Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Aliyekwambia kuchagua mwanamke ni kuwa na akili nani?Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Unachotaka wewe ni achaguliwe Mwanamke kuwa Rais au unataka kuona kuwa anachaguliwa mtu mwenye sifa stahiki za kuwa Rais???Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Siyo sawa kujilinganisha na Wamarekani kwa sababu kule uchaguzi unafanyika lakini kwetu hakuna uchaguzi bali uwa tunafanya maigizo ya uchaguzi.Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Kila siku tunafanya uchaguzi huru na wa haki kwa viwango vyetu vya African Democracy.Hivi ni lini Tanzania ilishawai kuwa na uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ulio huru na haki?
Haijawahi na haitawahi, ndio maana sio mara moja, sio mara mbili nawaeleza watu humu kuhusu CCM kutawala milele!.Lini Tanzania iliwahi tawaliwa na Rais kutoka chama cha kisiasa tofauti?
Kama kumkataa mwanamke kwako ni akili, subiria 2025 tuwaonyeshe.Hiyo hoja yako umeileta kinafiki baada ya kuona huyo mwanamke wa Marekani amekataliwa na watu wenye akili na unataka ufananishe Marekani na watanzania wanaosubiri misaada kujenga mashimo ya vyoo na madarasa.
Duh...!Kwa kifupi ni kwamba "kutawaliwa na jinsia ya kike ni laana labda awe mama yako mzazi tu na si vinginevyo, hiyo ipo ata ngazi ya familia"
Duh...!, hivyo anamaanisha sisi Watanzania wote zaidi ya milioni 60 ni ....!.Watu wenye akili hawawezi ruhusu huo upumbavu wa kutawaliwa na jinsia ya kike
BahashaWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Msimamo ni huu huu hata kama Ufipa watamsimamisha Mdee na Lumumba wakaamua kumsimamisha gosha Biteko?Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
WapumbavuDuh...!, hivyo anamaanisha sisi Watanzania wote zaidi ya milioni 60 ni ....!.
Wasiibe kura tuu!Wanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali
Kuna kipindi nilikua nakufatilia vile vipindi vyako vya maonesho ya sabasaba, ila kwa mtazamo huu wa kinafiki ulionao sasa niseme tu kwamba unasikitisha sana ndugu Mayala.Kila siku tunafanya uchaguzi huru na wa haki kwa viwango vyetu vya African Democracy.
Lissu mtoe hapoDonald Trump ndiye m'beba maono ya dunia kwa sasa.
Tundu Lissu ndiye m'beba maono ya Tanzania kutokea Chadema kwa sasa.
Luhaga Mpina ndiye m'beba maono ya Tanzania kutokea Ccm kwa sasa.
Hahahaha Trump anakuambia Kamala anaweza kuzungumza na Putin??? Yaani hapo ndiyo uone maana ya uanaume. In short Dkt Samia alikuwa na nafasi ila alijiharibia yeye mwenyewe kwa kushindwa kuchukua hatua kwa wahujumu uchumi na mafisadi, pamoja na kuwa hatuwezi mlaumu sana ila vitu vingi vya kifisadi na yeye kutokuchukua hatua vimemfanya aonekane ni dhaifu. Jambo lingine baya kabisa ni kukomalia chanjo ya COVID-19 ambao ilikuwa siyo kujidharirisha tu bali kuonesha kabisa hakuwa anaelewa watanzania wanataka nini. Kwa ufupi Dkt Samia nafasi yake ni finyu labda abadilike kama alivyowahi sema Dkt kikweteWanabodi,
Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana Wamarekani ni Majinga Ajabu, Wamemchagua Mwanaume, na Kumtosa Mwanamke?. 2025 Watanzania Tuchague Mwanamke Kuonyeshe Tuna Akili Zaidi Yao?
Kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na kujua ni nini haswa kimetokea!.
Duh...!.
Paskali