Naogopa tutabishana sana, wajerumani waliitanganyika kabla hatahawajafika huko ziwani, nenda pale tangarithi kwenye jengo la mjerumani (boma) lililojengwa 1890, mpaka leo liko strong pana historia yote unayohitajiLakini kumbuka kipindi cha Mjeruman nchi yako ikitwa Africa Mashariki ya Kijerumani! jina Tanganyika lilitokana na aina zamaki walikuwa wanapatika katika ziwa Tanganyika! alipokuja Muingereza ndipo akaona alitumie rasmi kwa nchi iliyoitwa Tanganyika Territory.
VichakaNini maana ya Tanganyika?Tuanzia hapo kwanza
By last chief does.ukwavinyikaJe! "ZANZIBAR" ni jina la wapi??
Asili yake ni kutoka kwa nani?
Je! Kama huu
"MUUNGANO" ukivunjika,Huku Bara tunajulikana kama nchi gani?
Tuanzie hapo kwanza utupe jibu tukuelewe.
Na ni nini lengo au hoja yako haswa ni nini?
hao wanatakiwa wajiite ZENJIJe! "ZANZIBAR" ni jina la wapi??
Asili yake ni kutoka kwa nani?
Je! Kama huu
"MUUNGANO" ukivunjika,Huku Bara tunajulikana kama nchi gani?
Tuanzie hapo kwanza utupe jibu tukuelewe.
Na ni nini lengo au hoja yako haswa ni nini?
Rais wa tanganyika wa sasa Ni Majaliwa Kassim Majaliwa.Zanzibar Wana Rais wao je unamjua Rais wa Tanganyika au hujui maana ya mamlaka ni nini?
Duuuuuu hiyo gongo unayokunywa imenasia kwenye ubongoRais wa tanganyika wa sasa Ni Majaliwa Kassim Majaliwa.
Mada inahusu India, wewe unaleta mada ya Zanzibar, tena unaitaja Zanzibar ili kuendeleza mjadala wa India.Je! "ZANZIBAR" ni jina la wapi??
Asili yake ni kutoka kwa nani?
Je! Kama huu
"MUUNGANO" ukivunjika,Huku Bara tunajulikana kama nchi gani?
Tuanzie hapo kwanza utupe jibu tukuelewe.
Na ni nini lengo au hoja yako haswa ni nini?
Sijalewa maana bado ni asubuhi sana. Tanzania haijwahikuwa na Katiba. Ila Zanzibar na tanganyika ndo zilizkuwa na katiba zao. Baada ya kuiungana mwaka 1964 hakujawahi kutengenezwa katiba ya Jamhuri ya Mungano wa Tanganyika na Zanzibar. Isipokuwa ilikubaliwa kuwa iliyokuwa katiba ya Tanganyika ndiyo itakuwa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Wakati huo Zanzibar ilikubaliwa kubaki na Katiba yake na Serikali yao. Serikali ya Tanganyika ndo ikapata ubatizo na kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tangayika na Zanzibar.Duuuuuu hiyo gongo unayokunywa imenasia kwenye ubongo
Kwaiyo hicho ulichokiandika ndo kinafanya waziri mkuu awe Rais?Sijalewa maana bado ni asubuhi sana. Tanzania haijwahikuwa na Katiba. Ila Zanzibar na tanganyika ndo zilizkuwa na katiba zao. Baada ya kuiungana mwaka 1964 hakujawahi kutengenezwa katiba ya Jamhuri ya Mungano wa Tanganyika na Zanzibar. Isipokuwa ilikubaliwa kuwa iliyokuwa katiba ya Tanganyika ndiyo itakuwa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Wakati huo Zanzibar ilikubaliwa kubaki na Katiba yake na Serikali yao. Serikali ya Tanganyika ndo ikapata ubatizo na kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tangayika na Zanzibar.
Hivyo, popote paliposomeka Tanganyika katika Katiba ya Tanganyika iliboreshwa na kusomeka Tanganyika na Zanziba. Baada ya jina kubadilika kuwa Tanzania miaka kadhaa baada ya muungano, paliposomeka Tanganyika na Zanzibar katika katiba paliboreshwa na kusomeka Tanzania.
Kwa mujibu ya Katiba yetu, Mamlaka ya Waziri Mkuu Mkuu yanaishia pale ilipokuwa mamlaka ya Tanganyika. Mwisho malili 1 kiutoka ufukwe wa Fery.
Ndo maana huwezi kumuuona waziri Mkuu akielekeza nini kifanyike huko Zanzibar. zanzibar ina waziri Mkuu wake a.k.a Wziri Kiongozi. HII NCHI NGUMU SANA.
Yap! Kilichofanyika Tanganyika ilirudi katika hadhi yake ya wakati wa uhuru mwaka 1961 kabla ya kuwa jamhuri mwaka 1962. Tulirudisha cheo Waziri Mkuu kama Mkuu wa nchi ya Tanganyika huku Rais akiwa ni wa Jamhuri ya Muungano. Ndo maana mamlaka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano yanenda hadi Zanzibar wakati Mamlaka ya Waziri Mkuu yanaishia ndani ya mipaka ya iliyokuwa Tanganyika. Kwa ufupi wakereketwa wa tangayika wanachodai bado hawajakitambua sawasawa. Wanahisi Tanganyika imekufa, kumbe lilijibadilisha jina kuwa lizimwi moja likubwa linalotisha lisilojitambua sawasawa katika mgongo wa jina jpya la jamhuri ya Muungano.Kwaiyo hicho ulichokiandika ndo kinafanya waziri mkuu awe Rais?
Maana jina tanganyika ni tanga mjiniNini maana ya Tanganyika?Tuanzia hapo kwanza
Kwaiyo apo ndo tayari Kawa raisi?Yap! Kilichofanyika Tanganyika ilirudi katika hadhi yake ya wakati wa uhuru mwaka 1961 kabla ya kuwa jamhuri mwaka 1962. Tulirudisha cheo Waziri Mkuu kama Mkuu wa nchi ya Tanganyika huku Rais akiwa ni wa Jamhuri ya Muungano. Ndo maana mamlaka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano yanenda hadi Zanzibar wakati Mamlaka ya Waziri Mkuu yanaishia ndani ya mipaka ya iliyokuwa Tanganyika. Kwa ufupi wakereketwa wa tangayika wanachodai bado hawajakitambua sawasawa. Wanahisi Tanganyika imekufa, kumbe lilijibadilisha jina kuwa lizimwi moja likubwa linalotisha lisilojitambua sawasawa katika mgongo wa jina jpya la jamhuri ya Muungano.
Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar hakuwa wa kuitenganisha. Ni ndoa ya kudumu. Tutakuwa tunakerana lakini hakuna kuachana. Ni kuvumiliana mbere kwa mbere maana manufaa ya ndoa yetu ni makubwa zaidi kuliko kutengana.
Hii nchi ngumu sana.
Kwani nani kakuambia Mkuu wa Nchi lazima awe Rais??? Mkuu wa nchi anaweza kuwa Mfalme, Malkia, rais n.k. Mku wa nchi ya Tanganyika siyo Rais; Waziri Mkuu.Kwaiyo apo ndo tayari Kawa raisi?
Kati ya Samia na majaliwa ni nani mkuu wa nchi?Kwani nani kakuambia Mkuu wa Nchi lazima awe Rais??? Mkuu wa nchi anaweza kuwa Mfalme, Malkia, rais n.k. Mku wa nchi ya Tanganyika siyo Rais; Waziri Mkuu.
Mhe. Dkt. Samia ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Nchi ya Tanzania. Majaliwa ni Mkuu wa Serikali ya Tanganyika ambaye hana tena hadhi ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu kama ilivyo kwa Dr. Husein Mwinyi. Hizi nchi zote mbili Tangayika na Zanzibar zimepoteza sehemu kubwa ya hadhi zao mara baada tu ya Muungano na hivyo kubaki na mamlaka za ndani tu.Kati ya Samia na majaliwa ni nani mkuu wa nchi?
Kwanini mwinyi anamlaka kwa nchi yake huku majaliwa Hana?Mhe.kt. Samia ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Nchi ya Tanzania. Majaliwa ni Mkuu wa Serikali ya Tanganyika ambaye hana tena hadhi ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu kama ilivyo kwa Dr. Husein Mwinyi. Hizi nchi zote mbili Tangayika na Zanzibar zimepoteza sehemu kubwa ya hadhi zao mara baada tu ya Muungano na hivyo kubaki na mamlaka za ndani tu.
We utakuwa ni tahira ww akina Mwambukusi wanachotaka ni uwepo wa serikali ya Tanganyika na nchi ya Tanganyika kama ilivyo kwa nchi ya Zanzibar na serikali ya Zanzibar cha ajabu Tanganyika imemezwa na Tanzania wkt Tanzania siyo Tanganyika ni jina la nchi mbili ya Tanganyika na Zanzibar hapa unaandika pumba pumba tu sjui mijitu ya ccm huwa ina akili gani aisee....!Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Wenye akili zao, wanaojitambua, hata uturuki, waliachana na jina turkey (liliokaa kizungu zungu), wakaweka Turkiye.Kuna Watanzania wanasema wanapigania nchi ya Tanganyika hususan akina Mwabukusi, Mdude na Slaa. Kumbuka kuwa jina Tanganyika lililetwa na Mkoloni wa Mwingereza mwaka 1920 baada ya kuachana na jina la Mjerumani ambaye alilitambua eneo hili kama Deutsch Ostafrika
Leo huko India muswaada unaandaliwa kupelekwa Bungeni ili kuachana na jina "India" ili nchi hiyo iitwe Bharat. Yasemekana jina la asili ni Bharat na hilo jina "India" lililetwa na UKOLONI wa Mwingereza alipotawala eneo hilo kati ya 1747-1957View attachment 2740020View attachment 2740021
Unasema naandika pumba, kwanini unasoma pumba?We utakuwa ni tahira ww akina Mwambukusi wanachotaka ni uwepo wa serikali ya Tanganyika na nchi ya Tanganyika kama ilivyo kwa nchi ya Zanzibar na serikali ya Zanzibar cha ajabu Tanganyika imemezwa na Tanzania wkt Tanzania siyo Tanganyika ni jina la nchi mbili ya Tanganyika na Zanzibar hapa unaandika pumba pumba tu sjui mijitu ya ccm huwa ina akili gani aisee....!