Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Mzee wa watu kajipumzikia msoga huko hana habari na mambo yenu mnayomtuhumu, kama aliweza kupuuza matusi ya kipindi kile akiwa na power hayo maneno yenu hayamsumbui mnapoteza muda kumchafua,
Katika akili ya kawaida,unawezaje kubeba wanyama kutoka mbugan unawapeleka kwenu chato eti kutengeneza mbuga nyingine Ili kuvutia watalii,coz umeshanunua dreamliners,umeshaanzisha route ya chato,ss unataka kuforce utalii,jamaa alikuwa miyeyusho Sana yule
Ndio nayeye aibe pesa !!???Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Mkuu umesoma kwa mhemuko, mimi pia nimeandika hivyo....Mali za CCM Ni za watanzania? Acha utopolo
Kakoko wa thief 3.6 billions zimetoweka kwenye Acc za bandari na yy akiwa DirectorNimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Kheri yake alibeba kutoka pande nyingine ya Tanzania akapeleka pande ingine ya Tanzania!
Wale walikua wakipandishwa kwa concord kule KIA kutoka Tanzania kwenda mataifa mengine, tunawaweka fungu lipi?
Aiseee, inafikirisha sana.Kheri yake alibeba kutoka pande nyingine ya Tanzania akapeleka pande ingine ya Tanzania!
Wale walikua wakipandishwa kwa concord kule KIA kutoka Tanzania kwenda mataifa mengine, tunawaweka fungu lipi?
Kakonko ni mwizi kama meko,huyo hayati wenu alikua jambazi kuliko awamu zoteNimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
[emoji106][emoji106][emoji106]Kakonko ni mwizi kama meko,huyo hayati wenu alikua jambazi kuliko awamu zote