Inauma sana unapoombwa pesa au msaada unapambana kumsaidia mtu, ukimpa hakujulishi kapata, anakwambia alishasaidiwa, atautumia siku nyingine, n.k

Inauma sana unapoombwa pesa au msaada unapambana kumsaidia mtu, ukimpa hakujulishi kapata, anakwambia alishasaidiwa, atautumia siku nyingine, n.k

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Mtu anakuja kwako anaonesha shida imembana anakuomba umsaidie iwe ni pesa, nguvu zako, connection zako, n.k.

Yawezekana haupo vizuri kifedha inabidi ukope, umebanwa na ratiba lakini unazivuruga kwajili yake, connection unazo lakini hadi zinyenyekewe kwa kujishusha, n.k. unaamua kujitoa umsaidie hivyo hivyo tu.

Haya ushampa msaada,

Kapiga kimya, hata kusema kapokea msaada hakuna, unaingia na wasiwasi labda wezi wameiba njiani.

Anakwambia alishasaidiwa, unakaa chini ukitafakari kwanini kakuchosha muda wote huo

Anakwambia atautumia baadae au siku nyingine, ni kama shida zilikuwa hazijambana
 
Good evening.. Am kindly asking if there is any piece work do to am now available.

Hiyo ni message nilitumiwa juzi na binti niliyamtafuta 30th April ili nimpe kazi ya kuuza duka. Nakumbuka hiyo tulikubaliana tuonane siku inayofuata ili kukubaliana lakini hakutokea. Na hata nilipokutana nae barabarani hakusema lolote. Ikabidi nitafute mtu mwingine. Sasa ndo juzi katuma hiyo msg.
 
Good evening.. Am kindly asking if there is any piece work do to am now available.

Hiyo ni message nilitumiwa juzi na binti niliyamtafuta 30th April ili nimpe kazi ya kuuza duka. Nakumbuka hiyo tulikubaliana tuonane siku inayofuata ili kukubaliana lakini hakutokea. Na hata nilipokutana nae barabarani hakusema lolote. Ikabidi nitafute mtu mwingine. Sasa ndo juzi katuma hiyo msg.
🤔🤔🤔🤔🤔Kuna mawili mwambie ukweli au nawe piga kimya
 
Good evening.. Am kindly asking if there is any piece work do to am now available.

Hiyo ni message nilitumiwa juzi na binti niliyamtafuta 30th April ili nimpe kazi ya kuuza duka. Nakumbuka hiyo tulikubaliana tuonane siku inayofuata ili kukubaliana lakini hakutokea. Na hata nilipokutana nae barabarani hakusema lolote. Ikabidi nitafute mtu mwingine. Sasa ndo juzi katuma hiyo msg.
Most likely alipata mwanaume aliempa jeuri kumpa hela za chips mayai na bando kila siku, kashatumika kaachwa na pesa zimekauka.

Kaanza kukumbuka kwamba inabidi awe na kipato cha uhakika zaidi kuzidi pesa zinazopigwa stop muda wowote.
 
Mtu anakuja kwako anaonesha shida imembana anakuomba umsaidie iwe ni pesa, nguvu zako, connection zako, n.k.

Yawezekana haupo vizuri kifedha inabidi ukope, umebanwa na ratiba lakini unazivuruga kwajili yake, connection unazo lakini hadi zinyenyekewe kwa kujishusha, n.k. unaamua kujitoa umsaidie hivyo hivyo tu.

Haya ushampa msaada,

Kapiga kimya, hata kusema kapokea msaada hakuna, unaingia na wasiwasi labda wezi wameiba njiani.

Anakwambia alishasaidiwa, unakaa chini ukitafakari kwanini kakuchosha muda wote huo

Anakwambia atautumia baadae au siku nyingine, ni kama shida zilikuwa hazijambana
Mkuu ulikuwa unaulia timing msaada wako upate mbususu au? 😂😂😂! Maana wenye majibu kichefuchefu ni wadada! Mdada mpe msaada kwa mfumo wa sadaka maana ukiufuatilia utapata majibu ya shombo! Kwamfano hawa manzi anaweza kuwa na shida ya 1m. Mtu wake kampa laki 9.5 kasoro elfu 50. Akaja kwako analia ukampa hiyo 50! Baaada ya hapo sepa hamna hata "asante"
 
Mtu anakuja kwako anaonesha shida imembana anakuomba umsaidie iwe ni pesa, nguvu zako, connection zako, n.k.

Yawezekana haupo vizuri kifedha inabidi ukope, umebanwa na ratiba lakini unazivuruga kwajili yake, connection unazo lakini hadi zinyenyekewe kwa kujishusha, n.k. unaamua kujitoa umsaidie hivyo hivyo tu.

Haya ushampa msaada,

Kapiga kimya, hata kusema kapokea msaada hakuna, unaingia na wasiwasi labda wezi wameiba njiani.

Anakwambia alishasaidiwa, unakaa chini ukitafakari kwanini kakuchosha muda wote huo

Anakwambia atautumia baadae au siku nyingine, ni kama shida zilikuwa hazijambana
Anza na mfano mdogo kutoka kwako mwenyewe!

Unaombo vocha kwa 'client', ukishaipata unapiga kimya bila hata responce ya 'ahsante'.

Tujipeleleze sisi wenyewe na jamii tuliyomo kwanza.

Tabia zote mbofu mbofu huwa ni leflection ya jamii, tujisahihishe.
 
Back
Top Bottom