Mtaumia sana mwaka huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siamini hii kitu, ila kama ikiwa kweli nitaamini nchi hii kwa sasa hatuna Rais.
Kuna remote somewhere inafanya kazi yake.
Pole sana dada, najua inauma ila utazoea tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona kazi ipoo
Kivipi, tuelezee tafadhali.timu ya ccm, subirini hii ni dalili ya kufa kwa yanga
Huu mwaka huu Yanga tutalogwa wallahi, hapo manaake wale washabiki wanapanda tena ndege kwenda mbeya alafu inawarudisha, just imagine maumivu yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watajuana wenyewe. Akitaka awape hata ikulu wafanye kambi.
Bora wewe umeweka wazi kuliko wenzio wanatumia kivuli cha Yanga kupewa tena ndege ya kuwapeleka mbeya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cha msingi
USM ALGER #wametuheshimisha
Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.Bora wewe umeweka wazi kuliko wenzio wanatumia kivuli cha Yanga kupewa tena ndege ya kuwapeleka mbeya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenye nacho huongezwa, tuishi humo.Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.
Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.
Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.
Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.
Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
Na mvimbe mpasuke.Siamini hii kitu, ila kama ikiwa kweli nitaamini nchi hii kwa sasa hatuna Rais.
Kuna remote somewhere inafanya kazi yake.
Mwaka huu ndio mtajuwa heshima ya kufika fainali.Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.
Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.
Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.
Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.
Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
Mwana mpumbavu (Yanga) ni mzigo kwa mama yake.
Ndomana taifa kisoka halina consistency, unampongeza mtu aliyeshindwa (looser).
Fadhila kwa yale mabango uwanjani wakati wa game.Muda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara
Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
---
View attachment 2646565
Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.
Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
Hahahaaaaaaaa, hii kauli ni ya kukata tamaa bosi.Watajuana wenyewe. Akitaka awape hata ikulu wafanye kambi.
ok.Hahahaaaaaaaa, hii kauli ni ya kukata tamaa bosi.