Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Paschal,kama wazungu wamezingatia mfumo dume,je nyinyi wasukuma? Na Sisi waislamu tufanyaje? Hatutakuwa tunamkiuka Mwenyezi Mungu ( S.A.W)
 
Kwa hakika watu hawamtaki mwanamke si kwa sababu ya mfumo dume.Ni kwa sababu Samia na Dk Tulia wameharibu.
Kama,kwa mfano,mada hii ingekuja miezi mitatu baada ya Samia kuwa Rais,maoni mengi yangekuwa ; "Mwanamke anaweza"
 
Wewe Mzee Wacha kuwa hamnazo,Kwamba Democrats walikuwa hawajui kwamba wamarekani hawawezi mchgua mwanamke Kwa mantiki ya hoja Yako Hadi wakasimamisha mara 2? Kwamba wao ni wajinga ila wewe na wengine wenye mawazo kama Yako ndio mna akili?

Unazeeka vibaya sana ,Harris na Hilary Wameshindwa Kwa sababu za sera na si vinginevyo.

Your pennis size does not increase your IQ.

Mwisho wewe si ni Mwanaume una akili gombea basi tukuone.
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
ha
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Mtemi Mayalla kwa hoja hujambo. It will take time for many of us to get your naturality!
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Unapima upepo...😀
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Yaani una akili halafu kutwa unaomba misaada mpaka ya kujenga matundu ya vyoo? huwezi kumuomba msaada mtu unayemzidi akili hata dak 1.
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Mkuu acha kujificha kwenye kichaka cha kiulizo (?). Toa maoni yako
 
Kuna mtu nilimsikia akisema kuhusu uchaguzi
Amesema Kamala katika miaka 4 ofisini kama VP hakusikika kabisa na hana uwezo hivyo
Lakini kama Michele Obama ambae amezunguka na mme wake na kuijua vyema sera za nchi na nini wananchi wanataka kwa kuwa amekaa Ikulu miaka 8 basi angepita na kumgaragaza Trump

Mwisho wa kunukuu
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Maswali nimengi majibu machache ungeweka kichwa cha habari vizuri. Japo sidhani kama wazo lako litatimilika. Alama zinaonyesha opposite sides
 
Wanawake tunawaheshimu na kuwapenda, maana ni mama zetu, ni dada zetu na wake zetu pia, lakini tunatofautiana nao katika majukumu.

Lakini ni ukweli kuwa familia isiyo na baba, inayoongozwa na mwanamke, huwa imepungukiwa. Baba ndiye kichwa cha familia, jamii zetu ndivyo zinavyotamka, na hata vitabu vitakatifu vya dini zote, vinavyotamka.

Familia inaweza kuongozwa na mama katika dharula tu, kama vile kifo cha Baba wa familia au maradhi yanayomfanya Baba asimudu majukumu yake, hata hivyo yule mama hatakuwa Baba wa familia, atabakia kuwa Mama, ambaye ni msaidizi wa Baba. Nyumba inayoongozwa na mwanamke, Wakati Baba yupo, yule Baba huitwa bwege. Je, wanaume wote wa Tanzania ni mabwege?

Akina mama, tangu asilia, tangu enzi na Eva/Hawa, ni wepesi wa kubadilika, ni rahisi kuyumbishwa. Urais ni wadhifa mkubwa unaohitaji mtu asiyeyumba.

Nyote ni mashahidi:
Wa kwetu aliapa akiwa ameshikilia msahafu kuwa atalinda katiba, muda kidogo akageuka na kusema katiba ni kijitabu tu!! Maana yake anaongoza nchi bila mwongozo mkuu ambao ni katiba.

Akasema anasimamia 4Rs, muda kidogo wakosoaji wake, wakaanza kutekwa, huku yeye akisema eti ni drama. Waliotekwa walipothibitika kuwa wameuawa, ghafla akasema anatuma salamu za rambirambi na akasema ameagiza uchunguzi ufanyike haraka, apelekewe taarifa za matokeo ya uchunguzi, mara ikawa kimya mpaka leo. Baadaye akageuka tena na kusema huko kutekwa, kupotezwa na kuuawa kwa viongozi wa vyama vya upinzani na wakosoaji, eti ni mambo ya kawaida, akidai kuwa kifo ni kifo tu, akimaanisha kuwa hakuna haja ya uchunguzi.

3) Alisema kuwa anaanzisha mchakato wa kukamilisha mchakato wa katiba, ghafla akabadilika, na kudai kuwa watanzania inatakiwa kwanza kupata mafunzo ya katiba kwa miaka 3!! Hivi ninyi mnaelewa hayo mafunzo yalianza lini, yanafanywa na nani, na wapi?

Huyu wa kwetu ana tabia zote za mwanamke dhaifu, anayebadilika kila dakika. Hata akitamka kitu huwezi kumwamini.

Namkumbuka Pascal na ile mada yake, kuwa mwaka 2025, tunaenda na mwanaume, tena lazima atoke Tanganyika, asiwe wa kutapanya rasilimali zetu kwa wageni hawa wa kiarabu, ambao mpaka sasa wamepewa karibia njia zote kuu za kiuchumi.

Nadhani baada ya miaka kadhaa, Dunia itakuja kujifunza Tanganyika juu ya madhara ya kuongozwa na mwanamke.
Nchi imekuwa familia? Acha upumbavu
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Nonsense
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Video 400 ni tatizo kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom