Inauma sana na haivumiliki

Inauma sana na haivumiliki

Karibu kila mwanamke ana hadithi ya kupotezewa muda na mwanaume katika kipindi chake cha usichana; na kisha kutemwa. Jambo hili huwa linanishangaza sana!
🤣 🤣
Alafu wakikutana na watu wa maana wanaanza kuwaambia wasahau yaliyopita, waangalie mbele...

Mimi mwanamke akianza kunihadithia tu Maisha yake na jamaa yake hata kama Miaka 20 nyumba, upendo unaisha
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Si mnagawana mali au? Maana mmetafuta pamoja.
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo
mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja
dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna
unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae
shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine
je mwanaume wa namna hii utamfanya nin
kumshusha busha
kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende
ukiangalia kakupotezea muda inauma kwakweli
Wewe mchango wako kwenye mafanikio yake ni upi hasa? Unajua mara nyingi sana unaweza ukafikiria una mchango kwa mtu lakin sio kweli ni imagination zako na simtetei huyo mwanaume labda ni mtu mmbaya kweli ila most likely hajafanikiwa because of you inawezekana amefanikiwa inspite of you.

Mwanaume anapambana wewe ni mke wake, uko nyumbani uaamini kumwambia shida zako na matumiz yako ndio kumsapoti ila sio, au uaamin akija ukapika na kumpa K anatakiwa afurahie na huo ndo mchango wako kwake? Hawez kupata mwanamke mwngine wakufua, kutomba au kulala naye?,

Huwez kusema umemvumilia m2 kwenye mahusiano, kama una option nzuri zaid you better take it, kama umeamua kukaa na mtu kwa hali yake yoyote umeamua wewe na sio ki2 unatakiwa kushukuriwa au kuwa kitu cha kukufanya uwe special.

Ishu ya kuvumilia hata yeye amevumilia kwa sababu ameacha wengine mwanzo akakuweka wewe ndan.

Inawezekana ameenda kwa mwanamke aliyemfanya afike hapo alipo na wewe ulikua kisirani unayemsababisha maisha yake yazidi kuwa ya stress alikuvumilia na ameona heri aende zake...

Siku zote unabid uone kwa upande wa m2 mwingine...huweza ikawa wewe hukua na mchango wowote kwake na hicho unachodhan unakitoa hakiendani na anachokitaka. Usipojua hilo inawezekana mwingine tena akaanza kama huyo na akaishia kama huyo..

Think, jicritisize mwenyewe utapata solution
 
Back
Top Bottom