Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Zanzibar ni muunganisho wa Unguja na Pemba.Je! Zanzibar ni jina la wapi??
Asili yake ni kutoka kwa nani?
Je u
MUUNGANO huu ukivunjika Huku Bara tunajulikana kama nchi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar ni muunganisho wa Unguja na Pemba.Je! Zanzibar ni jina la wapi??
Asili yake ni kutoka kwa nani?
Je u
MUUNGANO huu ukivunjika Huku Bara tunajulikana kama nchi gani?
Hata ukitoka Muheza unapokwenda Tanga kabla ya kufika Pongwe kuna kijiji kinaitwa Tanganyika.Kasome barua za Mkwawa na bwana kheri, itaikuta Tanganyika. Kuna Jimbo linaitwa Tanganyika pia huko congo Dr, Tanga na nyika, nyika na vome, umekuta nchi imekatwa miti, ungeikuta na miti yake ungejua kwa nini iliitwa Tanganyika
Tanga na nyika,ukisafiri toka iringa kwa mkwawa mpaka Tanga kwa abushiri,sharti utange na nyikaMuandishi acha kamba, unatufunga kamba wazi wazi. Jina Tanganyika sio la wazungu au la kikoloni.
Jina "Tanganyika" linatoka katika lugha ya Kibantu. "Tanga" inamaanisha "kusafiri kwa meli" na "nyika" inamaanisha "eneo la porini" au "tambarare." Kwa hiyo, "Tanganyika" kwa kiasi kikubwa inaweza kutafsiriwa kama "Kusafiri kwa Meli katika Eneo la Porini" au "Kusafiri kwa Meli katika Tambarare."
ZinjibarZanzibar ni muunganisho wa Unguja na Pemba.
Hamia indiaKuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Jina la Tanganyika ni mkusanyiko wa maneno mawiliMuandishi acha kamba, unatufunga kamba wazi wazi. Jina Tanganyika sio la wazungu au la kikoloni.
Jina "Tanganyika" linatoka katika lugha ya Kibantu. "Tanga" inamaanisha "kusafiri kwa meli" na "nyika" inamaanisha "eneo la porini" au "tambarare." Kwa hiyo, "Tanganyika" kwa kiasi kikubwa inaweza kutafsiriwa kama "Kusafiri kwa Meli katika Eneo la Porini" au "Kusafiri kwa Meli katika Tambarare."
Zanzibar wana mamlaka gani? Je wana kiti UN?Wanapigania jina au mamlaka?? Inawezekana bichwa lako limejaa kamasi.
Jina Tanganyika sio hoja, hoja ni mamlaka ya Tanganyika kama ilivyo kwa mamlaka ya Zanzibar.
Amesema kabla ya Mwingereza ilikuwa inaitwa Deutsch OstafrikaBasi wewe tuambie kabla kuitwa Tanganyika ni jina lipi la asili unalolijua lilikuwa likitumika ili tulipiganie. Ukitoa jibu basi utakuwa una uhalali wa kutetea hoja yako. Km hujui basi utakuwa mropokaji tu km wengine. Am awaiting.
Wanatia hasira sana! NiMkuu
Hawa CCM ni mbwa kabisa!
Kama huyu,akili kaweka matakoni just to show he is a CCM
Jibu swali la msingi kuhusu Tanzania bara ikijitenga na Zanzibar inaitwaje....Zanzibar ni muunganisho wa Unguja na Pemba.
Nchi ilikua nyika hasa,ukifunga safari sharti utange na nyikaHata ukitoka Muheza unapokwenda Tanga kabla ya kufika Pongwe kuna kijiji kinaitwa Tanganyika.
Jibu swali la msingi kuhusu Tanzania bara ikijitenga na Zanzibar inaitwaje....Zanzibar ni muunganisho wa Unguja na Pemba.
At least ungetaja jina la asili ya nchi yetu kabla ya Tanganyika au Tanzania.Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Muongo tu huyo, basi atuambie jina hilo asili yake ni nini na lina maana gani. Tatizo elimu yetu hii ya kukariri mambo haya ndo madhara yake plus ugumu wa maishaAmesema kabla ya Mwingereza ilikuwa inaitwa Deutsch Ostafrika
Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Sawa naona hata Uturuki ilibadili jina,Eswatin ,Burma nkKuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Umeona hizi?Kasome barua za mkwawa na bwana kheri,itaikuta Tanganyika,Kuna Jimbo linaitwa Tanganyika pia huko congo Dr,Tanga na nyika,nyika na vome,umekuta nchi imekatwa miti,ungeikuta na miti yake ungejua kwa nini iliitwa Tanganyika