The word Zanzibar came from Arabic zanjibār (زنجبار [zandʒibaːr]), which is in turn from Persian zangbâr (زنگبار [zæŋbɒːɾ]), a compound of Zang (زنگ [zæŋ], "black") + bâr (بار [bɒːɾ], "coast"), cfasili yake ni zinj na bar maana nchi ya watu weusi
Yaani mshashindwa kutatua masuala ya mafuta, bandari, Katiba, etc sasa mmehamia kwenye hili la Tanganyika??Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Ila hii jf mbona ina watu vilaza sana?!au wewe ndio mmoja wa wale machawa wa ccm akina mwijaBongo hawawez peleka muswada huo cz wanamuogopa mkoloni asije wanyima mshaada!!
This country Iko too big kuanza kuwa refer mwabukusi na mdude kama national heroesKuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Zulu hilo linafaaNa sisi wazulu nchi yetu south Afrika tuipe jina gani
Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020
Nyie ndio mnaokana majina yenu ya asili, Jina lako halisi unaitwa shetani unataka uitwe "SHETTY" 😆 😆 😆Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Tanganyika jina lake ni Azania au unaweza kuiita Danganyika, Bantuland, Bara, Neema, unaweza kuiita chochote kwa sababu kabla ya kuja mkoloni, hizi nchi za kiafrika hazikuwa nchi bali mkusanyiko wa viinchi vidogo yaana vikabila. Hivyo, nashauri Tanzani aiitwe Father of All to begin with.Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Azania au Shakaland au Mandelaland kama siyo FATHEROFALLLANDZulu hilo linafaa
Yeah yanafaa hayo yako vizuriAzania au Shakaland au Mandelaland kama siyo FATHEROFALLLAND
Itakua wee ni mgeni humu, fuatilia post na hoja zang kweny comments utaelewa!!Ila hii jf mbona ina watu vilaza sana?!au wewe ndio mmoja wa wale machawa wa ccm akina mwija
Ivi tutategemea misaada mpaka lini ?Bongo hawawezi peleka muswada huo coz wanamuogopa mkoloni asije wanyima msaada!!
Tatizo tuna mfumo tegemezi na hawataki kuondokana nao!! Imagine tunajengewa mpaka matunda 16 ya choo na kiongoz anakwenda kukata utepe kwa mbwembwe 🤣🤣🤣🤣!!Ivi tutategemea misaada mpaka lini ?
Exactly..Hatupiganii jina tunapigania mamlaka
Tanga sio maana yake hiyo, tanga ni neno la kibondei maana yake shamba, ulipomji wa sasa wa tanga zamani ndipo yalipokuwepo mashamba ya wabondei, wao waliishi visiwani pembeni ya mji wa tanga wa sasa, kuitwa tanganyika tuwaulize wajerumani walipoingia tanga kwa mara ya kwanza 1890 kisha kujenga boma lao la kwanza ambalo mpka leo ni jengo la makumbusho linaitwa tanga rithi, anyway tanganyika ni jina lenye historia kubwa na ukoroni wa kijerumaniJina la Tanganyika ni mkusanyiko wa maneno mawili
1. TANGA- Ni kuhangaika, kusumbuka, na kutotulia bila ya lengo maalum.
2. NYIKA- Ni mapori msitu mikubwa ambayo Kwa sehemu kubwa huwa inatawaliwa na nyasi.
Hivyo asili ya watanganyika ni watu wakuhangaika na kuhemea misituni bila ya kuwa na malengo na ukiangalia makabila mengi ya watanganyika wapo hivyo kuhama hama na kusumbuka na kutanga na nyika, kuhemea chakula, kutafuta maji malisho au hata bila sababu za msingi
Ni mjerumani huyo, kumbuka hakuacha tamaduni yake hapa, alitumia majina na lugha za asili, yeye ndio muhusika wa kusambaza kiswahili tanganyikaHivi jina la Tanganyika tulipewa na mkoloni? Sio kipindi cha Ukoloni wao wakolonj waliitambua kama Africa ya mashariki ya kijeruman?
Lakini kumbuka kipindi cha Mjeruman nchi yako ikitwa Africa Mashariki ya Kijerumani! jina Tanganyika lilitokana na aina zamaki walikuwa wanapatika katika ziwa Tanganyika! alipokuja Muingereza ndipo akaona alitumie rasmi kwa nchi iliyoitwa Tanganyika Territory.Ni mjerumani huyo, kumbuka hakuacha tamaduni yake hapa, alitumia majina na lugha za asili, yeye ndio muhusika wa kusambaza kiswahili tanganyika