Inawezekana Rais Mwinyi na Magufuli hawawasiliani katika uongozi?

Uzi wa hovyo sijapata kuona! Unaandika vitu vya uongo sijui ni kwa faida ya nani?
 
Usipate tabu jombaa, Afya sio suala la muungano! Hiyo imeisha kilammtu na ashinde mechi zake!
 
Mwinyi ni Rais mzuri kasamehe mabaya yote ya nyuma kaamua kuanza upya Zanzibar ipate kuendelea kwa kasi kubwa, hataki Tabia za task force kuwabambikia kesi za madeni ya nyuma ZRA hataki wafanyabiashara kufungiwa biashara, Account mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa, yupo wazi juu ya covid 19 Zanzibar watu wanavaa barakoa wanajipaka vitakasa mikono mda wote hakuna salam za mikono wala mikusanyiko isiyo na tija
 
Saa 2 zilizopita jirani yangu anayeniuziaga bia mdada grosari amedondoka mbele yetu na kufa kwa kudai anashindwa kupumua. Hatujapeleka mwili mochwari.
Corona ipo Tanzania tena corona sugu tofauti na Corona zingine huko mataifa ya mbali kama Pakistan india Brazil ambapo corona inaua watu kama nzige
 
Cha kushangaza... Tangu Mwinyi alivyotangaza Meko hajulikani alipo...
 
Bakwata mfukoni kwa JPM wanaweweseka kuhiji mwaka huu ndogo bila cheti cha chanjo
 
Utawala wa jiwe hauvuki bahari. Yake ni Danganyika tu. Na anatudanganya kwelikweli.
... zile nguo za kivita angezivaa kwa ajili ya vita dhidi ya korona ingependeza zaidi ... maana vita dhidi ya korona inaleta kauhalisia zaidi kuliko ile vita ingine feki!
πŸ‘Š πŸ˜…βœŒοΈπŸ’₯
 
Wapi Mstahiki Mheshimiwa Raisi JPM alisema Tanzania hakuna korona,wacheni kusikia habari kinyumenyume,kila kukicha Raisi analiombea taifa lake na watu wake kama haitoshi alishawahi kuwaambia waombe dua na kusali na kufunga ,sasa mnataka awaambie nini tena ? Ukishaambiwa hayo ndio unatakiwa ujitambuwe na kujiongeza,tahadhari na kila kitu ni juu yako,arafu sio tanzania tu peke yake hata Vietnam wao ndio zaidi hawana hata mtu mmjoa na hawaamini juu ya uwepo wa korona,kama mnakumbuka waliipokea meli ya Kitalii iliyozuiliwa kufunga na kushusha abiria aka watalii ndani ya Japan,Raisi wa Vietnam akairuhusu meli kufunga gati kushusha abiria wote na kuwakaribisha kisha kila mmoja akatafuta au kusaidiwa kurudi nchi yake.

Mstahiki Raisi Mheshimiwa JPM ameshawaambia mara nyingi tu ,mchukuwe tahadhari hata habari ya nyungu ndie aliewahimiza,sasa alihimiza kuwatibu viguru ? Pigeni nyungu msitafute mchawi wakati wachawi ni nyinyi wavivu wa kuelewa mnachoambiwa.

Hio chanjo ni hiari ya mtu, huko wanakotiana chanjo ni wewe na hiari yako,na inakubidi uweke saini ili ikikuvuruga hakuna wa kutiwa pingu wala kulaumiwa na haina ishuwarensi.

Raisi ana kosa gani ikiwa kiujumla amekataa chanjo kwa Taifa lake,kitu ambacho hulazimishwi,ufupi ametuamulia akiwa yeye kama kiongozi wetu ameona mbali sana.
 
Nchi mbili tofauti
 
Zanzibar wana bahati ya kuwa na kiongozi mwenye busara
 
Ina maana WHO wanaongea direct na Serikali ya Mapinduzi?
Kama afya sio swala la Muungano kwa mwenye ufahamu tafadhali?
 
Zanzibar wana bahati ya kuwa na kiongozi mwenye busara
Viongozi wote wawili wanakula Samaki sana ila nahisi samaki wa Ziwa Victoria sana viwango vikubwa cha Madini ya Zebaki kutokana na shughuli za uchimbaji wa Zahabu kwenye maeneo ya kando kando ya Ziwa
 
Mkuu Rais ni binadamu kama wengine kwahiyo hawa watu wanautashi wa tofauti na imani za tofauti.
Ni kuulize swali mtoa Maada, je wewe unaona COVID-19 ipo au haipo?
Swali la kipumbavu, siyo saizi ya Great Thinker
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…