India wabadili jina la nchi yao

India wabadili jina la nchi yao

Je! "ZANZIBAR" ni jina la wapi??
Asili yake ni kutoka kwa nani?

Je! Kama huu
"MUUNGANO" ukivunjika,Huku Bara tunajulikana kama nchi gani?

Tuanzie hapo kwanza utupe jibu tukuelewe.
Na ni nini lengo au hoja yako haswa ni nini?
Zanzibar=Zenj=Mtu mweusi mwenye sura tatanishi

Tanganyika=Uwanda wa maji, mwambao wa fukwe, nyika za mbuga na konde kwa mashamba zilizo chini ya tawala za watu weusi wenye misuli ya kupambana na chochote
 
Ushasema Mdude anapigania nchi ya Tanganyika sio jina, sasa ange refer vipi jina la nchi
 
Je! "ZANZIBAR" ni jina la wapi??
Asili yake ni kutoka kwa nani?

Je! Kama huu
"MUUNGANO" ukivunjika,Huku Bara tunajulikana kama nchi gani?

Tuanzie hapo kwanza utupe jibu tukuelewe.
Na ni nini lengo au hoja yako haswa ni nini?
Tanzania bara
 
Mleta hoja wewe umepigania nini cha kulinganisha na hii miamba?
Vitu vingine bora ukae kimya kuficha ujinga.
Hiyo ni miamba au ni vichaa tu? Kuna mtu mwenye akili timamu pale kuanzia Mwabukusi, Mdude na Slaa?
 
Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika

Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021

Kwa hiyo likibadilishwa India itakuwa tajiri ulimwenguni?
 
Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika

Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Hivi jina la Tanganyika tulipewa na mkoloni? Sio kipindi cha Ukoloni wao wakolonj waliitambua kama Africa ya mashariki ya kijeruman?
 
Back
Top Bottom