britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Kwa Marekani Sawa maana dunia ilikuwa imeshachafuka sana
Trump kachaguliwa kutokana na sera zake
Ukilinganisha na huyo Mwingine
Kwa tanzania Rais hachaguliwi kisa sera! Bali Maguvu! Kulinganisha hivi vitu viwili si sahihi
Britanicca
Trump kachaguliwa kutokana na sera zake
Ukilinganisha na huyo Mwingine
Kwa tanzania Rais hachaguliwi kisa sera! Bali Maguvu! Kulinganisha hivi vitu viwili si sahihi
Britanicca