Inawezekana Millard Ayo anaingiza pesa nyingi kuliko Diamond Platnumz?

Inawezekana Millard Ayo anaingiza pesa nyingi kuliko Diamond Platnumz?

Ingawa mond amekuwa na kelele nyingi sana kuhusu kipato chake na kutushawishi kabisa kwamba inawezekana ndiye kijana ambaye ana utajiri mkubwa kuliko wote hapa TZ.

Lakini ukimya wa milard ni wa kutilia mashaka sana,hajawahi kusema popote kwamba analipwa mshahara mkubwa kuliko mkurugenzi wa CMG[emoji1][emoji1],mpaka kusaga mwenyewe alipohojiwa.hii ni dalili kwamba mambo mengi kayaficha sana.

By the way Mungu aendelee kuwabariki zaidi na zaidi,na wawe milango ya mafanikio ya wengine wengi pia.
Diamond anamiliki roll Royce ambayo sina uhakika kama kuna mtu anayo hapa bongo
 
Diamond anamiliki roll Royce ambayo sina uhakika kama kuna mtu anayo hapa bongo

Ni sawa kabisa lakini haina maana watu hawawezi kununua.
Gari ile ina kazi moja tu,kumpandisha thamani yeye kama msanii,sio usafiri.
Kuna watu kwa nature ya kazi yao hawawezi kuwekeza 1.5 bilion kwenye gari ni ujinga.

Ila kwa msanii ni jambo la maana.
 
Kulingana na vyanzo vya habari, inaonekana kuwa Diamond Platinumz ni mmoja wa wasanii matajiri zaidi nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa Millard Ayo na Diamond Platinumz wana kazi tofauti na kuzingatia vigezo tofauti linapokuja suala la utajiri.

Millard Ayo ni mwanahabari maarufu nchini Tanzania ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kupitia kazi yake ya uandishi wa habari na utangazaji. Ameanzisha blogu yake na anafanya kazi kama mtangazaji wa runinga na redio. Kwa upande mwingine, Diamond Platinumz ni msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava ambaye amefanikiwa katika tasnia ya muziki nchini Tanzania na kimataifa.

Kwa kuzingatia kazi zao tofauti, ni dhahiri kwamba Diamond Platinumz anapata kipato kikubwa kutokana na mauzo ya albamu zake, matamasha, hisa zake kwenye WCB na Wasafi redi, na kazi zingine za muziki. Kwa upande mwingine, Millard Ayo anapata kipato kutokana na matangazo kwenye blogu yake, vipindi vya redio na runinga, na kazi zingine za uandishi wa habari.

Hata hivyo, inawezekana kwamba Millard Ayo amepata mafanikio ya kifedha kwa sababu ya uwekezaji wake katika biashara mbalimbali nchini Tanzania. Kwa mfano, yeye ni mmiliki wa kampuni ya simu ya mkononi inayoitwa Millard Ayo Mobile, na amewekeza katika biashara zingine kama vile ujenzi wa nyumba na uwekezaji katika soko la hisa.

Ni vigumu kulinganisha utajiri wa Millard Ayo na Diamond Platinumz kwa sababu wana kazi tofauti na vyanzo tofauti vya kipato. Hata hivyo, ni wazi kwamba wote wamefanikiwa katika kazi zao na wamepata mafanikio makubwa katika maisha yao.

Inawezekana Millard ayo anaingiza Pesa nyingi kwa mwezi kwa sababu anapost content nyingi (productivity) kuliko Wasafi na Diamond platimumz wote.

Hivyo kama ni fedha kupitia matangazo inawezekana akawa anapata nyingi kuliko Diamond platinumz na wasafi.

Nachelea kusema kama wewe ni mfanyabiashara na unataka kutangaza biashara yako ni heri ukaitangaza kwa Millard Ayo kuliko wasafi maana Millard ayo ana engagement kubwa na walaji wake na anaaminika Kuliko chanzo kingine Tanzania.
Unalinganisha visivyofanana. Kwa nini usimlinganishe na kina Shaffi, Kipanya n.k
Diamond ni mwanamuziki huyu Mtangazaji wapi na wapi?
Weka Resources wanazomiliki Thamani zake kwa kila mmoja tukuelewe. Vinginevyo haya ni maoni yako tu! Sio fact

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Kulingana na vyanzo vya habari, inaonekana kuwa Diamond Platinumz ni mmoja wa wasanii matajiri zaidi nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa Millard Ayo na Diamond Platinumz wana kazi tofauti na kuzingatia vigezo tofauti linapokuja suala la utajiri.

Millard Ayo ni mwanahabari maarufu nchini Tanzania ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kupitia kazi yake ya uandishi wa habari na utangazaji. Ameanzisha blogu yake na anafanya kazi kama mtangazaji wa runinga na redio. Kwa upande mwingine, Diamond Platinumz ni msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava ambaye amefanikiwa katika tasnia ya muziki nchini Tanzania na kimataifa.

Kwa kuzingatia kazi zao tofauti, ni dhahiri kwamba Diamond Platinumz anapata kipato kikubwa kutokana na mauzo ya albamu zake, matamasha, hisa zake kwenye WCB na Wasafi redi, na kazi zingine za muziki. Kwa upande mwingine, Millard Ayo anapata kipato kutokana na matangazo kwenye blogu yake, vipindi vya redio na runinga, na kazi zingine za uandishi wa habari.

Hata hivyo, inawezekana kwamba Millard Ayo amepata mafanikio ya kifedha kwa sababu ya uwekezaji wake katika biashara mbalimbali nchini Tanzania. Kwa mfano, yeye ni mmiliki wa kampuni ya simu ya mkononi inayoitwa Millard Ayo Mobile, na amewekeza katika biashara zingine kama vile ujenzi wa nyumba na uwekezaji katika soko la hisa.

Ni vigumu kulinganisha utajiri wa Millard Ayo na Diamond Platinumz kwa sababu wana kazi tofauti na vyanzo tofauti vya kipato. Hata hivyo, ni wazi kwamba wote wamefanikiwa katika kazi zao na wamepata mafanikio makubwa katika maisha yao.

Inawezekana Millard ayo anaingiza Pesa nyingi kwa mwezi kwa sababu anapost content nyingi (productivity) kuliko Wasafi na Diamond platimumz wote.

Hivyo kama ni fedha kupitia matangazo inawezekana akawa anapata nyingi kuliko Diamond platinumz na wasafi.

Nachelea kusema kama wewe ni mfanyabiashara na unataka kutangaza biashara yako ni heri ukaitangaza kwa Millard Ayo kuliko wasafi maana Millard ayo ana engagement kubwa na walaji wake na anaaminika Kuliko chanzo kingine Tanzania.
Umeshakuja na story za kijiweni! Millard hana hiyo kampuni ya Simu za Mkononi uliyosema na hata pesa anayongiza hata robo haifiki kwa pesa anayoingiza Diamond.
 
Ni sawa kabisa lakini haina maana watu hawawezi kununua.
Gari ile ina kazi moja tu,kumpandisha thamani yeye kama msanii,sio usafiri.
Kuna watu kwa nature ya kazi yao hawawezi kuwekeza 1.5 bilion kwenye gari ni ujinga.

Ila kwa msanii ni jambo la maana.
Nimekuonesha jinsi jamaa anavoingiza pesa ukiacha hapo ana miliki gari lingine la kifahari cadillac escalade
 
Back
Top Bottom