Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Samia ameamua kuchezea kodi zetu.

Kweli wanasiasa wanatuona sisi ni manyumbu na kweli sisi ni manyumbu pro.

Kama huwezi kupinga uozo wa wanasiasa, jipige kifuani huku ukisema..

'Mimi ni nyumbu x3'
IMG_20230605_121532.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Samia ameamua kuchezea kodi zetu.

Kweli wanasiasa wanatuona sisi ni manyumbu na kweli sisi ni manyumbu.

Kama huwezi kupinga uozo wa wanasiasa, jipige kifuani huku ukisema..

'Mimi ni nyumbu x3'

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mwana mpumbavu (Yanga) ni mzigo kwa mama yake.

Ndomana taifa kisoka halina consistency, unampongeza mtu aliyeshindwa (looser).
 
Bora wewe umeweka wazi kuliko wenzio wanatumia kivuli cha Yanga kupewa tena ndege ya kuwapeleka mbeya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.

Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.

Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.

Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.

Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
 
Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.

Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.

Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.

Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.

Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
Mwenye nacho huongezwa, tuishi humo.
 
Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.

Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.

Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.

Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.

Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
Mwaka huu ndio mtajuwa heshima ya kufika fainali.

Yani unaandika huku unalia, na bado.
 

Attachments

  • FB_IMG_1685959540939.jpg
    FB_IMG_1685959540939.jpg
    60.3 KB · Views: 1
Haya ni matumizi mabaya kabisa ya fedha za Umma!
SSH aelewe kuwa timu zote zina mechi za league ya ndani na haileti afya hata kdg kuipa yanga usafiri.
Kama ni kutoka ktk mfuko wake binafsi sawa, ila kama ni fedha za walipa kodi tupaze sauti zetu kumwambia hili hapana, anatupeleka kulekule kwa mtangulizi wake!
 

Attachments

  • FB_IMG_1685867375406.jpg
    FB_IMG_1685867375406.jpg
    27.9 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685865513846.jpg
    FB_IMG_1685865513846.jpg
    84.1 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685861984870.jpg
    FB_IMG_1685861984870.jpg
    45 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685856901618.jpg
    FB_IMG_1685856901618.jpg
    52.3 KB · Views: 1
Muda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara

Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
---

View attachment 2646565

Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.

Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
Fadhila kwa yale mabango uwanjani wakati wa game.
#KaziIendelee
 
Back
Top Bottom