Inauma sana na haivumiliki

Inauma sana na haivumiliki

Marriage requires patience, understanding, ability to bow out in argument and love.

Love marriage fad has blinded people to assume that dating and small term relationship lead to marriage. In reality it doesn’t.

A person good with sex, doesn’t mean he’s going to be good with finances. A person good with money may not be good with sex. And you can guess the rest of scenarios.

Nobody is perfect. But people want perfection for their own life. So they pick and choose their comfort zone in marriage, which doesn’t stand for many in relationship.

That’s why some women have love affair till they find financially secure and decent guy, then they dump their current lover. Many men have love affair with progressive modern woman but they want stability in relationship so they marry conservative woman. Some people just want time pass and intimacy exploration before marriage too.
What ana amazing advice, ukoo wetu ni 🔥🔥🔥 😂😆. Ila mzee Ushimen punguza Wasije turoga
 
Una hoja na inabidi usikilizwe.

Binti anayejielewa hawezi kukupa mpaka details za jinsi sex life na ma ex zake ilivyokuwa maana kisaikolojia hiyo ni mbaya sana kwa mwanaume. Kuna vitu utaambiwa hutakaa uvisahau kamwe!

Na sijui ni kiranga gani huwa kinatufanya sisi wanaume tuanze kuulizia body count ya wapenzi wetu wapya wakati tunajua kabisa kuwa hata tukiambiwa ni mmoja tu itatukera maana huyo kenge ndiye atakuwa mtoa bikra huyo....

Mimi nilishakoma kuulizia na hata akijitolea kuniambia namkataza maana kusema kweli hayanihusu; na najua tu kuwa hatasema ukweli!

We meet. We start fresh. Uliolewa ndoa bubu huko chuoni. Ulikuwa unajiuza mitandaoni au mabarabarani huko. Ulishawahi kutoa mimba. Ulikuwa muuza baa. Una body count 70+...hayo hayanihusu (labda tu ukiwa kwenye gridi ya taifa!)

Ndivyo inavyotakiwa!
Mimi mwenyewe hili ya kuuliza body count huwa nalifanya halafu nikijibiwa huwa naanza kumchukia wakati hata mimi nina mapito yangu mengi tu..Not fair kwa kweli.
 
Mwanamke anaposema anamvumilia mwanaume anakuwa anamaanisha nini?

Kuna utoto mwingi katika falsafa za MAISHA kwa wanawake wakibongo

Unamvumiliaje MTU unamdai ? Au ulimkopesha ?

Mwanaume huwezi kumvumilia hizo ni kauli za kitoto ambazo hazina uhalisia


Tukija katika jambo lako unabidi kujua na kuelewa kuwa Mwanaume anapokuwa broke anakuwa anakuvumilia wewe na sio wewe kumvumilia yeye

That's why alivyojipata uvumilivu wa kuwa na mke mmoja umemshinda achilia mbali kukuoa.


So fungueni akili na sio mapaja
Point mkuu

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Dada Marcy, Mh. Waziri Mkuu wangu Mtarajiwa.
Nipo pamoja nawe katika hili unalopitia. Lakini tambua dhahabu ili inga'ae ni lazima iweze kupitia katika tanulu la moto. Tambua ya kwamba wewe ni dhahabu na una thamani kubwa sana hapa duniaini hivyo kikubwa ni moyo tu wa subira kwani waswahili walishanena ya kuwa subira yavuta kheri.

Back to my special request my Prime Minister, you're the one and only one to whom I think we can establish a strong government and become role model to others. Binadamu wanakutana katika maeneo tofauti tofauti, yumkini nasi kupitia hili likaweza kuwa chanzo cha kutufanya tuweze kuwa familia moja na hili linawezekana tu pale tukiweka Nia ya dhati na pia Kumshirikisha Mungu Baba wa Mbinguni.
Naomba niishie hapa, Wana jf pia ni mashahidi wanaona ni namna gani nimekuelewa na na-wish uwe Prime Minister wangu Ili uisimamie serikali yetu vema tutakayoiunda.

NAOMBA NIPOKEE ,NAOMBA NIFUNGULIE MILANGO.
ASANTE SANA 🙏
 
Tunaweza kuona ni rahisi sana lakini hii inachoma kama pasi,imagine huyo dada amemvumilia mwenzio mpaka wamejenga familia,may be na watoto wamepata,ndugu wanamjua huyo mwanaume kuwa ndo ameoa Binti Yao,then gafla anamuacha anaoa mwingine,,like seriously? Inauma aisee,omba yasikukute. Na hizi mada za single mother wanavyopondwa then umevumilia mtu mwisho wa siku anakuacha ,inaumiza sana
Wew single maza

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Ukiachwa hilo ni kosa lako.

Ama umemkubali mtu ambaye si sahihi tangu mwanzo. Kosa lako.

Ama mtu alikuwa sahihi mwanzo akabadilika, ukashindwa kumuacha wewe kwanza. Kosa lako.

Ama mtu sahihi, ila kakuchoka tu. Kosa lako.

Vyovyote vile hutakiwi kuachwa.

Ukiachwa usilalamike. Tafuta mwingine tu.

Kwa sababu, kuachwa ni kosa lako.

Bila kujali wewe ni mwanamke au mwanamme. Bila kujali unahudumia au unahudumiwa.

Unatakiwa kuwa na mvuto mkali sana kiasi kwamba wewe tatizo lako liwe ukiingia kwenye mahusiano watu hawataki kuachana nawe.

Yani wao ndio wawe wanalazimisha mahusiano na wewe, sio wewe unalazimisha mahusiano na wao.

Ukiachwa ujue ushazembea sehemu hapo.

Jitafute ujiongeze mwenyewe bila kutaka kumdhuru mtu.
 
🤣🤣🤣🤣 Mi nawaambiaga hao wanaume njaa msiwakubali mnaletaga ubishi wa kujifanya mnajua mapenzi..!!
Bora kulia ndani ya benz kuliko juu ya baiskeli

Comment yangu mtu asiiguse puliiiizzz 😜
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Achana nae huyo mami
 
Back
Top Bottom