Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mwanamke yupi? Yupi pascal? Mbona unakuwa kituko? Yupi? Wa wapi? Usukumani? Uhayani? Kizimkazi? Wa wapi?Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Nilishauri Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!, hivyo sio lazima awe huyo unayemdhania wewe, anaweza kuwa mwanamke mwingine yoyote ali mradi ni mwanamke!, na hapa nikashauri Ukimuondoa Rais Samia, kama ni lazima awe mwanamke, then mwanamke huyo ni Dkt. Tulia, ameonesha uwezo, anaweza! Tumchagize au tuache tu bora liende? na hapa nikashauri tena Pongezi Spika Dr. Tulia, Umeonyesha Uwezo, na Unaweza!, Jee tumshauri Dada Mkubwa, ikimpendeza, ampishe tuu Dada Mdogo Kwenye Lile Jambo Letu Lile?Mwanamke yupi? yupi pascal? mbona unakuwa kituko? yupi? wa wapi? Usukumani? Uhayani? kizimkazi? wa wapi?
Watu wanafiki kama wewe hamuaminiki hata kidogo..!!Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Nimemsikia, kauli hiyo ni sedition!.Huyu maza pamoja hakuchaguliwa 2025 twende na mawaidha ya shekhe mkuu wa dsm alhaji walid
Acha unafiki mtu mzima, kuna njia nyingi za kupata kipato zaidi ya unafiki na uchawa.Nimemsikia, kauli hiyo ni sedition!.
Mtu tayari ni rais, huwezi kusema hawezi kuwa mwanamke hawezi kuwa rais wakati tayari tuna rais mwanamke!.
P
Paskali Bhana! Kwa VitukoWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Njaa mbayaWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Shukrani mkuu. Hata mimi nakubaliana na wewe kwamba Wamarekani si wajinga, tumchague Ili tuwaonyeshe kuwa ni wajingaWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali