Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kuna stori nyingi hasa za wanafunzi wa shule za sekondari kuona au kukutana na viumbe wa ajabu ajabu wasioeleweka ambao wamepewa jina maarufu la vibwengo.
Stori nyingi huwa zinawahusisha hawa viumbe wanaodaiwa kuonekana na uchawi, tatizo kubwa Waafrika mambo mengi yasiyoeleweka huwa yanahusishwa na uchawi, majini au ushirikina.
Ukiwasikiliza watu wa West wanapoongelea viumbe kutoka sayari nyingine nje ya dunia wenye teknolojia ya juu sana kuliko binadamu unaweza kufikiri vibwengo ni aina fulani ya aliens, labda huwa wanakuja duniani wanajaribu kufanya mawasiliano na binadamu ila kunatokea mgongano wa mawasiliano wanaishiwa kufikiriwa ni viumbe vya uchawi.
Stori nyingi huwa zinawahusisha hawa viumbe wanaodaiwa kuonekana na uchawi, tatizo kubwa Waafrika mambo mengi yasiyoeleweka huwa yanahusishwa na uchawi, majini au ushirikina.
Ukiwasikiliza watu wa West wanapoongelea viumbe kutoka sayari nyingine nje ya dunia wenye teknolojia ya juu sana kuliko binadamu unaweza kufikiri vibwengo ni aina fulani ya aliens, labda huwa wanakuja duniani wanajaribu kufanya mawasiliano na binadamu ila kunatokea mgongano wa mawasiliano wanaishiwa kufikiriwa ni viumbe vya uchawi.