residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Wewe umeandika "wanazo zao" lakini umeonyesha moja tu. Wenzako wameonyesha zaidi ya gari moja kuwa na namba hiyo hiyo moja.
Umeelewa hoja ya mleta uzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeandika "wanazo zao" lakini umeonyesha moja tu. Wenzako wameonyesha zaidi ya gari moja kuwa na namba hiyo hiyo moja.
PHOTOSHOP?
Mbona yapoya cdmHili la Namba za Magari kwa Namba moja (inayo fanana) kutumiwa/kutumika katika Magari tofauti ni kosa ,ila kwa Sababu CCM ndio mmeshika mpini ni sawa tu.Kwa wenye Akili tunasema mnavunja Sheria.
Hii hapaTundu lissu anatumia..
NI LISSU MWENYEWE
Juzi alikuwa nayo kanisani Pale Azania Front.
Nimeziona za hiv 3Je kuna wengine mtaani wanatumia hio?!
Yes..
SAFI SANA, WATU WENGINE WANAJIFANYA HAWAJUI MAMBO YA PRIVATE NUMBERS[emoji109][emoji109][emoji109] wananifanya niwaone washamba.Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu
Private NUMBERS hizo, na wewe kaandike zako tlp ruhusa kutoka T.R.AHii nchi polisi wanajuaga sheria ikiwa ni upinzani tu, ukiwa CCM unaweza kufanya lolote. Huku Tabata yamejaa kuanzia la mgombea ubunge Segerea, madiwani na mashabiki.
Hapana ni real siku ukiuona msafara wake angalia utazionaPHOTOSHOP?
Nimeona had gari za CDM kwenye msafara wa lissu zimeandikwa LISSU NI YEYE so wote wale wale tu
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Basi wewe sio mfuatiliajiCDM bado hawajaanza kuiga. Tutakapoanza kuiga tutawataarifu.
Kwani hadi sasa umeshasikia wapi jiwe au bomu limerushwa? Si mngali mnarusha nyie bado?
Mkitufikisha mnakotaka tuwaige tutawataarifu. Beberu anasema: "stay tuned."
Kama usajili ndio huwa unakuwa hivyo Basi sioni haja gari kuwa na namba.Magari kumi kuwa na namba moja Ni sawasawa na watahiniwa kumi kuwa na namba moja ya mtihani.Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu
We hujielewi.. kama mwenye magari hayo anaitwa swamy, huwezi andika magari zaidi ya moja swamy, swamy, swamy... lazima utatofautishiwa... mfano swamy 1, swamy 2, swamy 3 etc... Acha kujitoa akili... Kuwka namba moja kwenye magari zaidi ya moja, ni sawa na kutokuwa na namba tu..SAFI SANA, WATU WENGINE WANAJIFANYA HAWAJUI MAMBO YA PRIVATE NUMBERS[emoji109][emoji109][emoji109] wananifanya niwaone washamba.
Ndio wanazo zaid ya moja niliziona kwenye msafara waoWewe umeandika "wanazo zao" lakini umeonyesha moja tu. Wenzako wameonyesha zaidi ya gari moja kuwa na namba hiyo hiyo moja.
Umeelewa hoja ya mleta uzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yapo magari mangapi? Kama yapo mengi Basi Ni shida.Basi wewe sio mfuatiliaji
Unataka kusema hujawahi yaona magari yenye kibao hichi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1599521
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kalipe hela t.r.a uone kama hawakupatii ruhusa.We hujielewi.. kama mwenye magari hayo anaitwa swamy, huwezi andika magari zaidi ya moja swamy, swamy, swamy... lazima utatofautishiwa... mfano swany 1, swamy 2, swamy 3 etc... Acha kujitoa akili
Kama hujui kaa kimya tu au uliza uelekezwe...Private NUMBERS hizo, na wewe kaandike zako tlp ruhusa kutoka T.R.A
Ila picha zako ni za gari moja.Ndio wanazo zaid ya moja niliziona kwenye msafara wao
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Sikiliza, private number tunazijua. Inaweza kuwa hata SWAMY ila ni ya gari yako wewe tu. Sio gari ya kila mtu kwenye ukoo itumie namba hio. Hii tunayoisema hapa inatumiwa na watu kibao kuanzia mwenye VX V8 hadi Vits. Hio 'private number' ina maana gani kama namba hio hio anatumia kila anaejisikia?! Hata namba yangu T***AAA hakuna anaetumia zaidi yangu na sio private number!Private NUMBERS hizo, na wewe kaandike zako tlp ruhusa kutoka T.R.A