GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #161
Nini? Huyo mtu alipaswa "kushtakiwa" kwa kosa la ubaguzi. Anawasengenyaje binadamu wenzake kiasi hicho?Watu weusi hatuna akili sawasawa wala tusizunguke, kuwa na utambuzi wa kawaida haimaanishi una akili timamView attachment 2643179