Tek sio tatizo.marekani wana tek ya hali ya juu lakn ujambazi na mauaji vinafanyika tu
hata kipindi cha suleman kova ujambazi ulikuwepo sana tena ndo kipindi makundi mengi ya panyarod yalifanya uhalifu mwingi. Magufuli alitokomeza kabisa ule mtandao. Ukaja kuibuka tena alivoingia samia lakini naona kuko kimya sina hakika kama wamedhibitiwa au wametulia kwa muda uchaguzi upite kwanza kisha matukio yaendelee.Nadhani IGP alikuwa Omary Mahita aliyekuwa na kashfa nyingi za kushirikiana na na baadhi ya Majambazi
Kuna lile tukio la 2006 la uvamizi wa gari la NMB lililokuwa limebeba pesa.. Hili si la Mkapa lakini ni mabaki yake
Tukio lile la CRDB Nyerere road wale wandava waliingia saa mbili asubuhi na Range rover mbili nyeusi na kufanya yao.. Ilikuwa kama picha la shozniga.. Wakapora mabilioni wakasepa kusikojulikana.. Hatukuwahi kusikia kuna waliokamatwa
Likaja la Tegeta baada ya defender la polisi kuingia kwenye mfumo wa majambazi na kukutana na miziki minene ya AK47.. Katika kujihami askari wale na jibwa lao lenye mafunzo makali sana wakalala kwenye sakafu ya body la gari
Wale majambazi walikuwa na mafunzo ya ziada walipeleka moto wa risasi za rasharasha pembezoni mwa body na kuwamaliza askari wote pamoja na umbwa lao
Matukio ya uporaji mabenki at gun point yalikuwa mengi sana, mengine yalifanyka city center kabisa mapema asubuhi ama mchana kweupe
Matukio haya yakafuatiwa na uvamizi vituo vya polisi, kupora silaha, kujeruhi na hata kuua askari
Kwa wasiojua zamani kabla ya uvamizi wa vituo vya polisi raia walikuwa wanaingia muda wowote 24/7
Baada ya matukio ya uvamizi kushika kasi ndio ikaja sheria mpya ya askari kulinda vituo kuweka uzio na vizuizi na raia kutoruhusiwa kuingia na gari hasa nyakati za usiku.. Na baadhi ya vituo vikawa vinafungwa usiku
Matukio ya uvamizi, uporaji na mauaji havikuishia kwenye mabenki tu bali hata
Kwenye maduka makubwa na madogo
Sehemu za kubadili pesa za kigeni
Vibanda vya mawakala wa pesa
Vituo vya mafuta nknk
Kwenye matukio yote haya wahusika wa usalama wa raia na mali zao hakuna aliyejiuzulu hata mmoja
Kwenye matukio yote haya 'inside jobs' zilikuwa nyingi
Kwenye matukio yote haya kuna mamlaka za ulinzi na Usalama zilituhumiwa kushirikiana na majambazi
Nyakati za Jk kukawa na matukio mengi ya utapeli mkubwa kuliko ujambazi wa kutumia silaha
Kwenye utawala wa Magu todate majambazi yakafyekwa kisawasawa Ila kutekwa na kupotea kwa watu kukatamalaki kwa viwango vya kutisha
Huyu mahita huyu???Mahita na kamanda Alfred Gewe walikua ni sehemu ya tatizo.
Haswaaaa! Saba Sita!Banjoo Vs Saba Sita
Ndio maana nikasema mazingira yamebadilika ni kuhusu mafoleni barabarani.Kuna boda inaweza kufukuza defender, discover, Vogue au land cruiser yoyote, sema advantage yao miaka hiyo magari hayakuwa mengi hivyo jam ingekua sio kikwazo kwao tofauti na miaka hii foleni kuanzia asubuhi hadi jioni
uyouyo mzee wa Ngunguri.Huyu mahita huyu???
Hata baadhi ya RPC walikuwa na vikundi vyao vya uhalifuMahita na kamanda Alfred Gewe walikua ni sehemu ya tatizo.
secret agents hawawezi kujisema mkuu,sema tu wewe kuna vitu unavijua ambavyo wengi hatuvijui.mzee kuna secret agent tunajua mambo kibao nyuma ya pazia tuulize sisi.
Hapana sio kijiwen ni kweli walikua wajeda kambi moja pale kurasin kuna jamaa alitoka kawa mlokole alikua anahadithia ila alikua anakanusha kuhusika lkn ukimsikiliza vizur unapata pichaKwa tukio la NMB Ubungo Mataa inasemekana kuna silaha ya kivita iliazimwa kutoka kambi moja wapo ya Jeshi.
Source: Kijiwe cha gahawa..
Kikwete ndiye ambaye alianzisha Operation kali Sana ya kuwadhibiti Majambazi hapa Tanzania. Mara tu alipoingia madarakani Majambazi-papa wote kabisa walikamatwa na Jeshi la Polisi na kuhojiwa. Wengi wao walipewa onyo kali la mwisho la kutakiwa kuacha kabisa shughuli za ujambazi na kufanya kazi zao halali. Wale Majambazi-papa waliokaidi onyo hilo walikuwa eliminated kimya kimya.Hakika magu aliwamaliza thugs.kuna jamaa yangu nae alikua yupo yupo tu home na wife yake lakini alikua anaishi vizuri mno kumkuta mguuni katupia buti la laki na ushee kawaida tu.kumbeeeee alikua jambawazi nlikuja jua siku walipouwawa majambawazi kama watano hivi nae akiwemo.aiseee haya maisha yana siri nyingi sana bro mshana
Mkuu huko kwa hao fedha zilizopo ni kidogo tofauti na kwenye mabenki au utekaji wa magariUnazungumziaje mawakala wa miamala ya kifedha wanaofanya kazi hadi saa 2 usiku?
Kambi ya Twalipo..Hapana sio kijiwen ni kweli walikua wajeda kambi moja pale kurasin kuna jamaa alitoka kawa mlokole alikua anahadithia ila alikua anakanusha kuhusika lkn ukimsikiliza vizur unapata picha
But all in all, IGP Omar Mahita alikuwa miongoni mwa Watu vinara waliosaidia kustawisha Ujambazi hapa Tanzania hali iliyosababisha hata Bunge kumwita na kumhoji kuhusiana na utendaji kazi wake. Majambazi waliiteka nchi.Kikwete ndiye ambaye alianzisha Operation kali Sana ya kuwadhibiti Majambazi hapa Tanzania. Mara tu alipoingia madarakani Majambazi-papa wote kabisa walikamatwa na Jeshi la Polisi na kuhojiwa. Wengi wao walipewa onyo kali la mwisho la kutakiwa kuacha kabisa shughuli za ujambazi na kufanya kazi zao halali. Wale Majambazi-papa waliokaidi onyo hilo walikuwa eliminated kimya kimya.
But all in all, IGP Omar Mahita alikuwa miongoni mwa Watu vinara waliosaidia kustawisha Ujambazi hapa Tanzania hali iliyosababisha hata Bunge kumwita na kumhoji kuhusiana na utendaji kazi wake. Majambazi waliiteka nchi.
Sio filamu ni tukio la kweliUmevurugwa na muvi za netflix
Hii ilikua siku ya hitimisho la kampeni za JK Jangwani.. 2005 polisi wengi walikua Jangwani...Kuna
Kuna jamaa alikuwa na bureau de change pale namanga hatua chache kabisa na Oyster bay polise walimuua Dec 24 asubuhi
Unapoaambiwq vituo sio maana ya vituo vikubwa mkuu ni hiv vituo vidogo vidogo vya kata sio centralUjambazi ulikuwepo ila mnaposema mpaka ilifikia hatua ya vituo vya Polisi kufungwa usiku sababu yao hapo mmeongeza chumvi.