Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
 
Mwanamke yupi? Yupi pascal? Mbona unakuwa kituko? Yupi? Wa wapi? Usukumani? Uhayani? Kizimkazi? Wa wapi?
 
Watu wanafiki kama wewe hamuaminiki hata kidogo..!!

Hivi ni lini Tanzania ilishawai kuwa na uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ulio huru na haki?
Lini Tanzania iliwahi tawaliwa na Rais kutoka chama cha kisiasa tofauti?

Hiyo hoja yako umeileta kinafiki baada ya kuona huyo mwanamke wa Marekani amekataliwa na watu wenye akili na unataka ufananishe Marekani na watanzania wanaosubiri misaada kujenga mashimo ya vyoo na madarasa.

Kwa kifupi ni kwamba "mwanaume kutawaliwa na mwanamke ni laana, hiyo ipo hadi ngazi ya familia"

Watu wenye akili hawawezi ruhusu huo upumbavu wa kutawaliwa na jinsia ya kike
 
Paskali Bhana! Kwa Vituko
 
Kuwapa wanawake nafasi za uongozi mkubwa kama urais siyo vizuri sana, walipoanza kuonjeshwa walikuja na haki sawa, wakaja na hamsini kwa hamsini, wakaja na wanawake tunaweza bila kuwezeshwa tusipoangalia watakuja kutaka na wao wawe wanaume na wanaume wawe wanawake.
 
Njaa mbaya
 
Shukrani mkuu. Hata mimi nakubaliana na wewe kwamba Wamarekani si wajinga, tumchague Ili tuwaonyeshe kuwa ni wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…