totoadela
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 369
- 1,106
Nyie ni sukuma gang!Hawezi kuongea Chochote sasa miezi sita sasa tunamlisha na kumbadilisha nguo na kumuogeshsa ni mtu wa kulala tu
Maana mambo hayo yapo uko sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ni sukuma gang!Hawezi kuongea Chochote sasa miezi sita sasa tunamlisha na kumbadilisha nguo na kumuogeshsa ni mtu wa kulala tu
Oh poleni sana maana kwa uzoefu wa huku kanda ya ziwa ni lazima mzee mwenyewe ndio awape maelekezo nini mfanye ili aweze kufa. Bila hivyo mtahangaika sana.Hawezi kuongea Chochote sasa miezi sita sasa tunamlisha na kumbadilisha nguo na kumuogeshsa ni mtu wa kulala tu
ChaiTuna Mzee wetu hapa tunamuuguza kwa muda mrefu miaka mitatu sasa tunampambania nae alipata tatizo kupalalalaizi mpaka sana yupo ICU hali yake sio nzuri miguu yake imeanza kuoza
Imenibidi kuandika thread hii humu sababu siku mbili hizi tumepigiwa simu huko kijijini kwamba Mzee wetu twende huko kijijini wanafamilia wote tukafanye mambo ya Mila twende na kondoo wawili inasemekana Mzee wetu Kuna miti miwili ndio aliweka roho yake
Kwahiyo tutaendelea kupoteza muda kumuuguza atakufa mpaka aoze mwili wote inatubidi tuende tukafanye mambo ya Mila maana tukimuacha aoze mwili mzima ndio afe hali hiyo itakuja kumkuta mwanafamilia
Nahitaji ushauri siwezi kuandika vitu ambavyo havipo ili kuchangamsha genge mama yangu miaka hiyo nyuma alishaondoka alikuwa ananiambia nilikuwa baba yako Kuna vitu alimeza sababu Kijiji Kijiji chao kulikuwa na wachawi wanamaliza watu kwahiyo ilibidi ajikinge asiuawe kishirikins maneno haya aliyokuwa akinimbia nilikuwa siyazingatii mimi nilikuwa nazani kama utani sasa ndio nakumbuka jambo hiliChai
Aongei ndio mana ndugu wametupigia simu tufanye hivyoAisee poleni hio nilishashuhudia sanga mwalugeshi na kasiro huko. Hapo mzee anajua la kufanya na akichoka atawaambia la kufanya mara moja atakufa
Angeweka roho yake kwenye helaTuna Mzee wetu hapa tunamuuguza kwa muda mrefu miaka mitatu sasa tunampambania nae alipata tatizo kuparalalaizi mpaka sana yupo ICU hali yake sio nzuri miguu yake imeanza kuoza
Imenibidi kuandika thread hii humu sababu siku mbili hizi tumepigiwa simu huko kijijini kwamba Mzee wetu twende huko kijijini wanafamilia wote tukafanye mambo ya Mila twende na kondoo wawili inasemekana Mzee wetu Kuna miti miwili ndio aliweka roho yake
Kwahiyo tutaendelea kupoteza muda kumuuguza atakufa mpaka aoze mwili wote inatubidi tuende tukafanye mambo ya Mila maana tukimuacha aoze mwili mzima ndio afe hali hiyo itakuja kumkuta mwanafamilia
AiseeNahitaji ushauri siwezi kuandika vitu ambavyo havipo ili kuchangamsha genge mama yangu miaka hiyo nyuma alishaondoka alikuwa ananiambia nilikuwa baba yako Kuna vitu alimeza sababu Kijiji Kijiji chao kulikuwa na wachawi wanamaliza watu kwahiyo ilibidi ajikinge asiuawe kishirikins maneno haya aliyokuwa akinimbia nilikuwa siyazingatii mimi nilikuwa nazani kama utani sasa ndio nakumbuka jambo hili
Angeweka roho yake kwenye hela
🤣🤣🤣🤣we jamaa ni hatari umemaliza kulima?Angeweka roho yake kwenye hela
We usiyeamini usiombe yakukute, huko kwetu ipo dawa mtu akiitumia hafi mpaka apigwe mwale wa jua kutokea kwenye paa, yaani mtauguza mpaka atatoa funza kichwa kinaongea tu. Inabidi mtoboe bati au kama ni nyumba ya nyasi mnazitoa usawa wa alipolala jua likipenya ndio anaweza kufa kawaida. Hii sikusimuliwa nilijionea kabisa mtu mpaka anaoza hawezi kusogea lakini anaongea kawaida kabisa.Umeamini?
Dah Kama Aongei ni tatizo apo mzee wenu alimeza kihirizi mfanye iko mlichoambiwa asipokufa mtafute mashekhee wamsomee kisomo cha kufa atakufaAongei ndio mana ndugu wametupigia simu tufanye hivyo
Poleni sanaPesa nyingi alibahatika kuwa nazo za kumiliki mafuso 6 na nyumba kadhaa miaka ya 95 mwaka 2008 alikuja kufirisika akarudi shambani bila mafanikio mpaka Leo hii