Ingekuwa vipi ulimwengu kama kusingekuwa na dini, dunia bila dhambi kipimo cha uovu nini?

Ingekuwa vipi ulimwengu kama kusingekuwa na dini, dunia bila dhambi kipimo cha uovu nini?

Nani huyo alisahau kukwambia haiwezekani kabisa kutenganisha maisha ya mwanadamu na dini?

Mwanadamu kihulka ni mtu wa dini. DNA yake yenyewe imekodiwa misimbo ya dini. Si ajabu vyote viwili huanza kwa herufi D! 🙂

Labda kama hujui maana ya dini, hapo unaweza kueleweka.

Hakuna kipengele cha maisha ambapo dini inaweza kukwepeka.

Mungu ana dini ya watu safi. Sheitwani Ibilisi naye ana dini yake chafu ya kuzimu.

Hapo upo?

Mwanadamu ajihadhari sana sana asije akawa anaikimbilia baharini akidhamiria kuikwepa mvua.

Siku binadamu akitambua kwamba hana amri mkataa kuhusu maisha yake, basi huo utakuwa uvumbuzi mkuu mno kuliko nadharia na mavumbuzi yote ya wanasayansi kwa pamoja.
Umeenda vizuri, ila naomba nikuongezee kipengele kidogo.

Dini siyo lazima ihusishe mungu ama shetani.
 
Mkuu ni vipi unathibitisha kwamba sheria za dini zimetungwa na mwanadamu?
Kwa sababu huyo Mungu anayedaiwa ndiye mtungaji wa hizo sheria za dini hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Ni binadamu wametunga sheria zao na kuunda dhana uchwara ya kufikirika na kuiita Mungu kudai ndio ametunga ilhali ni haohao binadamu.

Ndio maana kila dini inakuwa na sheria zake halafu hapohapo kila dini inataka kukuaminisha sheria za dini yao ndizo sheria pekee za huyo Mungu.

Mkristo atakwambia Mungu amemwambia aoe mke mmoja, Mwislamu atakwambia Mungu wake alimwambia anaweza kuoa mke zaidi ya mmoja. Hapa tayari kuna Contradiction.

Automatically haiwezekani awepo Mungu mmoja anayetoa sheria moja yenye Contradiction.

Hivyo unaona kwamba hizi sheria zinazodaiwa niza huyo Mungu ni sheria za wahuni tu binadamu walio plan mawazo yao tu yaonekane sheria.
 
Kwanza inabidi ukubali hakuna aliyewahi kukutana, kumuona au kuongea Na Mungu.
Mungu ni dhana iliyoanzishwa kipindi binadamu alipokuwa Hana maarifa ya Dunia imetoka wapi au kwanini Kuna uhai n.k
Kama kawaida watu wadini huwa Wana Mungu wa aina mbili, wa kwanza ni uyo ambae hajawahi kuonekana, Wala kuongea Wala kujitokeza, na wa pili ni yule wanaonekana kumfahamu sana, wanajua Hadi anavofanana, anapenda nini, hapendi nini kwa mfano hataki tule nguruwe, au tunywe bia, hataki tufanye mapenzi kabla ya ndoa, hataki tufanye kazi jumamosi na Sheria zake nyingine nyingi.
Mwisho wa siku hizi Sheria wanasema zimetoka kwa Mungu ambae hajawahi kuongea Wala kujitokeza au kuonekana.
In short Sheria zote za dini zimetungwa na binadamu mwenyewe na Wala sio Mungu.
Kimuktadha Mungu, hayupo, hakuna Mungu uko mawinguni au popote pale.
Sawa, unadhani ingekuwa vipi maisha ya mwanadamu bila sheria na makatazo?
 
Kwa sababu huyo Mungu anayedaiwa ndiye mtungaji wa hizo sheria za dini hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Ni binadamu wametunga sheria zao na kuunda dhana uchwara ya kufikirika na kuiita Mungu kudai ndio ametunga ilhali ni haohao binadamu.

Ndio maana kila dini inakuwa na sheria zake halafu hapohapo kila dini inataka kukuaminisha sheria za dini yao ndizo sheria pekee za huyo Mungu.

Mkristo atakwambia Mungu amemwambia aoe mke mmoja, Mwislamu atakwambia Mungu wake alimwambia anaweza kuoa mke zaidi ya mmoja. Hapa tayari kuna Contradiction.

Automatically haiwezekani awepo Mungu mmoja anayetoa sheria moja yenye Contradiction.

Hivyo unaona kwamba hizi sheria zinazodaiwa niza huyo Mungu ni sheria za wahuni tu binadamu walio plan mawazo yao tu yaonekane sheria.
Tunajua sheria za nchi zinatungwa na nani, niambie sheria za dini zilitungwa na kina nani kwa wakati gani.
 
Tunajua sheria za nchi zinatungwa na nani, niambie sheria za dini zilitungwa na kina nani kwa wakati gani.
Kasome Historia ya kanisa na Mitaguso yake.

Mikutano mbalimbali ya kikanisa imefanyika karne na karne kutunga sheria na kufanya modification zake.

Kasome Historia kwanza.
 
Sawa, unadhani ingekuwa vipi maisha ya mwanadamu bila sheria na makatazo?
Japo kwa namna Moja au nyingine dini inaweza kuwa chanzo Cha maadili, lakini sio lazima mtu awe na dini Ili awe na maadili.
Kutegemea nguvu ya kiroho kama chanzo Cha maadili, ni kama vile kusema maadili sio kitu Cha asili, jambo ambalo sio kweli.
Wanyama wengi kama vile nyani na panya hawana dini, lakini wanayo maadili ya kuzuia vitu kama wizi na mauaji.
 
Mkuu lakini Buddhist si wanayo masanamu na wameyaweka ndani? Wanaomba na kutoa shukurani. Je ile sio Miungu yao?
Hapana.

Again, Buddhists do not believe in any kind of deity or god, yule ni Buddha/Mwalimu, Siddhartha Gautama, Founder wa Buddhism,
is considered an extraordinary being, but not a god. The word Buddha means “enlightened.
Followers of Buddhism don’t acknowledge a supreme god or deity. They instead focus on achieving enlightenment, a state of inner peace and wisdom.
"When we bow, we express outwardly what we feel inwardly, our gratitude to the Buddha for what his teachings have given us."
Pitia link hii hapa chini ambapo nimechukua rejea za baadhi ya majibu niliyoweka hapo juu.


Hapo utapata kujua mengi kuhusiana na dini ya Buddha.
 
Kasome Historia ya dini zote.

Ndipo utajua ni wahuni wachache waliji organize kuunda mfumo wa ulaji na kuiita dini.
Sawa, japo nafahamu historia lakini nitarejea na kupitia kwa ufupi kuona kama ni kweli ni sheria za watu na makundi yao.
 
Japo kwa namna Moja au nyingine dini inaweza kuwa chanzo Cha maadili, lakini sio lazima mtu awe na dini Ili awe na maadili.
Kutegemea nguvu ya kiroho kama chanzo Cha maadili, ni kama vile kusema maadili sio kitu Cha asili, jambo ambalo sio kweli.
Wanyama wengi kama vile nyani na panya hawana dini, lakini wanayo maadili ya kuzuia vitu kama wizi na mauaji.
Sawa, kwaiyo unaona ni sawa watu kuishi bila sheria na taratibu?
 
Hapana.

Again, Buddhists do not believe in any kind of deity or god, yule ni Buddha/Mwalimu, Siddhartha Gautama, Founder wa Buddhism,
is considered an extraordinary being, but not a god. The word Buddha means “enlightened.
Followers of Buddhism don’t acknowledge a supreme god or deity. They instead focus on achieving enlightenment, a state of inner peace and wisdom.
"When we bow, we express outwardly what we feel inwardly, our gratitude to the Buddha for what his teachings have given us."
Pitia link hii hapa chini ambapo nimechukua rejea za baadhi ya majibu niliyoweka hapo juu.


Hapo utapata kujua mengi kuhusiana na dini ya Buddha.
Maelezo yamenyooka mkuu, sasa nimeelewa sio kila dini lazima iwe na Mungu.
 
Sheria na taratibu ni muhimu ziwepo, ila sio lazima zitoke kwenye vitabu vya dini kaka.
Sawa kaka, mimi kwa upande wangu nazingatia na naheshimu sheria za pande zote, pia sio mbaya kubaki na upande mmoja, ni changuo la mtu.
 
Kungekuwa hakuna marginalization wala watu kupigika na shida (hence finding hope) wala dini zisingekuwepo...

In short the mass needs their Opium....
 
Ingekuwa vipi kama dini hazipo, ni wapi watu wangepata maarifa na taratibu za kuishi kwa hekima? Ni wapi tungepata sheria na kanuni za kutatua changamoto za kiroho?

Naelewa bado dini zipo lakini maovu yanaendelea, je ingekuwaje kama dini hazikuwepo kabisa? Inamaana maovu yangezidi na hakuna wa kukemea.

Dini zisinge kuwepo, kipimo cha uovu kingekuwa ni nini? Makatazo ya maovu yangetoka wapi?

Ingekuwa vipi?
Mleta mada Mvivu kutafuta vitu...Dini hapa Tanzania Imeingia karne ya 19 Jiulize izo karne nyingine watu waliishije?
 
Back
Top Bottom