Aisee! Umenisanua. Na mimi nimeangalia ni kweli jamaa anaandika na ku_comment mwenyewe. Sijui ndio CHAWA wa Millard!Unaandika na kucomment mwenyewe hii ni dalili ya ugonjwa wa akili.
Habari za tajiri muulize maskini.
Sawa broMilard ayo anayo hela Sana sema haonyeshi , kuliko majizoo anapesa jua hilo
Hongera zao kwa kumiliki hela ndefu. Sisi kwasasa tunaendelea kukopa na kuwekeza kwenye crypto tuko bullish wakati huu wa winter we are buying the dip. Kitu kikija kuchanganya mbona dollar million 400-500 tutakuwa nazo.
Huyo ni dem na madem wanazimika kwa ayoAisee! Umenisanua. Na mimi nimeangalia ni kweli jamaa anaandika na ku_comment mwenyewe. Sijui ndio CHAWA wa Millard!
Jana nilikuwa kanisani mchungaji kasema acha kudandia hbr na taarifa zizizo kuhusu unapoteza mudaKulingana na vyanzo vya habari, inaonekana kuwa Diamond Platinumz ni mmoja wa wasanii matajiri zaidi nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa Millard Ayo na Diamond Platinumz wana kazi tofauti na kuzingatia vigezo tofauti linapokuja suala la utajiri.
yo ana engagement kubwa na walaji wake na anaaminika Kuliko chanzo kingine Tanzania.
Mkuu unajua jukwaa linahusu nini? Jukwaa la watu wenye majina/maarufu ni sahihiWewe unaingiza sh ngapi? In manka's voice, kudiscuss vipato vya watu ikiwa wewe mwenyewe kipato chako umekaa nacho kimyaa
Then unapata tuzo ya mjadili bora??Mkuu unajua jukwaa linahusu nini? Jukwaa la watu wenye majina/maarufu ni sahihi
Kuwajadili kwasababu ni sehem sahihi
Walioweka "Celebrities Forum" wanapata tuzo gani!?Then unapata tuzo ya mjadili bora??
Duh kwahyo Millard alikuwa na mshahara mkubwa kuliko Ruge??Ingawa mond amekuwa na kelele nyingi sana kuhusu kipato chake na kutushawishi kabisa kwamba inawezekana ndiye kijana ambaye ana utajiri mkubwa kuliko wote hapa TZ.
Lakini ukimya wa milard ni wa kutilia mashaka sana,hajawahi kusema popote kwamba analipwa mshahara mkubwa kuliko mkurugenzi wa CMG[emoji1][emoji1],mpaka kusaga mwenyewe alipohojiwa.hii ni dalili kwamba mambo mengi kayaficha sana.
By the way Mungu aendelee kuwabariki zaidi na zaidi,na wawe milango ya mafanikio ya wengine wengi pia.
Duh kwahyo Millard alikuwa na mshahara mkubwa kuliko Ruge??
Ulivyowauliza walikujibuje?Walioweka "Celebrities Forum" wanapata tuzo gani!?