Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu


Acha ujinga number identical haziruhusiwi hata kama unazilipia
 
chauma na sisi tukamua kutoa zetu itakuwa ni sawa?
tunataka iwe,
T Ubwabaa 2020
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huyu hajawahi kumiliki gari hawezikujua hizo special vehicle plate number na zinavyooperate!
Mkuu ungejaribu hata kupitia komenti kwanza za wengine ungeongeza maarifa kidogo

Hiyo unayoita “ Special Vehicle Plate Number” tumeelezea mbona?? Namba spesho na namba maalum nadhani ndo unaziongelea. Na sheria yake iliyobadilishwa kuruhusu namba maalum imewekwa hapo juu
 
Za makanjanja tu wa mjini, inaweka na kutolewa (inavalishwa juu ya plate namba halisi)
 
Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu
Hujaelewa concept.

Likitumika kwenye uhalifu utalitofautishaje na lingine? Unajua kwanini kila gari ina namba yake tofauti na nyingine?
 
Nimeona had gari za CDM kwenye msafara wa lissu zimeandikwa LISSU NI YEYE so wote wale wale tu

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,huyo uliyemjibu ni sukule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…