Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,378
- 1,866
MkuuMkuu great thinker iweje unaanza kampeni za mapema, ni kwa faida ya nani labda?
Je wasio na imani na tawala za kike hawaruhusiwi kutofautiana na wewe?
Wamarekani siyo wajinga, ni watu walioadvance sana kielimu.
Utendaji mbovu na udhaifu wa kiuongozi wa wanawake around the world umemnyima ulaji Kamala.
Raia wa Usa washaona na kujifunza madhaifu ya tawala za kike na kuona kwamba hazifai, ref to Bangladesh, Tz nk nk kote wanakotawala wanawake.
Imani za wananchi kuhusu uongozi wa kinamama imeshuka sana kwa kutumia 'shamba darasa' la kuwatazama wale waliojaliwa kuongoza namna wanavyoboronga wawapo madarakani
.
Labda kuna afueni kidogo kwa nchi zenye strong constitution, kuwabana wafuate sera za nchi na si vinginevyo.
Haujamuelewa mtoa mada
Kwa ufupi hajamaanisha jinsi ulivyoelewa. Vise versa is also true.