Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Wasome vizuri Bufa Kiranga na Infropreneur wamejibu vizuri Sana swali lako kwenye michango yao hapo juu.Mkuu unamaanisha watu waendelee na mila zao za zamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasome vizuri Bufa Kiranga na Infropreneur wamejibu vizuri Sana swali lako kwenye michango yao hapo juu.Mkuu unamaanisha watu waendelee na mila zao za zamani?
Upagani ni dini iliyo katika misingi gani? Wana Mungu au hawana?Dini ya Kwanza ni UPAGANI, kiongozi wake ni Mwarabu wa Misri ya Kale. Ndio dini yenye wafuasi wengi, nyingine kwa ukubwa sijui.
Wana "mungu"wao!Upangaji ni dini iliyo katika misingi gani? Wana Mungu au hawana?
Safi sana mkuu, wadau wengi hapa wakisema ''dini'' wanamaanisha uislamu na ukristo, dini ambazo kuna maeneo hazipo na watu wanaishi vizuri tu.Nipo mkuu,
Naangalia wadau walivyochanganywa hapa.
Mkuu nipo, karibu pia katika mada hii nyingineKaribu sana mkuu, nina siku mbili nawaza kukutafuta maana siku nyingi zimepita.
Watu wengi wanahitaji elimu ya kiutamaduni na kuelewa kuwa kuna mabilioni ya watu si Waislamu wala Wakristo, na wengine hawana aibu kabisa, na wanaendesha maisha yao vizuri tu.Safi sana mkuu, wadau wengi hapa wakisema ''dini'' wanamaanisha uislamu na ukristo, dini ambazo kuna maeneo hazipo na watu wanaishi vizuri tu.
Mkuu bufa na kiranga, wameeleza vyema hapo juu, ni mifumo ya morals ambazo jamii fulani zimejiwekea katika kukatazana mabaya na kushape jamio yao/zao.Ninadhani mleta mada pamoja na wachangiaji wengi hawajui hata wanachokijadili.
Miaka yote jamii karibu zote duniani zikiwemo jamii za kiafrika zimekuwa na dini.
Kabla ya kuletwa kwa imani za ukristo, uyahudi, uislamu, uhindu, ubudha, shinto nk, bado dini zilikuwepo.
Kabla ya kujadili chochote mnatakiwa mkubaliane mnaposema ''dini'' mnamaanisha nini?
Ndivyo ilivyokuwaga mijadala humu JF zamani.
Sawa, na wana sheria zao?Wana "mungu"wao!
ewaa.Safi sana mkuu, wadau wengi hapa wakisema ''dini'' wanamaanisha uislamu na ukristo, dini ambazo kuna maeneo hazipo na watu wanaishi vizuri tu.
Sheria za wapagani zipo kwenye mioyo yao, ni inborn law.Sawa, na wana sheria zao?
Na hilo ndilo linalo nipa maswali mengi, kwamba bado sheria zipo na maovu yanazidi, lakini je zisinge kuwepo si maovu yangezidi kwa kiasi kikubwaHufikirii hizi sheria za serikali unazo ziishi saivi ila unafikiria kitu kingine tuu pekeake.😞😞
Umiza kwanza kichwa hizi sheria kali zipo na bado jera watu wamefulika sana.huwazihata kidogo????
Dini ni nini comrade?Sheria za kibinadamu zina nafasi yake katika maisha, pia sheria za dini zina nafasi yake. Hata sheria za binadamu zime copy baadhi ya mambo kutoka kwa sheria za Dini
Usije ukawa unachanganya Dini na Mungu/Miungu, I'm afraid.Sheria za kibinadamu zina nafasi yake katika maisha, pia sheria za dini zina nafasi yake. Hata sheria za binadamu zime copy baadhi ya mambo kutoka kwa sheria za Dini
Nipe tofauti mkuu ili nisichanganye hayo mambo mawiliUsije ukawa unachanganya Dini na Mungu/Miungu, I'm afraid.
Sawa mkuu, ni taifa gani hasa dini hiyo ya wapagani ilipo anzia?ewaa.
Sheria za wapagani zipo kwenye mioyo yao, ni inborn law.
Nimesoma na nimewaelewa, ila bado sijapata jibu la ingekuwa vipi maisha bia sheria na makatazoWasome vizuri Bufa Kiranga na Infropreneur wamejibu vizuri Sana swali lako kwenye michango yao hapo juu.
Barabara ya magari au barabara gani hiyo mkuu? Na huyo ticha ni nani?Ticha alijua kabisa kunasheria furani lazima utaenda jera lakini bado haikusaidia kwayeye kupitisha gari kwenye barabara ilio fungwa naulinzi mkali juu yake.
Mkuu mbona imetrend dunia nzima washa data tuu.Barabara ya magari au barabara gani hiyo mkuu? Na huyo ticha ni nani?
Basi nitafanya tafiti nijue ni wapi huko ticha alivunja sheriaMkuu mbona imetrend dunia nzima washa data tuu.