Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu huko Masaki, O'bay, Kariakoo wanazo ila hawatangazi na kuoneshaDiamond anamiliki roll Royce ambayo sina uhakika kama kuna mtu anayo hapa bongo
Kibwengo cha jf🤣Kuna mtu nilimreply sijui ni mod maana amefuta comment yake na reply yangu kwake imebaki kama comment ya uzi
Jibu swali acha makasirikoKwani umeelewaje comment yangu?
ID kibao
Jamaa hajui kua kuna watu wana helaaaa chafu na hawana majigambo yakijinga.Zipo nyingi mkuu tena kwenye hilo mwana nimempinga sabb kuna mimi nimeanza kuiona RR kwa mchaga mmoja hivi alikua nayo rangi nyeusi
Wanamilikiwa na Boss mmoja kiaje?Sijui ayo blog au ayo tv na wasafi fm, wasafi tv ila wote hao wanamilikiwa na bosi mooya
Siwezi kujua pia ni ngumu kuwashindanisha maana mmoja hana redio, mwingine anayo.Point blank.
Hivo ana payroll ndefu kuliko mondi
Sana nenda mikoa wanayochimba dhahabu au madini asee kuna madon wanaendesha magari ambayo watu tunayaona kwenye movie tuuhJamaa hajui kua kuna watu wana helaaaa chafu na hawana majigambo yakijinga.
Unachobisha ni nn sasa? Tanzania nzima rolls Royce culinan ni moja tu hiyo diamond.Unauhakika kwamba Tanzania Kuna Rolls Royce moja???
Muwe mnaelewa hizo RR zilizopp bongo no matoleo ya zaman, ila hiyo diamond RR culinan bongo ipo moja tu hiyo ya diamond alafu hizo zingine unazosema ww hazifikii thaman kama hiyo diamond.[emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1]mkuu wabongo wengi tuu wanazo RR kuna jamaa mchaga anamiliki RR wakati huo diamond ndo anaiota
Zipo wapi? Acha uongo RR hapa bongo hazifiki hata 5 na hiyo kama ya diamond ipo moja tu.Labda kama alimaanisha hiyo SUV model,lakini zipo kibao mtaani.
Story nyingine za vijiweni tu, hata migodini nafikiri haujawahi kufika!!! Migodini matajiri wanatembelea magari ya kawaida tu ma land roverSana nenda mikoa wanayochimba dhahabu au madini asee kuna madon wanaendesha magari ambayo watu tunayaona kwenye movie tuuh
Zipo wapi? Acha uongo RR hapa bongo hazifiki hata 5 na hiyo kama ya diamond ipo moja tu.