Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Ukiwasikiliza wamerekani na kuwafuata utaingia shimoni......maana wanacho kisema na watakacho tenda ni tofauti kabisa.
Wanajifanya kuwa mwananke anahaki sawa na mwaname lakini historia inaonyesha zama hizo Mwanamke wa kimarekani alikuwa haruhusiwi kugombea nafasi yoyote.
Kwakifupi wamarekani hawaamini jinsia ya Kike katika nafasi ya juu.
 
Aliyekwambia kuchagua mwanamke ni kuwa na akili nani?
Kama unachagua wa kuoa sawa ni uthibitisho kuwa umekuwa mtu mzima mwenye akili. Ila kuchagua kiongozi mwanamke si uthibitisho kuwa umekuwa mtu mzima mwenye akili.
Hata kama ni kuchagua na kuoa unaweza ukasngukia kuchagua nyangarakasha ambalo liliwahi kuchaguliwa na kuolewa lakini likatoswa, wewe bila kujua unalikwaa huku walijualo wanakucheka.
 
Nimekuelewa unachomaanisha Paskali!
But Wamarekani hawakuchagua jinsia bali sera za mgombea!
Kamala Harris alionyesha uwezo mdogo sana hasa siku ya kukubali uteuzi wa Democrats!
Muda mwingi alitumia kum- attack Trump badala ya kuelezea sera zake !
Kamala Harris hakuwa na sera za maana zaidi ya kupigania utoaji mimba na ushoga vitu ambavyo inaonekana watu wengi hawavitaki!
Unakuwa na sera ya kutoza Kodi kwa mapato ambayo hayajapatikana?!
Kamala hakuwa na sera madhubuti kuhusu immigration ( uhamiaji), wazamiaji haramu wamejaa kwa sasa Marekani.
Paskali Sisi tuendelee kuongozwa na jinsia, akina Steve Mengele "Nyerere", Mwijaku n.k. Marekani ni level nyingine hawachagui Rais kufurahisha hisia bali mtu mwenye sera na maono ya kutatua shida zao kwa wakati husika.
 
Nimemsikia, kauli hiyo ni sedition!.
Mtu tayari ni rais, huwezi kusema hawezi kuwa mwanamke hawezi kuwa rais wakati tayari tuna rais mwanamke!.
P
Mbona Paschal nikikusoma between lines ni kwamba unanga mkono kauli ya huyo sheikh. Naamini yeyote mwenye D mbili atang'amua hidden meaning ndani ya thread yako.
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Sisi wavuta bangi na Unga wa CUBA tumekuelewa Mkuu ni kweli sisi ni mabombonya
 
Nani kakwambia wamemtosa kwa sababu ya uke wake? Walichofanya ni demokrasia na haki zao. Kama mnamshabikia huyu wenu kwa uke wake go ahead and vote for her. Ila nashauri muangalia sera badala ya jinsia. Kamala aliingia akiwa amechelewa tokana na ung'ang'anizi wa jolly joe. Pia, alitetea sera ambazo hazikuwaridhisha wamarekani. Hivyo, wanaodhani amebwagwa kwa sababu ni mwanamke, wafikiri upya.
Vipi Hilary Clinton na yeye aliingia muda umeisha
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Ulisema wewe ni wakili?
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Wewe Mayala umefilisika inaelekea njaa imekushika pabaya.

Sisi wote wenye akili tunawasifu wamarekani hasa wanawake wa marekani kwa kukataa kuburuzwa na ajenti wa shetani Kamala. Wamaekani wamepigakuara kwa kuangalia changamoto walizonazo na nani anafaa zaidi kuaminiwa kuzitatua. Masuala ya tumpe fulani kura kwa sababu ya jinsia yake wao hawana ujinga huo .

Wewe umekuwa ukitumia jukwaa hili kupotosha watanganyika.
 
Mmeanza kumtusi Samia naona...

Yani uchague mtu kuonyesha watu una akili badala ya kuzingatia future ya Taifa? Huu ni utumwa na umsukule wa kimataifa.

Mwanamke hata kuongoza familia hawez sembuse watu zaid ya 60M?, Tuwe serious kidogo👎
 
Kuongozwa na mwanamke ni sawa na kupanda mtumbwi unaopelekwa na mawimbi ya bahari.
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Unafikiri mwanamke pekee ndiye mwenye haki ya kuchaguliwa?! Nakushangaa kiongozi unawaita wamarekani wajinga?!
 
Anachaguliwa mtu kwasababu ya uwezo na siyo gender yake........kama mtu ni incompetent akafanye kazi nyingine
 
Wewe Paschal ndo jingalao !!! Na ndo mana mama hakupi teuzi ! Pamoja na kusoma kooote lakini akili haijakaa sawa ???
 
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali

Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali

Watu wanafiki kama wewe hamuaminiki hata kidogo..!!

Hivi ni lini Tanzania ilishawai kuwa na uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ulio huru na haki?
Lini Tanzania iliwahi tawaliwa na Rais kutoka chama cha kisiasa tofauti?

Hiyo hoja yako umeileta kinafiki baada ya kuona huyo mwanamke wa Marekani amekataliwa na watu wenye akili na unataka ufananishe Marekani na watanzania wanaosubiri misaada kujenga mashimo ya vyoo na madarasa.

Kwa kifupi ni kwamba "mwanaume kutawaliwa na mwanamke ni laana, hiyo ipo hadi ngazi ya familia"

Watu wenye akili hawawezi ruhusu huo upumbavu wa kutawaliwa na jinsia ya kike


Hata mama yako akikutawala basi huwezi kuwa na familia imara kwani ataingia kwenye mgogoro na mkeo kugombea madaraka kwa sababu mkeo naye atataka kukutawala.

Kifupi Laana iliingia pale Adam alipokubali kuongozwa na Mwanamke aitwaye Hawa au Eva.
 
Bwana Mayalla, familia yako inaongozwa na nani?

Ukinijibu hili urudi nyuma uanze kufikiria kama kweli huyo mwanamke anaweza kuongoza nchi.

Americans are no fools...
 
Back
Top Bottom