India na China wakinukisha, wanajeshi watatu wa India wauawa, dunia inatamani sana damu

India na China wakinukisha, wanajeshi watatu wa India wauawa, dunia inatamani sana damu

China Ni wababe wa India, Kuna kipindi Tena walichapana ngumi palepale borderline, wanajeshi wa India walipigwa ngumi mpaka wakataka kuanzisha Vita ya mitutu, hawa jamaa huwa hawaelewani kabisa.
Jamaa wanachukiana mnoo sijui kwanini
 
Kila kitu na kipi?. U.S.A akimtaka mtu ampige kwa njia yoyote anampatia. Hasa palipo na maslahi yake au maslahi yake yakiguswa. Mfano ni kama Angola kabla ya kukaa sawa kulikuwa na vikundi viwili vinapigana,kimoja kikiweka masikani yake DRC,kingine kikiwa msituni Angola,vikundi vyote vikipigigania kuiongoza Angola. Unajua kitu gani kilikuwepo? Vikundi vyote vilikuwa vinafadhiriwa na mtu mmoja,U.S.A. kupiganisha huko ili anyakue mafuta na madini kirahisi. Rejea vita vinavyoendelea kila uchwao hapo DRC. Hapo yapo maslahi ya U.S.A

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Sasa Angola ndio unaifananisha na China au India ...wewe jamaa sijui umekula maharage ya wapi ?
 
Ndugu yao akina Pimbi .... Kenya yenyewe ina rank kubwa kwa ukanda huu ila anachezea kichapo na wavaa makobazi
Unafkiri hata kama ingekuwa TZ ni rahisi kuwapiga wavaa makobazi kwenye nchi yao???...Wale jamaa they have nithing to lose..Russia,Marekani,UK wote wanajua mziki wa wavaa makobazi...Usiwacheke kabisa kenya,..
 
Wachangiaji wengi wa huu uzi wamechagua upande wa China (hata Mimi hapo awali) nadhani ni sababu ya mahusiano ya kibiashara baina ya China na Tz.

pia ushindani wa China na Marekani kibiashara na kijeshi huko bahari ya kusini mwa China umetufanya tuione China kama taifa babe kuliko India kwenye hilo eneo.

Ila kumbukeni hata India ni mwekezaji mkubwa hapa nchini na anategemewa sana kwa matibabu na raia wetu wengi hivyo msiwatabirie mabaya.

Hayo mataifa mawili ni wawekezaji wakubwa huku Africa, pia wanafanya biashara ya mamilioni ya dola na mataifa mengi huku Africa, hivyo tuwaombee amani.
 
Kawaida ya dunia baada ya kama miongo kadhaa lazima iingie kwenye reset mode, pale ambapo kunakua na maafa makubwa na maangamizi kila mahali, hii huwa haikwepeki, corona imeanza kwa kubip ila ndiko tunakokwenda, India na China waanza chokochoko na ikumbukwe wote wawili ni wababe wa nyuklia.
Wahindi na Wachina kwenye mitandao ya kijamii wanatupiana cheche sio mchezo...kila mmoja anaomba vita.

=============================

Three Indian soldiers are killed in fighting with Chinese forces along disputed Himalayan border
  • The 'violent faceoff' took place in Galwan valley in Ladakh region on Monday
  • India said there were 'casualties on both sides' but China didn't comment
  • Statement said loss of life included an officer and two soldiers
  • The incident is first such confrontation between the two Asian giants since 1975

Three Indian soldiers, including a senior army officer, have been killed in a confrontation with Chinese forces along a disputed border area in the Himalayas.

The Indian army said in a statement on Tuesday that a 'violent faceoff' took place in Galwan valley in the Ladakh region on Monday night 'with casualties on both sides.'

Troops from the two countries have been facing off along the disputed frontier for more than a month.


After the latest skirmish, there was no comment from China.

'The loss of lives on the Indian side includes an officer and two soldiers,' India's statement said.

Three Indian soldiers killed by Chinese forces along disputed border
India anatoshana na Pakistani sio China. Pak kila mara anadungua ndege za India F16 kwa kutumia Old Migs
 
Kawaida ya dunia baada ya kama miongo kadhaa lazima iingie kwenye reset mode, pale ambapo kunakua na maafa makubwa na maangamizi kila mahali, hii huwa haikwepeki, corona imeanza kwa kubip ila ndiko tunakokwenda, India na China waanza chokochoko na ikumbukwe wote wawili ni wababe wa nyuklia.
Wahindi na Wachina kwenye mitandao ya kijamii wanatupiana cheche sio mchezo...kila mmoja anaomba vita.

=============================

Three Indian soldiers are killed in fighting with Chinese forces along disputed Himalayan border
  • The 'violent faceoff' took place in Galwan valley in Ladakh region on Monday
  • India said there were 'casualties on both sides' but China didn't comment
  • Statement said loss of life included an officer and two soldiers
  • The incident is first such confrontation between the two Asian giants since 1975

Three Indian soldiers, including a senior army officer, have been killed in a confrontation with Chinese forces along a disputed border area in the Himalayas.

The Indian army said in a statement on Tuesday that a 'violent faceoff' took place in Galwan valley in the Ladakh region on Monday night 'with casualties on both sides.'

Troops from the two countries have been facing off along the disputed frontier for more than a month.


After the latest skirmish, there was no comment from China.

'The loss of lives on the Indian side includes an officer and two soldiers,' India's statement said.

Three Indian soldiers killed by Chinese forces along disputed border
Yaani kwao bado Corona haitoshi mpaka wanafikia hatua ya kutafuta msaada wa vita?
 
Unafkiri hata kama ingekuwa TZ ni rahisi kuwapiga wavaa makobazi kwenye nchi yao???...Wale jamaa they have nithing to lose..Russia,Marekani,UK wote wanajua mziki wa wavaa makobazi...Usiwacheke kabisa kenya,..
Kwani russia na usa wanaendaga kwa wavaa makobazi kufanya biashara ya mkaa na mirungi?? kenya utopolo tu pale westgate makobazi wamepiga wakachomoka maaskari wanakimbilia kuiba mikate supermarket
 
Hata marekan na uwezo wake ilikuwa inapigwa na taliban, maana wanajichanganya na raia. Marekani na uwezo wake ilisumbuliwa na Vietnam mpaka wakaomba poo, walipoona wamezidiwa wakaanzisha movement watu waandamane nyumbani kupinga vita ili wapate sababu ya kuondoa jeshi lao.
Siyo rahisi kupigana na jeshi lenye watu ambao they have nothing to lose
Wale wameenda kukata mikaa tu kule na kuuza mirungi jeshi lina vifaa ila discipline 0 hamna tofauti na maimai
 
Wahindi uwa hawana uelewano na yeyote yule,wacha wachapwe akili iwakae sawa
Wahindi nao ni kama ndugu zetu wapare, kila mara wao tu ndio wana migogoro ya mipaka na majira zao, mara agombane na Pakistani, leo china kesho sijui Nepal, kesho kutwa Bangladeshi.
 
Back
Top Bottom