The fact that religion is a tool of peace does not fit the facts of its history.
Religion has done more harms than good.
Nchi zinazo jifanya washika dini ndio zina ongoza kwa uovu, mabaya, vita, umaskini na ukandamizaji wa haki za binadamu.
Mifano ni mingi, Israel wanaodaiwa taifa teule ndio hao mapigano kutwa kucha,
Afghanistan, Iraq, Syria, Yemen na nchi nyingi za dola ya kiislam ndizo zinaongoza kwa Vita zisizoisha na ukandamizaji wa haki za binadamu.
Afrika inayo jifanya kushika dini ndio inaongoza kwa umaskini na matukio ya ukatili kama mauaji ya wazee, watoto, albino na wanawake. Viongozi wengi wa dini wana tuhumiwa kwa ulawiti, ubakaji na unyonyaji wa mali za raia kupitia mahubiri uchwara.
Ukija kwenye mataifa yenye furaha na Amani duniani kama Finland, Switzerland, Netherland, Sweden, Norway, Denmark, Luxembourg n.k
Dini sio jambo la msingi sana kwao na wengi wa raia wa nchi hizi ni Atheists hawaamini uwepo wa Mungu.
Ila wana ongozwa kwa sheria na misingi imara inayotoa mchango mkubwa kuleta Amani ya nchi.
DINI HAINA MCHANGO WOWOTE KULETA AMANI YA DUNIA.
SANASANA DINI IMECHANGIA PAKUBWA MNO KUVURUGA AMANI YA DUNIA NA KULETA MATABAKA YA UTENGANO.