DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Una hoja na inabidi usikilizwe.😅 😅 😅
Alinyonya mashine, aliirudisha ndani ilivochomoka, alikubali kuishi na mchizi bila ndoa.
Ila baada ya kukutana na wewe ndio anaanza kujiona ana akili.
Mfano mleta hii mada ameshamsamehe mtu asiye serious na malengo na nane kwa miaka, akija kukutana na mtu mwingine ataanza kumwambia wasahau ya nyuma wakati alileta mada hadi huku.
Kwenye mahusiano msigusie hadithi za nyuma kakabi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe unajijua[emoji23][emoji23] usiniombee dua baya basi. Maana naingiaga na viatu, akili nashika mkononi
💯Jifunze kushukuru Gratitude na ujitahidi kujifunza kutoishi na kinyongo
Then wewe unaonekana ni MTU mjinga ambaye hauna Emotional intelligence
Jifunze kuwa positive
Huwezi kumvumilia mwanaume hizo kauli za watu wajinga unabidi kujua mwanaume ambaye hana pesa ndo anamvumilia mwanamke maana yeye anaweza kusimama bila wewe.
Leo unawaza kuua , kutesa , kisa mapenzi MTU ambaye haujamzaa wewe Ila mmekutana ukubwani it hell
Kwanini wasiumie mkuu?Kumbe na nyie huwa inawauma[emoji848]
Hakuna njia ya kuthibitisha kwamba 'mwanaume sahihi' amefikaKwanza unaishije na mwanaume kabla hujaolewa?
Kuna pupa watoto wa kike mnayo, ikiwa hujaolewa usilale hata kwa mwanaume, usimpe uchi kama maji.
Unakuta umechumbiwa tu unampa mwanaume uchi anauchakaza kama kifungua kinywa kila siku, ukimuudhi na akikuchoka anamchukua Hawa
Mjifunze kujitunza hadi muda ufaao.
ephen_ umeshangaa tena?
Chukua hayo maneno, kabla hujaolewa tunza utam usimpe mwanaume kila siku
Pole kwa yaliyokukuta ndio Walimwengu walivyoUnakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Pole sanaUnakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Kwan uongo sasa, ni diggers si vinginevyoHehee slay queens wakisema mwanaume maskini akapendwe na mama yake tu. Wanakuja juu kuita KE gold diggers
Bahati mbaya sana pia pussy wala mb..oo hazina shukraniHakuna njia ya kuthibitisha kwamba 'mwanaume sahihi' umefika
Waache mabinti wajivinjari
Mbona hao tuliowapata kwa Yesu ndo wanatuumiza usiku na mchanaMPOKEE YESU KRISTO ATAKUPA MTU WA KUFANANA NAWE ATAKAE KUFAA HAUTAANDIKA THREAD ZA KUUMIA TENA
DuhEee unaoukaliaga huku unalembua
Kwanini uishi au uwe na mahusiano na mtoto wa mtu for so long huku ukimwambia utamuoa at the end ukaenda oa mwingine? Hiyo tuiitaje sasa ?Sijawai kuelewa namna gan Muda wa mwanamke huwa unapotezwa
Usiwe mwepesi sana kuhukumu, Jaribu kujitathimini na wewe ni wapi ulipokosea, lakini vilevile utambue wewe kumzidi mwenzio kipato haikufanyi uweze kumiliki akili yake na namna ya kufikiri na kufanya maamuzi, kwa harakaharaka unaonekana ni mwanamke mbinafsi na huenda umemsimanga sana kutokana na hali yake ya kipato kuwa chini, na kati ya mambo ambayo wanaume yanatushinda ni kusimangwa, mwanamke anaweza kuvumilia masimango ila siyo kwa mwanaume mwenye akili timamu, mwanaume ni afadhali akazoe hata takataka kuliko kupewa senti yenye masimango.Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Dear!Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli