Ukiwasikiliza wamerekani na kuwafuata utaingia shimoni......maana wanacho kisema na watakacho tenda ni tofauti kabisa.
Wanajifanya kuwa mwananke anahaki sawa na mwaname lakini historia inaonyesha zama hizo Mwanamke wa kimarekani alikuwa haruhusiwi kugombea nafasi yoyote.
Kwakifupi wamarekani hawaamini jinsia ya Kike katika nafasi ya juu.
Wanajifanya kuwa mwananke anahaki sawa na mwaname lakini historia inaonyesha zama hizo Mwanamke wa kimarekani alikuwa haruhusiwi kugombea nafasi yoyote.
Kwakifupi wamarekani hawaamini jinsia ya Kike katika nafasi ya juu.