Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Sisi tunaangushwa na viongozi wetu, kupitishatu bajeti mpaka wabunge wahongwe. Yaani Africa tumelogwa na nani?
Ni roho mbaya tu sisi kila mtu anajifikiria yeye na familia yake na wapambe wake wanaomsifu !! Wenzetu wanafikiria zaidi Nchi zao na wananchi wote kwa ujumla !!
 
Wa Danish ni watu waadilifu mnoo na wachapa kazi.

Pili wanaaminiana kuliko taifa lolote.
Nimeishi na nimefanya nao kazi zaidi ya 12yrs.
Kuna mengi ya kujifunza
Hivi DANIDA ni nini?
 
As long as watu Kama
1. Mwigulu
2. January
3. Nape
4. Mbarawa
Ndio wanasaini mikataba kwenye nchi hii, hakika Kuna siku tutapokea misaada kutoka Rwanda.
 
Kama ilivyo sisi watu wa mjini kuwasaidia watu wa vijijini
 
Tatizo letu ni misingi mibovu iliwekwa toka tulipopata uhuru.

Tulipata uhuru wa kupandisha bendera zenye rangi tulizotaka au uhuru wa kisiasa lakini uhuru wa kifikra na uhuru wa kimtazamo kwa mtu mweusi bado hajaupata jumlisha uhuru wa kiuchumi ambao ni matokeo ya uhuru wa kifikra
 
Ni kanuni ya maisha anaetoa ndie anaebarikiwa.
Wazungu uwasaidia waafrika ili wazidi kuwa masikini zaidi,wanajua pesa zinadakwa juu kwa juu then zitarudi Tena kufichwa bank za ulaya na majizi ya Africa
 
Wanawapatia misaada viongozi wa Tanzania ambao wapo kwenye nafasi zao kuiba na kupora
 
Botswana na Namibia bado Wana raia wengi wazungu.
Awakutaifisha Mali za watu baada ya Uhuru.
 
Hajawahi kuwa na mwelekeo wowote wa kuipeleka nchi huko unakokusema, yule alikua ni mpiga kelele tu.
Keleke zilikua nyingi kuliko vitendo. Ukute angekuwa hai hata ile Ikulu isingekamilika, maana alishahamia CHATO.
 
Wanatoa misaada au Rushwa za kutaka upendeleo.....Hatahivyo kihistoria Misaada yao ilikuwa kama kufedhehesha Ufalme wa Uingereza ambao umekuwa ndio Dhalimu kuliko Wazungu wa aina yeyote ile Duniani.

Kabla ya Umoja wa watu wa Ulaya kulikuwa na Vita za wenyewe kwa wenyewe, kulikuwa na vita za kikabila, kulikuwa na vita za Rasilimali, kulikuwa na vita baina ya wajasiriliamali, yaani wachuuzi(machinga) na matajiri..... Kwa lugha Nyingine, Hakuna Mzungu mmoja(umoja) kama unavyotaka kuaminisha...Mzungu alipata akili pale alipoona Dini haimsaidii, alipoona laana ya ukatili wake unamsumbua yaani mizengwe baina yao iliwatafuna sana mpaka wakawa masikini wa kutupwa. Wachache walijiondokea katika nchi zao/kabila zao kutaka kupata suluhu za Kiroho, suluhisho za kisiasa, suluhisho za kijamii na suluhisho za kiuchumi....

.Denmark ni muunaganishi wa makabila au jamii zilizotoka kwenye Makabila makatili madhalimu kuwahi kutokea Ulaya. Walitaka kujitawala na kuondokana na Machungu na laana na Umasikini uliowakumba, maradhi na vita zilizowaangamiza kwa kuachana na Viongozi wao hususani wale waliofaidika na Udhalimu wa Ufalme wa Uingereza. Story Short.....kwa namna moja au nyingine hawakuweza kujikwamua, kisiasa, kiuchumi, na kijamii kutokana na vizingiti walivyowekewa na majirani zao ambao bado walikuwa na ulinzi wa hekaya za Ufalme wa Muingereza....Ila baada ya Umoja wa Mataifa kuundwa na subsequently Umoja wa Ulaya bado kulikuwa na kamshipa wa Kujikomboa na Kujitawala na ndio maana Denmark walitusaidia na sio kwamba walikuwa matajiri. Kumbuka hata Denamrk walikuwa wakilipwa na Dhalimu Mwingereza ili anyamaze.

Denmark hivi karibuni waliweza kuiga aina ya Uongozi wa Uthubutu na Uamauzi wa kujikomboa kama wa Hayati ambamo walisitisha Hafla za Kitaifa na kupeleka hela hizo kusaidia Nchi yao katika nyanja za Afya n.k. Hivyo basi Tanzania imeweza kuisaidia Denmark sio hivyo tu, Rasilimali ambazo Dernmark amelipwa aidha kwa mali au malipo mengine ya hali yamewasaidia kufika hapo walipofika.

Tusijidharau na kuwapa Wazungu tano wasizo deserve!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…