FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Kimsingi ilipaswa iwe hivyo lakini pengine kuna punguzo kwenye taasisiSpecial number zile zinazolipiwa 10m?
Hapo umehitimisha mjadala. Ila kuna wabishi watakuja tu na hoja pingamizi.We hujawaza kwa kina, private number ikishachukuliwa na mmoja, hiyo namba anapewaje tena mwingine? Halafu kuna watu wamekupa na LIKE aisee ushabiki bila kutumia akili ni mbaya sana
Hata kama ni magari ya mtu mmoja, lazima iwekwe tofauti.. mfano kama mwenye hayo magari anaitwa MIMI, inaweza ikaandikwa MIMI 1, MIMI 2, MIMI 3 etc... huwezi yote ukaandikiwa MIMI, MIMI, MIMI...
Acheni kutetea vya kijinga
Fikiria, umekutana na trafiki anakagua magari kwa vile vimashine vyao, kama inadaiwa akaona T 2020 JPM inadaiwa, atamkamata nani?
Hii fee ya Tsh.150,000 mbona hata kwny jedwali la TRA haipo mzee baba?Hahah hio namba ni specific kwa kampeni season. Inalipiwa laki na nusu na si 10M mjomba.
Mabadiliko ya sheria ya kodi 2019 usajili wa gari kwa namba maalum ni Tzs 500,000/=Kimsingi ilipaswa iwe hivyo lakini pengine kuna punguzo kwenye taasisi
Duu hili sio chaka kweli?[emoji848][emoji2827][emoji38]Hahah hio namba ni specific kwa kampeni season. Inalipiwa laki na nusu na si 10M mjomba.
ni laki 5 mkuu, kumradhiHii fee ya Tsh.150,000 mbona hata kwny jedwali la TRA haipo mzee baba?View attachment 1591817
Hivi binti, una umri gani wewe?Utashindana na Rais wewe?
ni laki 5 mshua, nilichanganya mafailiDuu hili sio chaka kweli?[emoji848][emoji2827][emoji38]
Kwa mujibu wa sheria ilipitishwa ni 500k kwa nyakati zote si wakati wa kampeni tu!Duu hili sio chaka kweli?[emoji848][emoji2827][emoji38]
Kuna mjomba hapo[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]amesema kuna hio fee ya Tsh. Ya 150,000,sikua nimewahi kuisikia kabla.Hahah hio namba ni specific kwa kampeni season. Inalipiwa laki na nusu na si 10M mjomba.
Kimsingi ilipaswa iwe hivyo lakini pengine kuna punguzo kwenye taasisi
itakuwa ni mkono wa baunsa umetype πππ fee ni laki 5Kuna mjomba hapo[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]amesema kuna hio fee ya Tsh. Ya 150,000,sikua nimewahi kuisikia kabla.
Hapo jibu utakalopewa ni rahisi tu,bado tuko kwny D huko kwny T hatujafika na usituchanganye kabisa.Najiuliza tu, wale wapenzi na washabiki wa Lissu wakitaka kuweka T 2020 TAL wataruhusiwa? Manake kusiwe na double standard!!
Hahah haina noma nimekusoma mzee baba.u
itakuwa ni mkono wa baunsa umetype [emoji23][emoji23][emoji23] fee ni laki 5
ni laki 5 mshua, nilichanganya mafaili
Mapato ndio kipaumbele hapa..kumbe naweza sajiliKwa mujibu wa sheria ilipitishwa ni 500k kwa nyakati zote si wakati wa kampeni tu!
22Hivi binti, una umri gani wewe?