THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Aliyekuwa na ubavu wa kupiga vita madawa ya kulevya alikuwa ni Paul Makonda na yule Mmasai aliye kuwa mkuu wa kitengo cha taasisi ya kudhibiti madawa ya kulevya - tangu astaafu taasisi nzima ni nadra kusikika anaweza kufikiri wahusika wote wako likizo!!
Noma sana,CAG ametoa report ya kitaalam wanasema wanamchafua jiwe,kumchafua vip sasa,yaani wao waliaminije kuwa uongoz wa jiwe ulikuwa wa kitakatifu na hakuna wapigaji??Hahahaha hadi wewe leo humuamini CAG? Umefikia huku? Yaani haya yanayoendelea msimamo na imani yako ndik hii? Really?
Duh aisee yule jamaa aliweza kuwafanya muwe brainwashed kiasi hiki?
JokaKuu
Kwann ukumshauri kuvaa barakoa. Mbona ujahoji miradi isiyotija ya Chato.Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
True,mradi ni mzuri uboreshwe tu au tujenge wenyewe kwa pesa zetu.Pesa ya kujenga SGR na Bwawa la Nyerere ilitosha kujenga bagamoyo na chenji ikabakiKama hakuna Win Win situation kwenye huo mpango wa Bandari ya Bagamoyo ni bora ukae tu
Mmebaki kuwa wapiga ramriNimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Katika akili ya kawaida,unawezaje kubeba wanyama kutoka mbugan unawapeleka kwenu chato eti kutengeneza mbuga nyingine Ili kuvutia watalii,coz umeshanunua dreamliners,umeshaanzisha route ya chato,ss unataka kuforce utalii,jamaa alikuwa miyeyusho Sana yule
Wanatia huruma. Walizoea ukimsifia fedhuli wao tu mitandaoni mara Msigwa katoa Jina lako kwenye uteuzi. Wana hali mbaya saivi acha tu
Siyo miyeyusho. Neno sahihi linalomfaa ni Mshenzi
Acha mizuka na kuzusha mambo yasiyo kuwepo.Magufuli ameshakwenda na hatarudi tena,Magufuli alikuwa mwizi na dikteta full stop.
Wazazi wenye watoto kama nyinyi wana bahati mbaya sanaNimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Pumbavu!Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Bashite huyu ninayemjua mimi!?Aliyekuwa na ubavu wa kupiga vita madawa ya kulevya alikuwa ni Paul Makonda na yule Mmasai aliye kuwa mkuu wa kitengo cha taasisi ya kudhibiti madawa ya kulevya - tangu astaafu taasisi nzima ni nadra kusikika anaweza kufikiri wahusika wote wako likizo!!
Wazazi wenye watoto kama nyinyi wana bahati mbaya sana
Spika Ndugai anavyobadilika haraka kesho unaweza kuskia akitaka Tuvunje Ukuta wa Mererani