Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

mifumo ya Europe na kwetu ni tofauti kabisa.Uwajibikaji uko juu sana.kwa pande zote kwa serikali na kwa wananchi

Huko ulaya wanachi wanaogopwa sana na wanasiasa huku kwetu wanasiasa wanaogopwa sana na wananchi.

Yaani serikali unaiweka madarakani mwenyewe halafu ikishaingia inaanza kukukupa vitisho ukiihoji

Tz ni nchi ya matamko,vitisho na upigaji kwa ngazi zote
Yote hayo yamekuja baada ya watawala na watawaliwa kuuana sana,ndipo heshima ikaja.
Mwananchi ukiizingua Serikali unashughulikiwa haswa bila kujali we ni nani na Serikali ikiwazingua wananchi unashughulikiwa haswa so wanaheshimiana.
Huku sheria ni kwa ajili ya watu masikini tajiri kukaa jela ni mapenzii yake.
Ufisadi ndio ushujaa,kule unapotea.
 
Hajawahi kuwabna mwelekeo wowote wa kuipeleka nchi huko unakokusema. Yule alikua ni mpiga kelele tu.
Keleke zilikua nyingi kuliko vitendo. Ukute angekuwa hai hata ile Ikulu isingekamilika, maana alishahamia CHATO.
Na Chato alikua ana hama aahamie kwenye pori lake lenye ranchi aliyozindua
 
Akitokea kiongozi akataka kubadili hizo mentatility anapingwa na kuitwa majina ya ajabu ajabu. Nchi zote zenye maendeleo zimejengwa kwa jasho na damu.
Mkuu, usije ukawakumbushia "Wazulu" machungu ya ubaguzi wa rangi. Ndivyo Makaburu walivyokuwa wakijitapa wakati weusi walipokuwa wakiidai nchi yao, walidai Cape Town na Johannesburg imejengwa kwa jasho na damu ya Weupe.
 
Nakubaliana na wewe mkuu.
Siamini kuwa binadamu wote ni sawa.
Sio kweli kuwa watu weusi na wazungu tuko sawa.
Naamini kabisa kuwa sisi weusi tuna ubongo dhaifu kulinganisha na ule wa wazungu
Ubinafsi = Selfishness ndio tatizo kuu katika Africa wala sio Ubongo dhaifu !!

Ubongo unakuwa trained !!

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo !! Kama Taifa tulianza kupotea njia kuanzia mwaka 1985.

Selfishness ilizaliwa tukaitupa misingi yetu tulioanza kuijenga tangu tulipopata Uhuru !!

Msingi wetu Mkuu tuliokuwa tunaujenga wakati ule ni UZALENDO kwanza !! Kwasababu ukiwa Mzalendo wa kweli huwezi kuwa Mbinafsi !!
 
Ubinafsi = Selfishness ndio tatizo kuu katika Africa wala sio Ubongo dhaifu !!

Ubongo unakuwa trained !!

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo !! Kama Taifa tulianza kupotea njia kuanzia mwaka 1985.

Selfishness ilizaliwa tukaitupa misingi yetu tulioanza kuijenga tangu tulipopata Uhuru !!

Msingi wetu Mkuu tuliokuwa tunaujenga wakati ule ni UZALENDO kwanza !! Kwasababu ukiwa Mzalendo wa kweli huwezi kuwa Mbinafsi !!
Nashikilia msimamo wangu kuwa shida iko kwenye ubongo wetu.
Hata huo ubinafsi unasababishwa na ubongo wetu kutofanya kazi vizuri
 
Watu weusi hatuna akili sawasawa wala tusizunguke, kuwa na utambuzi wa kawaida haimaanishi una akili timam
kwinyara3_1626213911637264.jpg
 
Siku tukiacha kupokea misaada ndipo tutaanza kuendelea.
Katika zile tools za kuifanya Africa kuzidi kuwa masikini misaada,mikopo ni moja ya tools,wanatupa mikopo wanajua kabisa pesa zitadakwa juu kwa juu na mafisadi kisha zinarudi kufichwa Tena bank za ulaya.
Deni linalipwa na wananchi masikini milele na milele kwa mzunguko huo huo.
 
Ubongo huwa unakua trained ili ukidhi mahitaji !! Sisi bongo zetu zimekuwa trained ama kwa bahati mbaya au kwa makusudi tuwe UNDEVELOPED !!
Sasa wao waekua trained na nani nani kuwa na maendeleo na sisi aliyetu train kwa makusudi/bahati mbaya tuwe masikini ni nani?

Amini ndugu ubongo wetu hauko sawa na wa wazungu.
Kama rangi zetu na wao zimeweza kuwa tofauti unafikiri inashindikana vipi na bongo zetu kuwa tofauti.
Inauma sisi kuumbwa mazezeta ila huo ndio ukweli.
 
Hapana mkuu, naamini MUNGU hakukosea kumwumba mtu mweusi, tatizo kubwa lililopo kwa weusi japo si wote, ni tabia ya kulishana ujinga, nafikiri.
Kwa nini mtu mweusi kila alipo matatizo yake ni yale yale? Kuanzia Haiti, Visiwa vya Caribbean, Afrika kwenyewe na hata niggazi waliomo ndani ya Amerika yenyewe...

Kwa nini? 🤔🤔🤔🤔
 
Nashikilia msimamo wangu kuwa shida iko kwenye ubongo wetu.
Hata huo ubinafsi unasababishwa na ubongo wetu kutofanya kazi vizuri
Mfumo wetu wa malezi ni mbovu ndo chanzo Cha kuulisha ubongo uchafu kupitia media
 
Siku tukiacha kupokea misaada ndipo tutaanza kuendelea.
Katika zile tools za kuifanya Africa kuzidi kuwa masikini misaada,mikopo ni moja ya tools,wanatupa mikopo wanajua kabisa pesa zitadakwa juu kwa juu na mafisadi kisha zinarudi kufichwa Tena bank za ulaya.
Deni linalipwa na wananchi masikini milele na milele kwa mzunguko huo huo.
Ulichokiandika kinadhibitisha kuwa wametuzidi akili.
Ubongo wao uko vizuri kuliko wetu.
Kwa hiyo tatizo sio misaada tatizo ni wao wameumbwa na akili kutuzidi
 
Kwa nini mtu mweusi kila alipo matatizo yake ni yale yale? Kuanzia Haiti, Visiwa vya Caribbean, Afrika kwenyewe na hata niggazi waliomo ndani ya Amerika yenyewe...

Kwa nini? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
100% ni ukweli, Nchi masikini zaidi America ni Haiti ambayo 95% ni weusi.. inahitaji PhD holder aelezee hili??
 
Denmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.

Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?

Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.

Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.

Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.

Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.

Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?

Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.

Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?

Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.

Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?
UKUBWA WA PUA SIO WINGI WA MAKAMASI
 
Viongozi wanatokana na wanananchi. Walivyo viongozi ndo walivyo wananchi maana wanachaguliwa na wananchi, Viongozi hawashuki kutoka sehenu nyingine itoshe kusema tatizo ni wananchi wenyewe wa Afrika. Kama unabisha kwanini kama shida ni viongozi wananchi mmechukua hatua gani kuwawajibisha Viongozi??

Tatizo ni WANANCHI wa nchi husika ndo msingi maana viongozi wanatokea miongoni mwetu ata ww ukiwa kiongozi leo utapita mule mule.
Wananchi wawajibishe viongozi?

Mkuu unaishi nchi gani? Kwa Tanzania, mtu akishakuwa kiongozi anaogopeka sana. Akikasirishwa tu kidogo, utasikia, "Unanijua mimi ni nani?"
 
Masikini Africa
Tatizo kubwa hata mahali panapohitaji uwajibikaji wao wanaleta siasa. Mahali panapogusa maisha ya wananchi wao ni siasa TU. Mfano maeneo kama, ELIMU, AFYA, MIUNDOMBINU NBALIMBALI wao ni siasa. Mtu anaweza kuwa na uwezo wa kutatua kero za wananchi lakini hatatui, anasubiri Hadi kipindi cha uchaguzi. Yaani watu wanateseka yeye anasubiria uchaguzi ukaribie ndio atoe tamko. Kwa watu wanaojielewa ni vigumu sana kuendana na viongozi wenye slogan za namna hii, japo Denmark haijatoa sababu za kutaka kuufunga ubalozi wao. Mambo Yale ya mkuu wa wilaya kuwatia viboko watendaji wabovu yangeendelea nafikiri kidogo ingesaidi, samahanini nilikumbuka TU kule Lwangwa.
 
Ubongo huwa unakua trained ili ukidhi mahitaji !! Sisi bongo zetu zimekuwa trained ama kwa bahati mbaya au kwa makusudi tuwe UNDEVELOPED !!
Hata mbwa ambaye amekuwa trained anaweza kuwa na manufaa makubwa kwa Taifa kuzidi binadamu mbumbumbu.
 
o na misaada, wazungu wanawasaidia Waafrika kwa kuwapa pesa na misaada ili wazidi kuwa masikini zaidi ili waweze kuwatawala.
Siku ulaya itakapo acha kuipa pesa afrika ndipo afrika itakapoanza kuinuka, wanatumiaa misaada kupush ajenda zao za Siri mfano ushoga,nk.
 
Ulichokiandika kinadhibitisha kuwa wametuzidi akili.
Ubongo wao uko vizuri kuliko wetu.
Kwa hiyo tatizo sio misaada tatizo ni wao wameumbwa na akili kutuzidi
Ubongo si hoja, bali kile mtu anachoaminidhwa.

Mwalimu mashuhuri wa Elimu Nafsi (Saikolojia), Professor William James anasema, "Whatever the mind can conceive and believe, can achieve"
 
Back
Top Bottom