Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Mkuu great thinker iweje unaanza kampeni za mapema, ni kwa faida ya nani labda?

Je wasio na imani na tawala za kike hawaruhusiwi kutofautiana na wewe?

Wamarekani siyo wajinga, ni watu walioadvance sana kielimu.

Utendaji mbovu na udhaifu wa kiuongozi wa wanawake around the world umemnyima ulaji Kamala.

Raia wa Usa washaona na kujifunza madhaifu ya tawala za kike na kuona kwamba hazifai, ref to Bangladesh, Tz nk nk kote wanakotawala wanawake.

Imani za wananchi kuhusu uongozi wa kinamama imeshuka sana kwa kutumia 'shamba darasa' la kuwatazama wale waliojaliwa kuongoza namna wanavyoboronga wawapo madarakani
.
Labda kuna afueni kidogo kwa nchi zenye strong constitution, kuwabana wafuate sera za nchi na si vinginevyo.
Mkuu
Haujamuelewa mtoa mada
Kwa ufupi hajamaanisha jinsi ulivyoelewa. Vise versa is also true.
 
Mkuu Ushimen ,kwanza asante kuniheshimu, heshima kitu cha bure, mkubwa amuheshimu mdogo,mdogo amuheshimu mkubwa, watu wote tuheshimiane hata kama hatukubaliani jambo, tunakubaliana kutokukubaliana, mfano, Watanzania walio wengi tumekubaliana kwa kauli moja, 2025, twende na mwanamke, tukitaraji tunaanza na the biggest democracy, US kwa kumchagua mwanamke, hivyo haya ma Marekani majinga ajabu!,si yakamtosa mwanamke na kumchagua tena yule kichaa!。 Sasa sisi Tanzania, 2025 tutawaonyesha jinsi tulivyo na akili,tutamchagua rais mwanamke!。
P
Ndugu yangu Pasko, asante kwa maoni yako. Dah....!
Agreeing to disagree is the key word.
Reading between the lines, bandiko lako like 'twisted' na hii si bahati mbaya you being a veteran journalist.
 

Attachments

  • 2025.jpg
    2025.jpg
    53.9 KB · Views: 2
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Ndug paskali nimesikitishwa sana na hili bandiko lako hasa kutokana na unguli ugwiji na umwamba wako kwenye kujenga hoja nilikuwa nimekaa natamani hata ukanushe kuwa hili sio bandiko lako au kuna dogo kakuhulk.

Sivutiwi sana na siasa za kupigia promo jinsia ya mtu na hata kama huenda wamarekani wamemwacha Kamala kwa sababu hiyo tu basi litakuwa tatizo kubwa sana jambo ambalo sitaki kuamini hata kidogo.
Wachambuzi wengi wa ndani wa marekani kwenyewe wanaona kwamba kilichompaisha Trump ni sera zake za kufufua uchumi kwa kuyapunguzia kodi mataikoon, jambo litakalopunguza bei za bidhaa na kupunguza makali ya maisha kupunguza fedha inayotumika kufadhili vita hivyo kuhakikisha fedha ya marekani inanufaisha wamarekani kwanza.
Ndo maana haikushangaza mataifa mengi hasa ulaya walipigwa ganzi kwa muda kuona trump kashinda. Haikuwa kwa kuwa mwanaume bali kwa vile sera zake ni marekani na wamarekani kwanza.
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
inderect speech
 
Mkuu Ushimen ,kwanza asante kuniheshimu, heshima kitu cha bure, mkubwa amuheshimu mdogo,mdogo amuheshimu mkubwa, watu wote tuheshimiane hata kama hatukubaliani jambo, tunakubaliana kutokukubaliana, mfano, Watanzania walio wengi tumekubaliana kwa kauli moja, 2025, twende na mwanamke, tukitaraji tunaanza na the biggest democracy, US kwa kumchagua mwanamke, hivyo haya ma Marekani majinga ajabu!,si yakamtosa mwanamke na kumchagua tena yule kichaa!。 Sasa sisi Tanzania, 2025 tutawaonyesha jinsi tulivyo na akili,tutamchagua rais mwanamke!。
P
Hii ndiyo Bongozozo anaita fujo isiyoumiza.
 
Wacha hiyo wewe! Huyu tumekuwa naye kwa bahati mbaya sana! Hebu aishie hapo alipofikia imetosha sasa! Kama Wamarekani wamemkataa mtu mwe ye IQ kubwa sisi ni nani hata tuendelee na zero?
Ndiyo maana Baltasar ameamua kufanya vile, ametuma ujumbe mkubwa sana wenye akili kubwa tu ndiyo watauelewa.
 
Wamarekani sio muungano wa Nchi 1 na kuna vichwa vina akili ya kuiongoza dunia na kusaidia dunia kwa kumchagua Mwanaume inadhihirisha wazi kua Wamarekani haitokuja itokee waongozwe na rais Mwanamke yaan Wanawake hii ndio ilikuwa karata yao ya Mwisho na sio Marekani tu, labda itokee Ndondokela Trump amchague Makamu Mwanamke kisha wamfyeke hapo ndio Mwanamke anaweza kuchukua Nchi kinyume na hapo wasahau na pia Trump sio fala kuchagua Makamu Mwanamke ili baadae akifa Nchi ichukuliwe na Mwanamke kamchagua Mwanaume awe Makamu wake
 
Ukiwasikiliza wamerekani na kuwafuata utaingia shimoni......maana wanacho kisema na watakacho tenda ni tofauti kabisa.
Wanajifanya kuwa mwananke anahaki sawa na mwaname lakini historia inaonyesha zama hizo Mwanamke wa kimarekani alikuwa haruhusiwi kugombea nafasi yoyote.
Kwakifupi wamarekani hawaamini jinsia ya Kike katika nafasi ya juu.
Pia walikuwa hawapigi kura kabisa
 
Ndug paskali nimesikitishwa sana na hili bandiko lako hasa kutokana na unguli ugwiji na umwamba wako kwenye kujenga hoja nilikuwa nimekaa natamani hata ukanushe kuwa hili sio bandiko lako au kuna dogo kakuhulk.

Sivutiwi sana na siasa za kupigia promo jinsia ya mtu na hata kama huenda wamarekani wamemwacha Kamala kwa sababu hiyo tu basi litakuwa tatizo kubwa sana jambo ambalo sitaki kuamini hata kidogo.
Wachambuzi wengi wa ndani wa marekani kwenyewe wanaona kwamba kilichompaisha Trump ni sera zake za kufufua uchumi kwa kuyapunguzia kodi mataikoon, jambo litakalopunguza bei za bidhaa na kupunguza makali ya maisha kupunguza fedha inayotumika kufadhili vita hivyo kuhakikisha fedha ya marekani inanufaisha wamarekani kwanza.
Ndo maana haikushangaza mataifa mengi hasa ulaya walipigwa ganzi kwa muda kuona trump kashinda. Haikuwa kwa kuwa mwanaume bali kwa vile sera zake ni marekani na wamarekani kwanza.
Mwanaume Mwanaume tu acha kupigapiga konakona nyingi saaaana ibaki kua hivyo everybody wants Trump in thaf state house hata Kamala Harris na watu wake nahisi watakua wamempigia kura Trump
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Wamarekani wa huku Namanyele wameshamchagua Kamala Harris mpaka 2030 ni kuonyesha jinsi gani wana Akili sana kuzidi Wamarekani wa Washington DC
 
Shukrani mkuu. Hata mimi nakubaliana na wewe kwamba Wamarekani si wajinga, tumchague Ili tuwaonyeshe kuwa ni wajinga
Mmarekani wa Bariadi akichangia hoja kua yeye 2025 anaenda na Kamala Harris mpaka 2030 na Kamala akitaka kuongeza mpaka 2035 yupo tayari kumbakisha Ikulu kwa kumpigia kura, umeeleweka
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Hili jukwaa kweli ni la Great Thinkers, naona wachangiaji wengi hawajaelewa. Umerusha jiwe gizani na kuingia kichwa kichwa inabidi uwe na mwanasheria wako.
 
Back
Top Bottom