Inauma sana na haivumiliki

 

itakuwa ulikuwa unamsimanga, unamkejeli, na kumdharau wakati hana kitu.
 
Hiyo kauli huwa unaitafsiri vibaya. kati ya mwanamke na mafanikio, kipi kinaanza?
 
Dada mkubwa njoo kwangu Wala hutajuta. Njoo uwe waziri Mkuu wangu.
Tuweke utani pembeni, nakuomba uje kwangu tufanye maisha pamoja na utasahau mapito yote.
KARIBU WAZIRI MKUU WANGUπŸ™
 
[emoji122][emoji122]makini sana.
 
Dada kampotezeaje muda?? You are datin me for 3yrs, umenihold. Leo mwaka wa 4 unaenda kuoa mwingine. Unasemaje na mm nmeshiriki kukupotezea muda?
Mnapoanza kuharibu ni hapa
Unakuta kipindi jamaa anakutongoza... Unaanza kumwambia namba yangu kakupa nani? Jamaa anaanza kujitetea lkn humuelewi
Simu yake hupokei, muda mwingine unapokea unamwambia upo bize humtafuti....
Jamaa anakomaa anatuma meseji lakini unajibu kwa kifupi tu. Jamaa anakomaa mpaka miezi 3 ndiyo unamkubali kipindi hicho jamaa ameshakata tamaa hata ule upendo kwako umeisha. Jamaa anasema huyu, mwache tu atakutana na kitu kizito.
Wewe upendo umekolea jamaa anakuchukulia poa tu, sasa akishika na hela anaona ndiyo muda wa kumpiga nyundo huyu aliyekuwa ananisumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…