Acha ujinga Dogo utekaji ni sindcate kubwa mpaka ikuluWaziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.
Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.
Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!
Sasa mama kaongea!
Kama alikuwa anaagizwa Toka juu angefanya Nini?Mh. Rais kafanya maamuzi mazuri sana, Masauni alikuwa kama hayupo kabisa, matukio makubwa yanatokea, yeye kimyaaaa
Cha ajabu utaambiwa Masauni ni mtu wa "system" au anaandaliwa kuwa Rais wa zanzibar. Ndio unabaki unajiuliza kwamba hizi low IQ ndio potential kwenye "system" ya Tanzania? Ajabu sana
Sidhani kama kuna jipya,Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.
Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!
hakuna haja ya kukimbia tatizo, hata kama mtu mwenye tamaa binafsi kabambwa akimendea mke wa mtu kwa siri, na akaambulia ngeu au mauti, hakuna haja ya kukimbia changamoto hiyo licha ya kwamba inahusishwa na utekaji,Kwa hiyo anayetakiwa kushughulikia utekaji, na hashughulikii anaongezaje ufanisi wa serikali yzko sikivu.
Waziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.
Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.
Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!
Sasa mama kaongea!
Watekaji ni taasisi ambayo hawatakiwi wajulikane, wananchi wameamua jinsi ya kukabiliana nao, hakuna kutekwa kizembeAsemaje sasa wakati wanaotekwa na kuuawa siyo Wazanzibar!
Yawezekana! Ila raia wamechoka kabisa kabisa kabisa. Haiwezekani hili swala TULIVUMILIE!Waziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.
Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.
Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!
Sasa mama kaongea!
Ilibidi InjiniavMasauni aliongelee hilo.Kwani shida ni kutekwa au kutekwa wazi wazi?
Kaka system ya nchi ilishakufa toka mwaka 2015Cha ajabu utaambiwa Masauni ni mtu wa "system" au anaandaliwa kuwa Rais wa zanzibar. Ndio unabaki unajiuliza kwamba hizi low IQ ndio potential kwenye "system" ya Tanzania? Ajabu sana
Mbona Samia alishakataa hayo mambo.na anasema hajawahi kuua.Kama alikuwa anaagizwa Toka juu angefanya Nini?
sasa mbona sio mkali kwenye wizara nyeti anazopewa?..Mama alipata zero form 4.
..Masauni alifaulu na amehitimu Uhandisi chuo kikuu.
Hapo ndipo Injinia Masauni angecheza karata zake kuwadhibiti watu wa chini yake.Mbona Samia alishakataa hayo mambo.na anasema hajawahi kuua.
kuna aliyejisemea kuwa angepelekwa kulinda mikoko fukweni maana hata huko kwenye mazingira anaenda kuachia mashavu tuBora alivyo pelekwa Muungano na mazingira, huko ataweza.
Masauni, kijana aliyechoka hata kabla ya kufikia uzee.Waziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.
Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.
Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!
Sasa mama kaongea!
Mkuu.Mlitaka aangaike na anajua watekaji ni mpango wao wenyewe. Yeye kachagua njia isiyo na unafiki. Wewe unamtuma mtu amchape mtoto fimbo alafu utoke umkemee yule uliyemtuma amchape mtoto ?. Nafsi inamsuta akachagua kutokuwa mnafiki kakausha tuIla Masauni alizingua Sana. Watu wanatekwa yeye kimya.
Watekaji ni taasisi, Angalizo usikubali kutekwa kizembe, chukua hatua kama vile unavyo vaa kandambiliAcha ujinga Dogo utekaji ni sindcate kubwa mpaka ikulu
Hilo nalo neno!Mkuu.Mlitaka aangaike na anajua watekaji ni mpango wao wenyewe. Yeye kachagua njia isiyo na unafiki. Wewe unamtuma mtu amchape mtoto fimbo alafu utoke umkemee yule uliyemtuma amchape mtoto ?. Nafsi inamsuta akachagua kutokuwa mnafiki kakausha tu