GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #381
Nimekubali! Una akili sana mkuu!!!Najua lengo la swali lako.
Kwamba kwa vile mim ni mweusi nipingane na ukweli kuwa mtu mweusi ni janga na hana akili.
Natamani kupinga na kusema kwa fuahari kuwa mim mtu mweusi ni bora na mwenye akili kama binadamu wengine wote ila nafsi inanisuta sababu sio kweli na hata nikijidanganya kuwa nina akili kama wazungu haitasaidia kitu.
Hata maelezo yako yanatanabaisha hilo. Yaelekea ulikuwa mzuri sana kwenye debate!
Unajua jinsi ya kujenga hoja kutetea kile ulichokidhamiria, hata kama sicho unachomaanisha.
Ni kweli? Usijibu hapa watu wasije wakakuona wewe ni kigeugeu, lakini imeshafahamika kuwa una akili sana bila kujali rangi ya ngozi yako.
Kongole kwako mkuu!