Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Aachane naye atafute mwingineKwa nini unataka kulazimisha mapenzi?
Kwa nini unataka kumdhuru mtu kwa sababu kaamua hakupendi tena?
Wewe ni mbaya hivyo kwamba huwezi kupata mwingine?
Yani huyo peke yake ndiye alikuwa mwokozi wako dunia nzima?
Haya matukio watanyaji wengi ni wanawake mwanaume akitetereka kiuchumi.Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Tunaweza kuona ni rahisi sana lakini hii inachoma kama pasi,imagine huyo dada amemvumilia mwenzio mpaka wamejenga familia,may be na watoto wamepata,ndugu wanamjua huyo mwanaume kuwa ndo ameoa Binti Yao,then gafla anamuacha anaoa mwingine,,like seriously? Inauma aisee,omba yasikukute. Na hizi mada za single mother wanavyopondwa then umevumilia mtu mwisho wa siku anakuacha ,inaumiza sanaKwa nini unataka kulazimisha mapenzi?
Kwa nini unataka kumdhuru mtu kwa sababu kaamua hakupendi tena?
Wewe ni mbaya hivyo kwamba huwezi kupata mwingine?
Yani huyo peke yake ndiye alikuwa mwokozi wako dunia nzima?
But love has no limits,huenda bint aliona wengine tena wenye uwezo kuliko huyo jamaa lakini akawaacha akaambatana na jamaa yake kwa kuwa alimpenda,speaking from experienceNever fall in love with a dreamer..! Atakuumiza sana
Pole Sana mkuu,Muombe Mungu akupatie wa kufanana naye[emoji120]Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Huyo atakuwa hajakupenda tokea mwanzo,alifuata ulichokuwa nacho,ukiona mwanamke anakudharau ukikosa Hela hajakupenda huyo,trust meIpo pande zote hata mwanamke ukifilisika dharau na heshima upungua hakuna rangi hautoona
[emoji23][emoji23]Sasa we nae Yuda Legacy si ni msaliti tu kama bwana ake mleta mada
Ni mentality na utamaduni wa kijinga sana kumpa mtu mwingine control ya maisha yako.Tunaweza kuona ni rahisi sana lakini hii inachoma kama pasi,imagine huyo dada amemvumilia mwenzio mpaka wamejenga familia,may be na watoto wamepata,ndugu wanamjua huyo mwanaume kuwa ndo ameoa Binti Yao,then gafla anamuacha anaoa mwingine,,like seriously? Inauma aisee,omba yasikukute. Na hizi mada za single mother wanavyopondwa then umevumilia mtu mwisho wa siku anakuacha ,inaumiza sana
Daaah, alafu kadada kenyewe kazuri, Pole na siku nyingine ukisikia methali za wahenga basi uwe una aminiUnakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Exactly comradeMarriage requires patience, understanding, ability to bow out in argument and love.
Love marriage fad has blinded people to assume that dating and small term relationship lead to marriage. In reality it doesn’t.
A person good with sex, doesn’t mean he’s going to be good with finances. A person good with money may not be good with sex. And you can guess the rest of scenarios.
Nobody is perfect. But people want perfection for their own life. So they pick and choose their comfort zone in marriage, which doesn’t stand for many in relationship.
That’s why some women have love affair till they find financially secure and decent guy, then they dump their current lover. Many men have love affair with progressive modern woman but they want stability in relationship so they marry conservative woman. Some people just want time pass and intimacy exploration before marriage too.
Wakati unamvumilia akiwa hana kitu, wewe ulikua na nini?Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Mimi nilichomuelewa hapa mtoa mada anavyosema amepotezewa muda ni zile ahadi alizokuwa akiahidiwa,mwenzie hakumuweka wazi mapema ili aendelee na mishe zake nyingine,anachoumia ni kwamba alifanywa daraja kwa mtu mwingineHapo kwenye kupotezewa muda ndio ntaenda kinyume nawewe.
Vipi wewe hujampotezea muda?
Vipi kwa muda aliopoteza nawewe labda angekuwa na mtu mwingine ambaye angempenda kwa dhati na asingethubutu kumsaliti kwa hali yoyote ile. (nasema tu)
Mwisho wa siku watu wanabadilika inajulikana wazi.
Unachoumia hapa ndicho wanaume waliofilisika wanapitia kwa wenza wao, dharau, ngebe, kila aina ya baya.
Hitimisho
Hayana muongozo.
pole sana.
Tupe ushuhuda kidogoHiki kikombe nimewahi kukinywa,sikia tu toka kwa wengine ila usikutane na mwanamke mwenye kauli za KISHUJAA huku ukiwa dhoofu kiuchumi! Hakika utajikuta unakonda tu wakati huumwi.
Mbaya zaidi huwa wanaenda mbali zaidi anaanza kutoka na mtu mwingine makusudi live bila chenga.Ndugu yangu mwanaume tulia jikaze kiume na kubali kumpoteza huyo mtu ila endelea kupambana then time will tell.Atarudi analia tu,niamini mimi.(the witness)
Kitu simple kabisa. Mambo ya kisasi anaendelea kujiumiza mwenyewe baada ya kuumizwa.Aachane naye atafute mwingine
Aise!Inawezekana katika maisha yenu, ulikuwa na elements za kumsimanga kwa sababu ya umasikini wake, ulionyesha kumdharau (kwa kujua au kutokujua) na yeye akaweka mambo moyoni kwa muda mrefu, alivumilia kwa kuwa hakuwa na namna ya kuishi bila wewe, ila baada yakuona anaweza kusavaivu in your absence basi akafanya maamuzi.
Ilinitokea mimi miaka kadhaa iliyopita, mwanamke nipo naye nikiwa sina pesa, kwa kiasi kikubwa vitu vingi alikuwa anafanya yeye ili maisha yaende.
Alikuwa anatoka kwenda kwa x wake, wakati wowote akijisikia, siku moja nilimuuliza "why are you doing this? ni kwa sababu una-cover up hizi expenses?" Alinijibu "Hujanioa, hela huna then unabwabwaja tu hapa, kama unaniona Malaya kwa kuwasiliana/kumtembelea x, then you can go kwa atakayekuheshimu na ufukara wako, badala unishukuru nakusitiri hapa, unanipigia kelele"
Hii iliniuma mno, nikanywea, kwa miaka 3 baadaye, nikiwa nipo nayeye, nilipata kazi mahali pazuri tu, niliondoka kimya kimya, alinilaani sana na kunitamkia mambo magumu, lakini sikurudi nyuma... Mpaka leo namuangaliaga you tu!
Ahsante sana R, haikuwa dhamira yangu kabisa kukuacha, ila ulinibadilisha wewe mwenyeweee!
Oya dingi Ushimen siku hizi una ongea kijerumani😂😆Sweet love.....
Not all relationships will lead to marriage, some will help you discover new restaurants...🤨