The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Mwenzio kaona isiwe shida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuishi humo kwasababu una personal interest na Club?
A time will come tusianze kulalamika
Tujue kabisa wakati tatizo linaanza hatukupaza sauti kukemea ili kudhibiti kwasababu tulikuwa tuna maslahi yetu binafsi now limekuwa kubwa let's all not be hyporites.
Hahahaha! Kwani si yameisha mkuu ? angalia tena utaelewaKama nini?
CAG Kichere
Shirika la Ndege la ATCL limeendelea kutengeneza hasara kwa mwaka huu wa ukaguzi ninapendekeza bodi ya shirika ijitathmini
Aisee ni bora tuweke andazi pale ikulu lituongozeCAG Kichere
Shirika la Ndege la ATCL limeendelea kutengeneza hasara kwa mwaka huu wa ukaguzi ninapendekeza bodi ya shirika ijitathmini
Meza boga ufeAisee ni bora tuweke andazi pale ikulu lituongoze
Naelewa kuwa pale tuna mtu mweupe upstairs lakini sikufikiri kama ni kwa kiwango hikiMeza boga ufe
Maana ikulu ya Dar ndo Yanga tutapewa tuweke makao makuu pale.
Bahati nzuri mmekutana wote vilazaMuda wa wananchi kuvimba kudadeki.
Kipindi cha mwendazake tulipitia magumu mno.
Vilaza ndo wanafika final, vilaza pro max wanaishia robo.Bahati nzuri mmekutana wote vilaza
Simba hawawezi kwenda kwenye huu ujinga kwa ridhaa yao, ila kwa sababu ya ikulu hata mimi siwezi kukataa kwendaVipigo vinaendelea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2647141
Huko mbali mkuu labda unaweza sema huko ni ligi ya ndani msimu tu uliyo pita Biashara United akikosa Hela ya usafiri kabisa kwenda nje kwa ajili ya mechi za kimataifa lakin hakuna Alie jitokeza kwa ajili ya sapoti siyo TFF Wala hata serikari.Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.
Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.
Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.
Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.
Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
Numbiiii jamani..... unajua Rais alivuruga ratiba yetu. Hivyo amesahihisha kwa kutoa ndege ingawa itavuruga mipango yetu ya mchezo wa keshoSio sahihi its too much
Hiyo hasara haiku/haita sababishwa na Yanga kwasababu ATCL wanapeleka invoice IKULU.CAG Kichere
Shirika la Ndege la ATCL limeendelea kutengeneza hasara kwa mwaka huu wa ukaguzi ninapendekeza bodi ya shirika ijitathmini