Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Sikatai...ila wenye mawazo kama yako wako wachache sana.
Na sababu zinazofanya washindwe kufanya hivo huenda wataashindwa kueleweka na jamii.
Mtoto ana miaka 10, afu uambiwe si wako, wewe mwenyewe utashangaa, je jamii itakuchukuliaje?
Pia wengine hawataki stress kwani wameshapenda mke inatosha.

Wanaume wachache mno wanaweza kumvumilia mwanamke aliyesex nje, na idadi hiyo inakuwa ndogo zaidi pale ambapo kuna mtoto kapatikana huko.

Sasa mtu analea watoto watano si wake, huyo mwanaume kweli yupo sawa?? Eti hutaki stress, mara jamii itakuchukuliaje! Hapo napo mtu unasema una mke!









Sent from my SM-G955FD using JamiiForums mobile app
 
Ni muhimu sana kutoa taarifa unaootaka kwenda kumsalimia mpenzi/mchumba, hakuna sababu ya kushtukiza, hayo mambo tumuachie JPM.

Ukute huyo binti ni champion wa jf hasa MMU, I wonder how she feels now.
Itakuwa alishamshtukia kuwa ana mahusiano mengine, ndo kaona akahakiki kumbe ni worse zaidi mpaka kapoteza uhai wake, kusema ukweli ukiwa na principles na on top iwe love your self first ndo mwingine afuatie. Unajua binadamu wote tunapatwa na changamoto tofauti yetu inakuja tu kwenye jinsi ya kuface hizo changamoto.
 
Kwanza mwanamke ambaye mmekutana naye ukubwani unaendeje kwake bila kumtaharifu!
Hiyo kitu siwez fanya hata siku moja!

Poleni kwa msiba.
Bado watu hatujifunzi surprise ziliisha siku nyingi hata mababu zetu kipindi hicho alikuwa akifika karibu na kwake basi atatafuta kijana na kumpa mzigo aupeleke nyumbani au kama kaingia usiku bna hana hila yoyote basi huko njiani ataangusha songs za kufa mtu kwa sauti kubwa ili kunyumba wajue simba anaingia. Sasa hili la kujiaminisha hapana jamani poleni wafiwa.
 
Imeniuma sana asee huyu jamaa kama sikosei tushakuwa nay pamoja Udsm pale, alkuwa rafk wa jamaa yangu aliyekuwa anasoma coet pale...Dah sina hata imani na mpenz wng tena.

Naipenda JF
 
Wanaume wachache mno wanaweza kumvumilia mwanamke aliyesex nje, na idadi hiyo inakuwa ndogo zaidi pale ambapo kuna mtoto kapatikana huko.

Sasa mtu analea watoto watano si wake, huyo mwanaume kweli yupo sawa?? Eti hutaki stress, mara jamii itakuchukuliaje! Hapo napo mtu unasema una mke.









Sent from my SM-G955FD using JamiiForums mobile app

Wapo na nilisoma makala flani ambayo inazungumzia hii kitu.
Na mashuhuda walipatikana.
Kuna jamii zingine wanafanya matambiko.
Sasa kama mtoto si wako, mizimu itakubali kweli.
 
Hizi K hizi yani ni basi tu.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Kumfumania mwanamke na kuanza kupaniki nao ni udhaifu.

Wenzio huwa tunapotezea na maisha yanaendelea.
Biblia inasema ,"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa...." Vingine Hutokea kwa sababu ya kupenda dhambi na kufanya uovu....hakika Mtu mwovu hatakosa adhabu.

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la Francis ni kula nondo kisha akajiaminisha kuwa atampiga mjenda. Hiyo ndiyo miscalculation aliyoifanya. Wajeda wana mafunzo maalum ya kumkongoli mtu.

Any way, RIP Francis.
 
aise umeongea kitu hapo cha maana. ebu share taluma kama utaweza hawa viumbe sio
Mkuu wanawake siyo wa kuaminika sana , kitendo cha jamaa kuishi mbali na mpenzi wake na huku mpenzi wake akiishi peke yake kwa maana ya kujitegemea jamaa alipaswa kupiga sana hesabu zake kabla hajafika anapoishi huyo mwanamke.

Namaanisha kitendo cha mtu kuwa distance na mke/mume/mpenzi wake inaweza kutengeneza loop hole ya uaminifu kupotea.


Kwa hiyo marehemu Francis ni kama alivamia himaya ya watu pasipo kufaham
 
Upumbavu wake!
Vifo vingine vya kujitakia.
Unapigana kisa K??
Tena K isiyo ya mkeo halali
Alazwe mahali anapostahili.Amen!
Wewe Ni "KE" au "ME" comment yako nimeipenda...Hasa hapo nilipo Bold...
 
Wanawake viumbe hatari mno uyo police labda kawa na uchungu sana labda alkuwa ana muhudumia kwa kila kitu

Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom