Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,353
- 1,784
Uzalishaji hafifu wa Tanzania, tunge jikita katika kuzalisha na kuuza zaidi bidhaa nje ya nchi kuongeza kipato na income ya mtu mmoja mmoja, viongozi wetu wanafanya vitu basic mno hadi aibu, tuna sera nzuri sana Tanzania mdomoni na kwenye Karatasi, lakini utekelezaji ni zero, hatuwezi kamwe na haitakuja tokea hata siku moja tukaendelea kwa kutegemea misaada, sasa hii misaada ndio sera halisi iliyo tufikisha hapa, kila Rais anataka afanye juu chini kuwafurahisha wakubwa apate misaada, wana sahahu kuwa duniani kote sekta za uzalishaji kama vile kilimo, viwanda ndio zinaweza kututoa katika umasikini, yanayobaki yote ni upotezaji wa muda.