India yaipiku China kwa idadi ya watu

India yaipiku China kwa idadi ya watu

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Nchi ya India imeipiku nchi ya China kwa population.


Population:

1. India [emoji1128] 1,426,409,584
2. China [emoji630] 1,425,731,257
3. USA [emoji631] 339,688,556
4. Indonesia [emoji1129] 277,148,717
5. Pakistan [emoji1191] 239,693,115
6. Nigeria [emoji1184] 222,914,017
7. Brazil [emoji1054] 216,214,106
8. Bangladesh [emoji1042] 172,659,039
9. Russia [emoji635] 144,528,119
10. Mexico [emoji1166] 128,297,060
.
12. Japan [emoji627] 123,405,307
18. Turkey [emoji1250] 85,740,393
19. Germany [emoji629] 83,300,994
21. UK [emoji636] 67,698,634
23. France [emoji632] 64,735,380
24. South Africa [emoji1221] 60,322,787
25. Italy [emoji634] 58,899,388
29. South Korea [emoji2406] 51,790,420
33. Argentina [emoji1033] 45,725,645
38. Canada [emoji1063] 38,726,161
55. Australia [emoji1037] 26,395,113
72. Netherlands [emoji1179] 17,609,287
87. Sweden [emoji1236] 10,601,484
96. UAE [emoji1256] 9,504,149
100. Austria [emoji1038] 8,955,779
101. Switzerland [emoji1237] 8,787,128
114. Singapore [emoji1215] 6,008,362
115. Denmark [emoji1087] 5,906,142
119. Norway [emoji1189] 5,467,469
168. Luxemburg [emoji1152] 653,708
179. Iceland [emoji1127] 374,788
197. Seychelles [emoji1213] 107,660
217. Monaco [emoji1169] 36,297
227. Tuvalu [emoji1253] 11,396
234. Vatican [emoji1262] 518


Screenshot_2023-05-01-15-46-23-46_f4b68248098991d824f647422fc8e6e2.jpg
 
Huenda mila, dini na tamaduni za kihindi zinachangia ?....kama vipi waanzishe sera kali kama China kudhibiti ongezeko hilo la kutisha kwa miaka kadhaa.

imhotep Yoda T14 Armata
Kudhibiti ili iweje? Waafrika mnadanganywa na wazungu eti population inaharibu mazingira na nyie mnadanganyika mnaacha kuzaana matokeo yake mnaenda kuisha duniani. Wahindi na wachina wana akili wanakataa huo ujinga maana wanajua population ni nguvu ya superiority. Mataifa yenye watu wengi ndo yanakuja kuwa na nguvu sana kiuchumi.
 
Kudhibiti ili iweje? Waafrika mnadanganywa na wazungu eti population inaharibu mazingira na nyie mnadanganyika mnaacha kuzaana matokeo yake mnaenda kuisha duniani. Wahindi na wachina wana akili wanakataa huo ujinga maana wanajua population ni nguvu ya superiority. Mataifa yenye watu wengi ndo yanakuja kuwa na nguvu sana kiuchumi.
Population kubwa kuharibu mazingira huo ni ukweli kabisa........kuhusu kuwa na watu wengi ni nguvu kubwa kiuchumi sijui sana.
 
Huenda mila, dini na tamaduni za kihindi zinachangia ?....kama vipi waanzishe sera kali kama China kudhibiti ongezeko hilo la kutisha kwa miaka kadhaa.

imhotep Yoda T14 Armata
India hawajafikia level ya kiuchumi ya China kuacha kupungua kuzaana, hata China ilikuwa mbali na level za South Korea na mbali zaidi na level za Japan kijamii.

Japan ukizaliwa unakuta kuna namna ya kuishi imepangwa na jamii nzima inakutarajia ufanye hivyo, kinyume chake wanakusimanga. Umri wa kuwa chuo unajulikana kwenye miaka 18-21, umri wa kumiliki assets au kazi au kitu chochote cha maisha unajulikana. Mwishowe Wajapani wanapambana mno na kujisahau kuanzisha familia au kuwa serious na mapenzi. Wako lonely na wana suicide rate ya juu. Wako workaholic

China ukuaji wa uchumi unaleta impacts kijamii, miji inakua changamoto za maisha zinakuwa nyingi, watu wako preoccupied na kazi, foleni, kujiendeleza kusoma, n.k hivyo hawazai sana. India wao tamaduni zao zitawafanya wazaane kwelikweli labda kampeni za miongo kadhaa iliyopita zirudiwe.
 
Ina maana wanaosema Waafrica tunazaa sana wanatuonea ?.....labda tutakuja kuwapiku hao jamaa mbeleni

Waafrika bado Sana.
Tatizo la waafrika ni kudandia mambo ya watu.
Bora Wasukuma Kwa hapa Tanzania wameamua kuendelea kukiwasha, nafikiri miaka 20 ijayo wakiendelea hivi alafu baadhi Yao wakasomeshwa vizuri wanaweza kuitawala Tanzania watakavyo
 
Huenda mila, dini na tamaduni za kihindi zinachangia ?....kama vipi waanzishe sera kali kama China kudhibiti ongezeko hilo la kutisha kwa miaka kadhaa.

imhotep Yoda T14 Armata
Wingi wa watu ni mzuri zaidi.
Nchi nyingi zilizoendelea zaendelea kulia kwa upungufu wa watu kuzaliana hivyo panakuwa na kundi kubwa la wasiofanya kazi
 
Back
Top Bottom