Inawezekanaje bajeti ya Kenya ikawa kubwa mara mbili ya ile ya Tanzania?

Inawezekanaje bajeti ya Kenya ikawa kubwa mara mbili ya ile ya Tanzania?

Hakuna neno lingine zaidi ya haya ni maajabu?

Kenya ina watu milion 53 huku Tanzania ikiwa na watu takribani milion 60.

Ukubwa wa Tanzania ni kilomita za mraba laki 9++ huku kenya wakiwa na eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba laki 5++.

Nchi ya Tanzania iko mbele mara elf moja dhidi ya kenya ktk mambo yote yenye kuleta faida kubwa kiuchumi kwa kuanzia maliasili, malighafi, madini, utalii, rasilimali watu, jografia nzuri na siasa safi.

Umoja uliopo Tanzania ni mkubwa mara elfu dhidi ya ule wa Kenya ambao wako kimakundi makundi tokana na ukabila.

Sasa inawezekanaje nchi kama Kenya ikawa na bajeti ya Tshs Trillion 66 huku Tanzania ikiwa ni Tshs Trillion 38?

Mambo haya yanawezekanaje jamani? Kwa bajeti hio ya kenya ni wazi kwamba wenzetu hawa kila kitu wako mbele yetu mara mbili zaidi!

ni nchi ya ajabu hii jamani daah.
Thinks tank wa Tz ni akina Kibajaji, Mwigulu, Ndugai, Sabaya, Makonda, Mnyeti, Ally Hapi, Mrisho Gambo, Bashiru, Makamba, Jery Muro, n.k unategemea nini?
 
Bado nakushauri kufikiri zaidi, mwendelezo wa siasa zetu baada ya uhuru. Kumbuka maendeleo uenda sambamba na uwekezaji toka nje wa dhati. Uwezi wekeza kwenye taifa kesho yake huijui, au mtawala ananguvu kuliko katiba, adhari za ukoloni katiba mbovu, wasomi wasio elimika ufikiria kujaza matumbo yao tu. Fikiri awamu ya tano, unapataje wawekezaji, mie bado naona ukoloni ni sababu, yanayojiri sasa ni matokeo yake!
Tatizo ni mfumo mbovu
 
Uko nyuma sana katika ulimwengu wa taarifa! Halafu maarifa yako pia ni madogo sana kama walivyo Watanzania wengi.
Leo ndo unajua tofauti ya budget ya Kenya na Tanzania ?!!!!!
Mwaka Jana tu 2021/2022 budget ya Kenya ilikuwa karibia Trilioni 72 wakati ya Tanzania ilikuwa ni Trilioni 36!
Mwaka huu wa budget Tanzania inaongelea budget ya karibia Trilioni 40 lakini mwenye maarifa atajua kwamba budget hii ni ndogo kutokana na mfumuko wa bei (inflation) uliopo.
Halafu pia acha ujinga wako wa kudhani eti utajiri wa Nchi unategemea tu milima,maliasili, jiografia na wanyama!
Utajiri wa Nchi unategemea zaidi aina ya watu waliopo katika Nchi hiyo.
Ukiwa na watu wajinga wengi kama ilivyo hapa Tanzania basi na umaskini unakuwa mkubwa zaidi.
Kenyans are too brainy compared to Tanzanians!
Sema ukiwa na watawala wengi wajinga
 
Bado nakushauri kufikiri zaidi, mwendelezo wa siasa zetu baada ya uhuru. Kumbuka maendeleo uenda sambamba na uwekezaji toka nje wa dhati. Uwezi wekeza kwenye taifa kesho yake huijui, au mtawala ananguvu kuliko katiba, adhari za ukoloni katiba mbovu, wasomi wasio elimika ufikiria kujaza matumbo yao tu. Fikiri awamu ya tano, unapataje wawekezaji, mie bado naona ukoloni ni sababu, yanayojiri sasa ni matokeo yake!
Matukio ya zamani hizo hayatoi sababu yoyote kwenye maisha yetu ya leo. Rwanda pale walichinjana sana miaka 25 tu iliyopita mpaka watu wanaogopa kutembelea nchi ile lakini leo maisha yao ni mazuri sana na watu waniningia kuwekeza sana. Kama ni siasa za ujamaa, china walikuwa wakomunist na mpaka leo wanajiita wakomunist lakini wawekezaji waliingia wengi na leo uchumi wao hata wewe mwenyewe unaujua. Matatizo siyo sababu za kihistoria bali ni uongozi tunaojiwekea.
 
Matukio ya zamani hizo hayatoi sababu yoyote kwenye maisha yetu ya leo. Rwanda pale walichinjana sana miaka 25 tu iliyopita mpaka watu wanaogopa kutembelea nchi ile lakini leo maisha yao ni mazuri sana na watu waniningia kuwekeza sana. Kama ni siasa za ujamaa, china walikuwa wakomunist na mpaka leo wanajiita wakomunist lakini wawekezaji waliingia wengi na leo uchumi wao hata wewe mwenyewe unaujua. Matatizo siyo sababu za kihistoria bali ni uongozi tunaojiwekea.
Tatizo sisi ni uongozi mbovu
 
Hilo deni la Kenya limenichosha 8trn kshs it equivalent to 160+trn tshs dadeki
 
Nenda hapo Kenya katembee kidogo halafu ndo uje ku compare na Tanzania.
 
Yaani wana ugumu wa maisha lakini sisi ndiyo tunafuata bidhaa kwao? we ni bonge la Bashite
Hizo bidhaa mnafuata bure Ndugu msukule wa Mbowe?

Kwahiyo watu wa Dar Ni masikini wakubwa kufuata bidhaa za chakula mikoani?
 
Kaa kwa kutulia dada angu

20220216_225742.jpg
 
Back
Top Bottom