

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom