Ni roho mbaya tu sisi kila mtu anajifikiria yeye na familia yake na wapambe wake wanaomsifu !! Wenzetu wanafikiria zaidi Nchi zao na wananchi wote kwa ujumla !!Sisi tunaangushwa na viongozi wetu, kupitishatu bajeti mpaka wabunge wahongwe. Yaani Africa tumelogwa na nani?
Ilikuaje wakawa developed na sisi undeveloped?Inawezekana sio kitu cha ajabu, wametuzidi kwenye mengi na pia ukilinganisha wale ni developed country kwahyo mpunga wanao
Hivi DANIDA ni nini?Wa Danish ni watu waadilifu mnoo na wachapa kazi.
Pili wanaaminiana kuliko taifa lolote.
Nimeishi na nimefanya nao kazi zaidi ya 12yrs.
Kuna mengi ya kujifunza
Mimi sipoUBarikiwe sana. Ni kweri utupu. Muafirka sio mtu heri ya katuni kuliko mtu mweusi
Tatizo letu ni misingi mibovu iliwekwa toka tulipopata uhuru.
Wao wamewekeza kwenye mind sisi tumewekeza kwenye zuchu, diamond,Simba na yangaIlikuaje wakawa developed na sisi undeveloped?
Hilo la damu Sio kweliAkitokea kiongozi akataka kubadili hizo mentatility anapingwa na kuitwa majina ya ajabu ajabu. Nchi zote zenye maendeleo zimejengwa kwa jasho na damu.
Wanawapatia misaada viongozi wa Tanzania ambao wapo kwenye nafasi zao kuiba na kuporaDenmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.
Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?
Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.
Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.
Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.
Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.
Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?
Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.
Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?
Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.
Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?
AwafaidikiAchana na vyote. Je, ni kwa nini wanafunga ubalozi wao hapa Tanzania?
Botswana na Namibia bado Wana raia wengi wazungu.Sidhani ni tangu tulipopata uhuru, sema tangu tulipozaliwa.
Maana kama ni misingi mibaya baada ya uhuru, mpaka leo ni miaka mingapi? Hiyo misingi mibaya kwa nini haibadilishwi? Mbona mataifa mengine yaliyopata uhuru baadaye, kama Botswana na Namibia, wao angalao wanapiga hatua kwa kasi?
Danish international development agencyHivi DANIDA ni nini?
Kuna rafiki yangu huwa ananiambia mtu mweusi na mweupe wakiomba dua za mtu mweupe ndio zinasikilizwa na mungu.UBarikiwe sana. Ni kweri utupu. Muafirka sio mtu heri ya katuni kuliko mtu mweusi
Hajawahi kuwa na mwelekeo wowote wa kuipeleka nchi huko unakokusema, yule alikua ni mpiga kelele tu.Magufuli alipotaka kuigeuza Tanzania iwe sawa na nchi za Ulaya mlimfanyaje? Mnataka maendeleo lakini hamtaki namna ya kuyafikia hayo maendeleo. Maendeleo ni malengo, nidhamu, kujitoa mhanga (self sacrifice), bidii ya kazi, uadilifu na kutambua vipaji na ubunifu na kuvitumia ipasavyo. Ulaya wameweza kuviunganisha hivyo vyote kufikia hapo walipo. Sisi hapa bado tunajitafta na akija mwenye mawazo kama hayo bado hatumwelewi. Tutachelewa sana.