Inawezekana kipindi cha Mkapa ndio ujambazi mkubwa ulitamalaki

Inawezekana kipindi cha Mkapa ndio ujambazi mkubwa ulitamalaki

Tek sio tatizo.marekani wana tek ya hali ya juu lakn ujambazi na mauaji vinafanyika tu

Vinafanyika ila sio wakishamba kama huu wa kwetu .Alafu huwa wanashikwa mbona hata kama itachukua muda gani.
Kule wauwaji huwa ni wale washajitosa kiwa nao watauliwa au kukamatwa sio anafanya kosa kama hilo akiamini kuwa hatoshikwa kama huku kwetu
 
Nadhani IGP alikuwa Omary Mahita aliyekuwa na kashfa nyingi za kushirikiana na na baadhi ya Majambazi

Kuna lile tukio la 2006 la uvamizi wa gari la NMB lililokuwa limebeba pesa.. Hili si la Mkapa lakini ni mabaki yake

Tukio lile la CRDB Nyerere road wale wandava waliingia saa mbili asubuhi na Range rover mbili nyeusi na kufanya yao.. Ilikuwa kama picha la shozniga.. Wakapora mabilioni wakasepa kusikojulikana.. Hatukuwahi kusikia kuna waliokamatwa

Likaja la Tegeta baada ya defender la polisi kuingia kwenye mfumo wa majambazi na kukutana na miziki minene ya AK47.. Katika kujihami askari wale na jibwa lao lenye mafunzo makali sana wakalala kwenye sakafu ya body la gari

Wale majambazi walikuwa na mafunzo ya ziada walipeleka moto wa risasi za rasharasha pembezoni mwa body na kuwamaliza askari wote pamoja na umbwa lao

Matukio ya uporaji mabenki at gun point yalikuwa mengi sana, mengine yalifanyka city center kabisa mapema asubuhi ama mchana kweupe

Matukio haya yakafuatiwa na uvamizi vituo vya polisi, kupora silaha, kujeruhi na hata kuua askari

Kwa wasiojua zamani kabla ya uvamizi wa vituo vya polisi raia walikuwa wanaingia muda wowote 24/7

Baada ya matukio ya uvamizi kushika kasi ndio ikaja sheria mpya ya askari kulinda vituo kuweka uzio na vizuizi na raia kutoruhusiwa kuingia na gari hasa nyakati za usiku.. Na baadhi ya vituo vikawa vinafungwa usiku

Matukio ya uvamizi, uporaji na mauaji havikuishia kwenye mabenki tu bali hata

Kwenye maduka makubwa na madogo
Sehemu za kubadili pesa za kigeni
Vibanda vya mawakala wa pesa
Vituo vya mafuta nknk

Kwenye matukio yote haya wahusika wa usalama wa raia na mali zao hakuna aliyejiuzulu hata mmoja

Kwenye matukio yote haya 'inside jobs' zilikuwa nyingi

Kwenye matukio yote haya kuna mamlaka za ulinzi na Usalama zilituhumiwa kushirikiana na majambazi

Nyakati za Jk kukawa na matukio mengi ya utapeli mkubwa kuliko ujambazi wa kutumia silaha

Kwenye utawala wa Magu todate majambazi yakafyekwa kisawasawa Ila kutekwa na kupotea kwa watu kukatamalaki kwa viwango vya kutisha
hata kipindi cha suleman kova ujambazi ulikuwepo sana tena ndo kipindi makundi mengi ya panyarod yalifanya uhalifu mwingi. Magufuli alitokomeza kabisa ule mtandao. Ukaja kuibuka tena alivoingia samia lakini naona kuko kimya sina hakika kama wamedhibitiwa au wametulia kwa muda uchaguzi upite kwanza kisha matukio yaendelee.
 
Banjoo Vs Saba Sita
Haswaaaa! Saba Sita!

Ndio maana Mimi binafsi niliposikia kwamba Askari Polisi Saba Sita ameamua kuchimba kaburi lake yeye mwenyewe angali akiwa bado yuko hai na kujiandalia maandalizi yote kabisa juu ya kifo chake wala hata sikushituka. Yuko sahihi kabisa kufanya hivyo kwa sababu anayajua mambo aliyofanya wakati akiwa Askari Polisi.
 
Kuna boda inaweza kufukuza defender, discover, Vogue au land cruiser yoyote, sema advantage yao miaka hiyo magari hayakuwa mengi hivyo jam ingekua sio kikwazo kwao tofauti na miaka hii foleni kuanzia asubuhi hadi jioni
Ndio maana nikasema mazingira yamebadilika ni kuhusu mafoleni barabarani.
Sio speed na uwezo wa gari
 
Kwa tukio la NMB Ubungo Mataa inasemekana kuna silaha ya kivita iliazimwa kutoka kambi moja wapo ya Jeshi.

Source: Kijiwe cha gahawa..
Hapana sio kijiwen ni kweli walikua wajeda kambi moja pale kurasin kuna jamaa alitoka kawa mlokole alikua anahadithia ila alikua anakanusha kuhusika lkn ukimsikiliza vizur unapata picha
 
Hakika magu aliwamaliza thugs.kuna jamaa yangu nae alikua yupo yupo tu home na wife yake lakini alikua anaishi vizuri mno kumkuta mguuni katupia buti la laki na ushee kawaida tu.kumbeeeee alikua jambawazi nlikuja jua siku walipouwawa majambawazi kama watano hivi nae akiwemo.aiseee haya maisha yana siri nyingi sana bro mshana
Kikwete ndiye ambaye alianzisha Operation kali Sana ya kuwadhibiti Majambazi hapa Tanzania. Mara tu alipoingia madarakani Majambazi-papa wote kabisa walikamatwa na Jeshi la Polisi na kuhojiwa. Wengi wao walipewa onyo kali la mwisho la kutakiwa kuacha kabisa shughuli za ujambazi na kufanya kazi zao halali. Wale Majambazi-papa waliokaidi onyo hilo walikuwa eliminated kimya kimya.
But all in all, IGP Omar Mahita alikuwa miongoni mwa Watu vinara waliosaidia kustawisha Ujambazi hapa Tanzania hali iliyosababisha hata Bunge kumwita na kumhoji kuhusiana na utendaji kazi wake. Majambazi waliiteka nchi.
 
Kikwete ndiye ambaye alianzisha Operation kali Sana ya kuwadhibiti Majambazi hapa Tanzania. Mara tu alipoingia madarakani Majambazi-papa wote kabisa walikamatwa na Jeshi la Polisi na kuhojiwa. Wengi wao walipewa onyo kali la mwisho la kutakiwa kuacha kabisa shughuli za ujambazi na kufanya kazi zao halali. Wale Majambazi-papa waliokaidi onyo hilo walikuwa eliminated kimya kimya.
But all in all, IGP Omar Mahita alikuwa miongoni mwa Watu vinara waliosaidia kustawisha Ujambazi hapa Tanzania hali iliyosababisha hata Bunge kumwita na kumhoji kuhusiana na utendaji kazi wake. Majambazi waliiteka nchi.
But all in all, IGP Omar Mahita alikuwa miongoni mwa Watu vinara waliosaidia kustawisha Ujambazi hapa Tanzania hali iliyosababisha hata Bunge kumwita na kumhoji kuhusiana na utendaji kazi wake. Majambazi waliiteka nchi.
 
Watu wa zamani mmeishi kwa shida sana aisee. Poleni sana.
Mnaishi kama swala porini, muda wowote mnaliwa.
 
Aise Mshana jr hii mada umeitoa wapi..umenikumbusha miaka hyo ujambazi ulishamiri sana, Tz ilikuwa kama shamba la bibi huko Kigoma-Tabora kulikuwa hakufai..Kigoma maeneo ya Kazuramimba,Msitu wa kuitafuta Kibondo ukija Kigoma mjini,kutoka Kigoma vijijin kwenda Kasulu kuna kasehem kanaitwa makonani yaani ni kama walikuwa wameshaanzisha familia hapo..ukija maeneo ya kaliwa hatari..kuna sehem nyingine Mkoa wa Songwe ukitokea Mbozi unapita njia ya kuelekea kamsamba katikati kuna msitu mkumbwa ukiwa unaingia kajiji fulani kanaitwa Ntugwa yaani walivokuwa washenzi hako kasehemu walikatunga najina kabisa eti "Bank kuu" hapo walikuwa hawakosi...ila hawa majambazi walikuwa hawafai miaka hyo.. tukio sinto kuja kulisahau nikiwa darasa la nne walimuuwa classmate wangu walienda kuvamia kwao yeye akawa wakwanza kufungua mlango wakamlima shaba ya kichwa kesho yake tunatangaziwa shuleni Rehema amefariki kwa kupigwa risasi na majambazi iliniuma saaaaana halafu alikuwa rafiki yangu.Majambazi hawafai.
 
Ujambazi ulikuwepo ila mnaposema mpaka ilifikia hatua ya vituo vya Polisi kufungwa usiku sababu yao hapo mmeongeza chumvi.
Unapoaambiwq vituo sio maana ya vituo vikubwa mkuu ni hiv vituo vidogo vidogo vya kata sio central
 
Wanaposema technology imekua ni kwamba sasa hiv mambo ya simu tu yamezuia sana uharifu yaan ukipanga tu mipango inanaswa ndo mana leo tunaona watu wanafatwq tu maofisin mwao na kuchukuliwa na kupotezwa izo ni kazi ya simu hiz
 
Back
Top Bottom