Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Tuishi humo kwasababu una personal interest na Club?

A time will come tusianze kulalamika

Tujue kabisa wakati tatizo linaanza hatukupaza sauti kukemea ili kudhibiti kwasababu tulikuwa tuna maslahi yetu binafsi now limekuwa kubwa let's all not be hyporites.
Mwenzio kaona isiwe shida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG-20230605-WA0011.jpg
 
Mmemuona Diamond lakini?
Amempa kibunda Diarra , Golikipa wa kimataifa.
Ngoja tuwaongezee makasiriko😂
 

Attachments

  • 1685972209377.jpg
    1685972209377.jpg
    76 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230605-163643.jpg
    Screenshot_20230605-163643.jpg
    152 KB · Views: 1
Kila nikikumbuka timu yangu Ya Mara
Biashara United ilikosa Hela ya usafiri kwenda kucheza kule Uarabuni kwa ajili ya kufuzu makundi Alfu anapewa Yanga ambaye ana uwezo wa ku afford kabisa gharama zote aisee.. hapo naishiwa nguvu kabisa
Mama ingekuwa vyema basi hata sisi mbeya city tupewe Bus la kwenda nalo uwanjani jaman coz Yanga ashatoka kimataifa yupo NBC
 
Nchi ya hovyo, uongozi wa hovyo kila kitu ni ushabiki tu.. SAMIA kama anapenda michezo apambane na timu ya taifa na si kutafuta kiki za kisiasa kupitia YANGA.
 
Hilo la Yanga kupewa ndege nalo sijalifurahia hata ingekuwa kwa Simba bado ningesema.

Kuna timu juzi ilishindwa pesa ya usafiri na ikafukuzwa hotelini ikiwa ina madeni tele.

Erasto nyoni ndio alijitolea kulipa hizo gharama.

Kwa hiyo kama tunasema Raisi anajitoa kwenye michezo tumulike katika aspects zote sio kwasababu wanufaika ni Simba na Yanga basi tuone wengine hawana haki.

Timu ambayo unaisaidia wewe kuipa ndege kwenye mchezo wa ligi kuu ni timu ambayo inauwezo wa ku afford hizo gharama bila kikwazo.
Huko mbali mkuu labda unaweza sema huko ni ligi ya ndani msimu tu uliyo pita Biashara United akikosa Hela ya usafiri kabisa kwenda nje kwa ajili ya mechi za kimataifa lakin hakuna Alie jitokeza kwa ajili ya sapoti siyo TFF Wala hata serikari.
 
CAG Kichere

Shirika la Ndege la ATCL limeendelea kutengeneza hasara kwa mwaka huu wa ukaguzi ninapendekeza bodi ya shirika ijitathmini
Hiyo hasara haiku/haita sababishwa na Yanga kwasababu ATCL wanapeleka invoice IKULU.
 
Back
Top Bottom